MSAADA: Nasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume

MSAADA: Nasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume

Shida ya hospitali wana rely kwenye kipimo cha hormone tu ikiwa sawa basi wanasema katulize akili mara psychology sidhani kama kuna specialist anaweza cheki mfumo wa mzunguko wa damu na mfumo wa nerve hospitali unapoteza hela tu wengine wanacheki mpaka sperm analysisi utadhani umewaambia hauwezi zalisha.
kuna hospital wanaangalia zote ipo hapo gongolamboto
 
Msaada jamani ninasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume nimetumia madawa mengi kuniponyesha lakini ndio hali yazidi kuwa mbaya.

Nishatumia sana madawa ya ku boost na nyeto kwa sana lakini mpaka sasa nisha kuwa dhaifu hata niliona mazingira ya mwanamke haisimami.

Naombeni msaada jamani nateseka sana.

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Achana na mitishamba na madawa yenye sumu. Tumia stemcells. Jenga seli zako.za maeneo kwanza ndipo dawa zirakusaidia. Wasiliana na daktari aliyenipa stemcells mimi. 0699254400.

Nilifnyaga kosa lako kidogo niwe mgumba
 
Achana na mitishamba na madawa yenye sumu. Tumia stemcells. Jenga seli zako.za maeneo kwanza ndipo dawa zirakusaidia. Wasiliana na daktari aliyenipa stemcells mimi. 0699254400.

Nilifnyaga kosa lako kidogo niwe mgumba
stemcell ni takataka.
 
Achana na mitishamba na madawa yenye sumu. Tumia stemcells. Jenga seli zako.za maeneo kwanza ndipo dawa zirakusaidia. Wasiliana na daktari aliyenipa stemcells mimi. 0699254400.

Nilifnyaga kosa lako kidogo niwe mgumba
Zinasaidia nini na zinatumikaje??
 
Maelezo hayajitoshelezi !

Haisimami kabisa ama haina nguvu ?

Ni mwanachama wa chaputa ? If yes acha kabisa!

Una mwanamke/Dem/mchumba ?
Kama unae, usishiriki nae,

Kula vizuri, fanya mazoezi Kama mwezi halafu tafuta mwanamke Malaya wa kununua, fanya nae, huyo hata usipoperfom Hana habari yeye anaangalia hela, huko kwa Malaya ndio utapata confidence, ukikaa sAwa Rudi kwa mtu wako !

Naona Ni psychology tu, una hofu kwamba ukifeli utaaibika ! Pole mkuu
Umemshauri vyema ila hapo kwenye uanachama siafki ....
Kama unaweza kusimama ukiwa peke yako itashindikana nn kusimama ukiwa na mtu? Tatizo hapo n akili yake anavyo Itune kaka
 
Back
Top Bottom