MSAADA: Nasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume

MSAADA: Nasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume

Msaada jamani ninasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume nimetumia madawa mengi kuniponyesha lakini ndio hali yazidi kuwa mbaya.

Nishatumia sana madawa ya ku boost na nyeto kwa sana lakini mpaka sasa nisha kuwa dhaifu hata niliona mazingira ya mwanamke haisimami.

Naombeni msaada jamani nateseka sana.

🙏🙏🙏🙏🙏🙏

Mimi sio Dr lakini nashauri vitu hivi

1. Kwanza vyeto na kuangalia picha za uchi na video ni lazima uache kwa asilimia 100%. Hizi zinaharibu hisia na tamani yaani kuamsha hisia
2. Kama ni juu ya miaka 50 inabidi umuone Dr
3. Tatu kwa ku repair misuli : chukua vitungu saumu weka kwenye jiko na mafuta ya mzaituni mpaka iwe kama inaungua. Yale mafuta sasa paka kwenye uume wako na acha kwa 15-20 dakika kabla ya kuoga. Hii inasaidia kurekebisha mishipa hasa kwa wale wanaofanya punyeto ambazo sio nzuri. Hii haina side effects zozote zile

Kama ni kijana madawa mengine hayata kusaidia maana madawa yanasaidia kuongea damu kwenye mishipa ya uume saaa kama ni kijana basi tatizo sio mishipa. Tatizo lako ni kati ya haya punyeto, kuangalia sana picha za uchi au vidos au mawazo. Fanya kama nilivyokuambia kama uko chini ya miaka 50 na bado tatizo lipo basi ni tatizo la mawazo ambalo unapata kwa kufikia sana kitendo
 
Ni miaka 30 kwa sasa
njoo Dm nikushauri kitu mie sio mtu wa matangazo ila kwenye haya mambo tusaidiane as men tusaidiane na si kusutuna au kukejeliana njoo dm nkushauri usikimbilie madawa ya viagra ni ya mda tu yale hayatokusaidia zaidi kukua zaid.
 
Punje Saba za kitunguu swaumu, meza na glass ya maji asbh na jioni, yaani punje 14 per day, baada ya siku 7 tu usipoangalia utabaka kuku
Usidanganye wenzio jogoo kizima kabisa mkuu .


Dawa kubwa ya nguvu za kiume ni push ups na mazoezi ya tumbo...

Nakuahidi asipokimbia Binti wa watu basi utapata kesi .
 
Msaada jamani ninasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume nimetumia madawa mengi kuniponyesha lakini ndio hali yazidi kuwa mbaya.

Nishatumia sana madawa ya ku boost na nyeto kwa sana lakini mpaka sasa nisha kuwa dhaifu hata niliona mazingira ya mwanamke haisimami.

Naombeni msaada jamani nateseka sana.

🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mkuu pole sana kwa matatizo yako ya nguvu za kiume kwanza ni kosa kutumia Dawa za ku boost pasipo na ushauri wa daktari. jambo la pili acha kupiga punyeto jambo la 3 acha kuangalia filamu za porno jambo la 4 fanya mazoezi ya viungo jambo la 5 nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia upate kupona nguvu zako za kiume uguwa pole.
 
Mkuu pole sana kwa matatizo yako ya nguvu za kiume kwanza ni kosa kutumia Dawa za ku boost pasipo na ushauri wa daktari. jambo la pili acha kupiga punyeto jambo la 3 acha kuangalia filamu za porno jambo la 4 fanya mazoezi ya viungo jambo la 5 nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia upate kupona nguvu zako za kiume uguwa pole.
Una ushauri gani juu ya matumizi ya supplement km HGW,Ginko biloba kama mtu ana Mid ED kutumia aweze improve mwingine utakuata ana depression je ni sawa km akitumia kwa mda fulani mpaka atakapokua sawa????
 
...Hivi ukiwa na Kisukari Ngoma inalala Doro na unakuwa huna Nguvu za Kiume??
Hapana,kuna watu wana kisukari lakini kimedhibitiwa.Kisukari kisichodhibitiwa huwa kinapelekea complications nyingi mno,moja wapo ni hiyo ya kushindwa kupata erection vizuri Lakini sio lazima wote wenye kisukari wawe na tatizo hilo.
 
Ninatibu tatizo hili kwa mitishamba asilia kabisa.Kwa muda wa siku 21 utaanza kusimulia tofauti.Siyo dawa za kuboost kama mnavyopotoshana hapa bali ni tiba ya kudumu.Mtu ulishaathitrika muda mrefu halafu mnadanganyana kutumia virutubisho!! Endelea kutumia virutubishi baada ya kutibu tatizo la msingi.Ni sawa na mtu ambaye tayari ana Typhod hajaitibu bado,halafu anachemsha maji ya kunywa ajikinge na Typhod!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Ninatibu tatizo hili kwa mitishamba asilia kabisa.Kwa muda wa siku 21 utaanza kusimulia tofauti.Siyo dawa za kuboost kama mnavyopotoshana hapa bali ni tiba ya kudumu.Mtu ulishaathitrika muda mrefu halafu mnadanganyana kutumia virutubisho!! Endelea kutumia virutubishi baada ya kutibu tatizo la msingi.Ni sawa na mtu ambaye tayari ana Typhod hajaitibu bado,halafu anachemsha maji ya kunywa ajikinge na Typhod!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
cha msingi ni kua saw kisaikolojia pia watu wengi esepcially wanaume unaweza kuta mtu ana tatizo la hormone imbalance yeye hajui ishu kufiatilia afya zetu kwa umakini kabla ya kufika hatua yankusema huna nguvu za kiume mie mitishamba na iamin ila hata virutubisho muhimu miiili yetu haipokei virutubisho vingi ndo mana mitishamba no sciefically proven.
 
Hivi kumbe hili tatizo ni real. Hivi mtu inakuaje mashine haisimami kabisa. Yani nione paja la mtoto wa kike mweupee alaf isisimame. Yani how? How? 🤔
 
Hivi kumbe hili tatizo ni real. Hivi mtu inakuaje mashine haisimami kabisa. Yani nione paja la mtoto wa kike mweupee alaf isisimame. Yani how? How? [emoji848]
ukifika 50yrs utaelewa endelea kufakamia pombe vita sheesha vuta fegi zini zini hovyo utakuja kuelewa ukianza kua na familia majukumu utakuja kuelewa. km unakaa kwa mama endelea tu. mbona safie.
 
Back
Top Bottom