MSAADA: Nasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume

MSAADA: Nasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume

Kwahiyo aende wapi mkuu, maana huku mtaani ndo hao mara punje 7, meza hiki, kula hiki, fanya hiki. Kila mtu na chake.

Kuna siku nlisikia redioni mdada anasema magonjwa mengi yanaanzia kwenye utumbo, kila ugonjwa ukitajwa yeye chanzo ni hicho. Anasikiliza maoni maoni na hapohapo anatoa suluhu huku akipromote dawa yake.

Mi naona ni kheri hospitali kuliko madokta wa jf na hizo herbal clinic uchwala za kila mahali.
surely
 
Tafuta mizizi ya mtula tula na mkunde pori, ioshe vizuri kisha chemsha unywe kikombe kimoja (kile cha robo) asubuhi na jioni kwa siku 7 mfululizo au siku 14 mfululizo (kulingana na ukubwa tatizo lako).

au

Chukua mizizi ya mtulatula (ioshe vizuri), imenye yale magamba yake kisha tafunia na karanga mbichi (zile ndogo ndogo zinakua na rangi kama nyeupe hivi). Magamba ya kutosha kumaliza kutafunia walau robo kilo ya karanga au (nusu ya robo), kwa siku 7 mfululizo huku ukinywa maji mengi kulingana na uzito wako.

Usifanye mapenzi wakati unapata hiyo tiba, la nyongeza usijipe stress ukienda kunyanduana pia kumbuka ukipiga bao la kwanza, relax huku ukisubiri kurudia kutafuta bao la 2 usilazimishe dushe isimame.
 
Tafuta mizizi ya mtula tula na mkunde pori, ioshe vizuri kisha chemsha unywe kikombe kimoja (kile cha robo) asubuhi na jioni kwa siku 7 mfululizo au siku 14 mfululizo (kulingana na ukubwa tatizo lako).

au

Chukua mizizi ya mtulatula (ioshe vizuri), imenye yale magamba yake kisha tafunia na karanga mbichi (zile ndogo ndogo zinakua na rangi kama nyeupe hivi). Magamba ya kutosha kumaliza kutafunia walau robo kilo ya karanga au (nusu ya robo), kwa siku 7 mfululizo huku ukinywa maji mengi kulingana na uzito wako.

Usifanye mapenzi wakati unapata hiyo tiba, la nyongeza usijipe stress ukienda kunyanduana pia kumbuka ukipiga bao la kwanza, relax huku ukisubiri kurudia kutafuta bao la 2 usilazimishe dushe isimame.
surely.
 
Toka Nianze kusikia hizi dawa za kienyeji hajatokea mtu hata Mmoja aliesema amepona hilo ni tatizo
Atafte supplement km hory goat weed,ginko biloba au ginseng zitamsaidia kumtoa mawazo na kua na confidence atumie ndani ya wiki mbili atakaa sawa.ukiwa na stress hormone ya cortisol inayozaliwa na adrenaline inakua kubwa unaanza kujisikia vbya,mawazo,mwili umechoka choka hata ubongo huwez ku concentrate lazima upate woga. ila hakuna ambae hana ni mentality tu.
 
Mtu anashaur usiangalie Wanawake.. Usinini n.k unamshauri mwenzio awe HANITHI... awe Mshoga?!
 
Sitishi Bali ndo ukweli
Hamna ukweli hapo kijana, wauza dawa za mitishamba wanakudanganyeni sana.

Mnahisi nguvu za kiume ni uume usimame 24/7. Labda kama unafanya kazi pornhub ila hizi mishe za kila siku itasimama sanasana asubuhi. Huo mda mwingine kuna sababu zake. Au hujui uume kusimama hovyo bila kazi maalum unajiletea matatizo.

Wewe unadhani ndio ulijali kusimamisha simamisha hovyo tu huku ukiubania kwenye suruali yako.

Shauri yako, siku ya siku na wewe utaleta uzi hapa.
 
Atafte supplement km hory goat weed,ginko biloba au ginseng zitamsaidia kumtoa mawazo na kua na confidence atumie ndani ya wiki mbili atakaa sawa.ukiwa na stress hormone ya cortisol inayozaliwa na adrenaline inakua kubwa unaanza kujisikia vbya,mawazo,mwili umechoka choka hata ubongo huwez ku concentrate lazima upate woga. ila hakuna ambae hana ni mentality tu.
Mkuu hebu ongezea nyama kwenye supplement ya Ginseng, kuna eneo niliona inauzwa kama laki moja hv, sikufuatilia sana.
 
Mkuu hebu ongezea nyama kwenye supplement ya Ginseng, kuna eneo niliona inauzwa kama laki moja hv, sikufuatilia sana.
laki may be ulaya au big brand. Ginseng huku bongo ziko kwenye mfumo wa,vidonge and sofgel ni 24000Tsh tu.
 
Mbona karibu wote wapo ivo,katika 10 mzima mmoja.Don't stress yourself tafadhali
 
Hivi hiii si ndio dawa ya Kushusha PRESHA? mnajua unawez ona unasaidia tatz fulan kumbe ndio unaenda Kumuua kijana wa watu... Haya mie simo
Siyo kweli,kitunguu swaumu kina faida peke yake badala ya hasara
 
Back
Top Bottom