Msaada: Natafuta kazi ya kufanya. Ni mwepesi kujifunza kazi yoyote

Msaada: Natafuta kazi ya kufanya. Ni mwepesi kujifunza kazi yoyote

christophany

Member
Joined
Apr 6, 2024
Posts
12
Reaction score
44
Habari wanajukwaa wa JF

Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 31 elimu yangu ni kidato Cha sita(6) naomba msaada wa kupata kazi yoyote itakayoniingizia kipato ili maisha yangu yaende ,

Unaweza jiuliza umri huo na elimu ya kidato Cha sita ilikuwaje ?

Kimsingi nilimaliza kidato Cha sita 2013 nilipomaliza nilitaka kuendelea na masomo ya chuo kikuu ila sikufanikiwa kupata mkopo

Na familia yangu haikuwa na uwezo kabisa wa kuweza Tena kunilipia ada sio Siri kwasababu hata kufika kidato Cha sita chenyewe yaliuzwa Hadi mashamba ili tu nisome japo shule ni za serikali

Kwahyo baada ya kushindwa kuendelea na masomo nikalazimika kubaki nyumbani Kwa mwaka huo nikiamini yamkini mwaka unaofuata mambo yanaweza yakawa vzr nitaenda

Lakini mambo hayakuwa mazuri nilipata changamoto nyngn nying za kifamilia ambazo siwez ziandika hapa zote hivyo ikapelekea nipoteze kabisa ndoto za kusoma

Nikaanza kujihusisha na shughuli ndogo ndogo mtaani sasa kwakuwa nilipokuwa naishi ni kijijini hakukuwa na shughuli kubwa sana ambayo ingeweza kunisaidia Kwa upana

Nikaja nikapata changamoto ya magonjwa katikati nikaumwa lakini Mungu mwema kwasasa nimerecover Niko vzr

Hivyo naomba msaada kwa yoyote mwenye uwezo wa kunisaidia nipate kazi ya kufanya sichagui iwe ya ofisini au kokote kikubwa niweze kuendesha maisha kwani kwasasa Hali yangu ni ngumu na umri ndio unakimbia.

Note:
1: Nina uwezo wa kutumia computer kwa baadhi ya maeneo.

2: Ni mwepesi kujifunza kitu kipya na kukifanyia kazi kwa haraka

3: Ni mtunzi wa Nyimbo za dini ya kikristo ila sijapata support kutokana na mazngira niliyopo, naamini nilipata support naweza fanya kitu kikubwa.

Kwa anayesukumwa kunisaidia karibu inbox nahitaji sana msaada Mungu akubariki.🙏
 
Habari wanajukwaa wa JF

Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 31 elimu yangu ni kidato Cha sita(6) naomba msaada wa kupata kazi yoyote itakayoniingizia kipato ili maisha yangu yaende ,

Unaweza jiuliza umri huo na elimu ya kidato Cha sita ilikuwaje ?

Kimsingi nilimaliza kidato Cha sita 2013 nilipomaliza nilitaka kuendelea na masomo ya chuo kikuu ila sikufanikiwa kupata mkopo

Na familia yangu haikuwa na uwezo kabisa wa kuweza Tena kunilipia ada sio Siri kwasababu hata kufika kidato Cha sita chenyewe yaliuzwa Hadi mashamba ili tu nisome japo shule ni za serikali

Kwahyo baada ya kushindwa kuendelea na masomo nikalazimika kubaki nyumbani Kwa mwaka huo nikiamini yamkini mwaka unaofuata mambo yanaweza yakawa vzr nitaenda

Lakini mambo hayakuwa mazuri nilipata changamoto nyngn nying za kifamilia ambazo siwez ziandika hapa zote hivyo ikapelekea nipoteze kabisa ndoto za kusoma

Nikaanza kujihusisha na shughuli ndogo ndogo mtaani sasa kwakuwa nilipokuwa naishi ni kijijini hakukuwa na shughuli kubwa sana ambayo ingeweza kunisaidia Kwa upana

Nikaja nikapata changamoto ya magonjwa katikati nikaumwa lakini Mungu mwema kwasasa nimerecover Niko vzr

Hivyo naomba msaada kwa yoyote mwenye uwezo wa kunisaidia nipate kazi ya kufanya sichagui iwe ya ofisini au kokote kikubwa niweze kuendesha maisha kwani kwasasa Hali yangu ni ngumu na umri ndio unakimbia.

Note:
1: Nina uwezo wa kutumia computer kwa baadhi ya maeneo.

2: Ni mwepesi kujifunza kitu kipya na kukifanyia kazi kwa haraka

3: Ni mtunzi wa Nyimbo za dini ya kikristo ila sijapata support kutokana na mazngira niliyopo, naamini nilipata support naweza fanya kitu kikubwa.

Kwa anayesukumwa kunisaidia karibu inbox nahitaji sana msaada Mungu akubariki.🙏
Weka namba hapahapa usiogope dogo
 
Hili ni janga la wengi,jibidishe zaidi kutafuta maarifa information gap maarifa upanua WiGo wa mtu kufanikiwa.
Usiçhote kuwa unaongea na watu pendelea kukaa zaid vijiweni kuliko home huko utapata maarifa ya kuanzia mfano masokoni,stand,au popote penye watu ufanya shughuli utapata TU wazo.
 
Hili ni janga la wengi,jibidishe zaidi kutafuta maarifa information gap maarifa upanua WiGo wa mtu kufanikiwa.
Usiçhote kuwa unaongea na watu pendelea kukaa zaid vijiweni kuliko home huko utapata maarifa ya kuanzia mfano masokoni,stand,au popote penye watu ufanya shughuli utapata TU wazo.
Most of the youth feel shame and guilty. Suluhu la hili ni kuhama mazingira uliyokulia na kuondoka katikat ya watu wanaokujua.

Mm ningemshaur kutafta Kaz itakayomruhusu kumuv.. kusogea mahali alipo. Kama anaishi urban slum au shanty town apart hata gardener maeneo ya low density population.

Kuna watu Wana mashamba humu omba kwenda kusimamia
 
Hili ni janga la wengi,jibidishe zaidi kutafuta maarifa information gap maarifa upanua WiGo wa mtu kufanikiwa.
Usiçhote kuwa unaongea na watu pendelea kukaa zaid vijiweni kuliko home huko utapata maarifa ya kuanzia mfano masokoni,stand,au popote penye watu ufanya shughuli utapata TU wazo.
Kama id yako inavyosema...
Wee toa dili straight mkuu..
 
Most of the youth feel shame and guilty. Suluhu la hili ni kuhama mazingira uliyokulia na kuondoka katikat ya watu wanaokujua.

Mm ningemshaur kutafta Kaz itakayomruhusu kumuv.. kusogea mahali alipo. Kama anaishi urban slum au shanty town apart hata gardener maeneo ya low density population.

Kuna watu Wana mashamba humu omba kwenda kusimamia
Thread yangu iko wazi Niko tayar Kwa kazi yoyote kikubwa nipate mwanga wa siku za mbeleni na mkono uende kinywan kama unawafaham hao wenye mashamba yanayohitaj usimamiz si uniunganishie Moja Kwa Moja nawezaje kumjua mtu mwenye shamba mkuu humu na anahitaj msimamizi kma unavyosema???
 
Kama id yako inavyosema...
Wee toa dili straight mkuu..
Kazi rahisi kupata mjini ni ya ulinzi,usafi,anzia na hizi ukijiongeza kwa hicho kidogo jifunze ujasiliamali.
Kwann usigeukie kwenye ardhi ndio mtaji pekee msingi nguvu zako fyatua tofali,lima mazao yasiyo complicated yenye uhakika wa kuvuna mfano karanga,mtama,muhogo,nyonyo mbarika,mbaazi,kunde,au zama porini kakusanye ubuyu ukipata gunia zako mia umetoboa,lima viazi vitamu vikaushe uza,tengeza mifagio ya majani minazi mianzi au mifagio poli,tengeneza sabuni za mialobaini,minyonyo,milonge au majivu Kisha uzia community yako.
Ukitegemea kazi za kulipwa ujui utaziokota lini.
Ungekuwa una uwanja au shamba uzika ningekushauli uvuke boda kule kazi tele Kuna summer jobs USA Canada na ,ulaya kwani bongo sio Dili, ni Dili kama unayo bongo.Dili zimejaa bongo kuliko nje lakini ni lazima uwe na macho ya kuona Dili.
 
Kazi rahisi kupata mjini ni ya ulinzi,usafi,anzia na hizi ukijiongeza kwa hicho kidogo jifunze ujasiliamali.
Kwann usigeukie kwenye ardhi ndio mtaji pekee msingi nguvu zako fyatua tofali,lima mazao yasiyo complicated yenye uhakika wa kuvuna mfano karanga,mtama,muhogo,nyonyo mbarika,mbaazi,kunde,au zama porini kakusanye ubuyu ukipata gunia zako mia umetoboa,lima viazi vitamu vikaushe uza,tengeza mifagio ya majani minazi mianzi au mifagio poli,tengeneza sabuni za mialobaini,minyonyo,milonge au majivu Kisha uzia community yako.
Ukitegemea kazi za kulipwa ujui utaziokota lini.
Ungekuwa una uwanja au shamba uzika ningekushauli uvuke boda kule kazi tele Kuna summer jobs USA Canada na ,ulaya kwani bongo sio Dili, ni Dili kama unayo bongo.Dili zimejaa bongo kuliko nje lakini ni lazima uwe na macho ya kuona Dili.
Sikupingi kabisa mkuu
Upo vizuri sana hapa hata mimi kuna kitu nimekipata..🙌🙌🙌
 
Sikupingi kabisa mkuu
Upo vizuri sana hapa hata mimi kuna kitu nimekipata..🙌🙌🙌
Jifunze jinsi ya kuchukua pesa kwa watu kwa kuwauzia bidhaa au huduma.
Mafanikio ni mchakato endelevu.
Mungu umpa anaetafuta
Mtaji sio pesa bali ni vitu vinne 4H yaani HEAD, HEART,HAND na HEALTH hivi ndivyo 4 ukupa pesa,ingia google pana shirika linaitwa 4H lina TAWI bongo wanafundisha kushape mind.
Kufanikiwa ni fikra na sio mazingira kwani mazingira hayamfanyi mtu kuwa masikini bali fikra.Mfano ardhi ngumu na isiyofaa kwa kilimo ina mazao yanayofaa mfano minyonyo,milonge,miarobaini, Jatropha mbono nk haya ustawi kwenye ukame vijijini ardhi ni bure unalima moja wapo unavuta mbegu unakamua mafuta unatengeneza sabuni unauza sabuni ni kitu chenye demand kubwa ni daily use so unazisambaza kwenye maduka ya jirani kwa bei ndogo wakishauza unapitia kukusanya pesa zako unasave kwa muda utakao huku ukifikilia kuongeza uzalishaji.
 
Jifunze jinsi ya kuchukua pesa kwa watu kwa kuwauzia bidhaa au huduma.
Mafanikio ni mchakato endelevu.
Mungu umpa anaetafuta
ingia google pana shirika linaitwa 4H wanafundisha kushape mind.
Kufanikiwa ni fikra na sio mazingira kwani mazingira hayamfanyi mtu kuwa masikini bali fikra.Mfano ardhi ngumu na isiyofaa kwa kilimo ina mazao yanayofaa mfano minyonyo,milonge,miarobaini, Jatropha mbono nk haya ustawi kwenye ukame vijijini ardhi ni bure unalima moja wapo unavuta mbegu unakamua mafuta unatengeneza sabuni unauza sabuni ni kitu chenye demand kubwa ni daily use so unazisambaza kwenye maduka ya jirani kwa bei ndogo wakishauza unapitia kukusanya pesa zako unasave kwa muda utakao huku ukifikilia kuongeza uzalishaji.
Mtaji sio pesa bali ni vitu vinne 4H yaani
HEAD,
HEART,
HAND
na HEALTH
Mkuu shukrani sana aiseee..
Ila hapa kwenye HEART najaribu kuchanganua ila sijajua hii imekaaje .? Na HAND kidgo ufafanuzi
 
Mtaji sio pesa bali ni vitu vinne 4H yaani
HEAD,
HEART,
HAND
na HEALTH
Mkuu shukrani sana aiseee..
Ila hapa kwenye HEART najaribu kuchanganua ila sijajua hii imekaaje .? Na HAND kidgo ufafanuzi
Unadhani kufanya kazi ni akili tu? Inabidi uwe na moyo wa kuipenda kazi na kuwapenda watu wanaokusaidia hizo kazi unazofanya pamoja na wateja wako kuwathamini sana. Nadhani nimemjibia kiasi 😀
 
Unadhani kufanya kazi ni akili tu? Inabidi uwe na moyo wa kuipenda kazi na kuwapenda watu wanaokusaidia hizo kazi unazofanya pamoja na wateja wako kuwathamini sana. Nadhani nimemjibia kiasi 😀
Doooh kupenda tena..
Mi nakua na focus kwa mambo yangu zaidi 😂😂😂😂
Kupenda mtihani hapo
 
Mtaji sio pesa bali ni vitu vinne 4H yaani
HEAD,
HEART,
HAND
na HEALTH
Mkuu shukrani sana aiseee..
Ila hapa kwenye HEART najaribu kuchanganua ila sijajua hii imekaaje .? Na HAND kidgo ufafanuzi
HAND ni mikono KAZI ya mikono yako kwa mikono unafanya kazi mfano kulima,kupika,kutengeneza,nk.
Yaan ujasiliamali.
HEART moyo nia shauku kiu dhamira ya kutoboa,Hapa ni ishu ya Attitude au moto wa ndani positivity vision kutimiza lengo Fulani vikwazo sio kikwazo.Imani mfano wa mbegu ya aladali
Msemo wa Kichina unasema ukiamua kulima anza Kwa mikono ukingojea jembe litakuja,Anza jambo lako mdogo mdogo ukifocus malengo Yako hata watu wakucheke weka aibu pembeni lakini unajua nini unafanya.Uchizi wa kufanikiwa.
 
HAND ni mikono KAZI ya mikono yako kwa mikono unafanya kazi mfano kulima,kupika,kutengeneza,nk.
Yaan ujasiliamali.
HEART moyo nia shauku kiu dhamira ya kutoboa,Hapa ni ishu ya Attitude au moto wa ndani positivity vision kutimiza lengo Fulani vikwazo sio kikwazo.Imani mfano wa mbegu ya aladali
Msemo wa Kichina unasema ukiamua kulima anza Kwa mikono ukingojea jembe litakuja,Anza jambo lako mdogo mdogo ukifocus malengo Yako hata watu wakucheke weka aibu pembeni lakini unajua nini unafanya.Uchizi wa kufanikiwa.
👏👏👏👏👏 Asante sana mkuu
Shukrani mno 🙏🙏🙏🙏
Nimekuelewa vya kutosha hapa ni kujitoa tu kwa moyo wote...
Kumbe ni kweli hivi vitu vina kanuni zake 🙏🙏🙏🙏
 
Doooh kupenda tena..
Mi nakua na focus kwa mambo yangu zaidi 😂😂😂😂
Kupenda mtihani hapo
Usipoipenda kazi nayo haiwezi kukupenda ni sawa na mmea usipoupenda nao hauwezi kukupenda yaani kuzaa hizi ni laws of nature kanuni za asili
Ukiwapenda wateja nao watakupenda utauza sana.
Hamaanishi kupenda ile ya ngono.
 
Usipoipenda kazi nayo haiwezi kukupenda ni sawa na mmea usipoupenda nao hauwezi kukupenda yaani kuzaa hizi ni laws of nature kanuni za asili
Ukiwapenda wateja nao watakupenda utauza sana.
Hamaanishi kupenda ile ya ngono.
"""Hamaanishi kupenda ile ya ngono."""
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Half american
Mbaga Jr
 
Back
Top Bottom