christophany
Member
- Apr 6, 2024
- 12
- 44
Habari wanajukwaa wa JF
Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 31 elimu yangu ni kidato Cha sita(6) naomba msaada wa kupata kazi yoyote itakayoniingizia kipato ili maisha yangu yaende ,
Unaweza jiuliza umri huo na elimu ya kidato Cha sita ilikuwaje ?
Kimsingi nilimaliza kidato Cha sita 2013 nilipomaliza nilitaka kuendelea na masomo ya chuo kikuu ila sikufanikiwa kupata mkopo
Na familia yangu haikuwa na uwezo kabisa wa kuweza Tena kunilipia ada sio Siri kwasababu hata kufika kidato Cha sita chenyewe yaliuzwa Hadi mashamba ili tu nisome japo shule ni za serikali
Kwahyo baada ya kushindwa kuendelea na masomo nikalazimika kubaki nyumbani Kwa mwaka huo nikiamini yamkini mwaka unaofuata mambo yanaweza yakawa vzr nitaenda
Lakini mambo hayakuwa mazuri nilipata changamoto nyngn nying za kifamilia ambazo siwez ziandika hapa zote hivyo ikapelekea nipoteze kabisa ndoto za kusoma
Nikaanza kujihusisha na shughuli ndogo ndogo mtaani sasa kwakuwa nilipokuwa naishi ni kijijini hakukuwa na shughuli kubwa sana ambayo ingeweza kunisaidia Kwa upana
Nikaja nikapata changamoto ya magonjwa katikati nikaumwa lakini Mungu mwema kwasasa nimerecover Niko vzr
Hivyo naomba msaada kwa yoyote mwenye uwezo wa kunisaidia nipate kazi ya kufanya sichagui iwe ya ofisini au kokote kikubwa niweze kuendesha maisha kwani kwasasa Hali yangu ni ngumu na umri ndio unakimbia.
Note:
1: Nina uwezo wa kutumia computer kwa baadhi ya maeneo.
2: Ni mwepesi kujifunza kitu kipya na kukifanyia kazi kwa haraka
3: Ni mtunzi wa Nyimbo za dini ya kikristo ila sijapata support kutokana na mazngira niliyopo, naamini nilipata support naweza fanya kitu kikubwa.
Kwa anayesukumwa kunisaidia karibu inbox nahitaji sana msaada Mungu akubariki.🙏
Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 31 elimu yangu ni kidato Cha sita(6) naomba msaada wa kupata kazi yoyote itakayoniingizia kipato ili maisha yangu yaende ,
Unaweza jiuliza umri huo na elimu ya kidato Cha sita ilikuwaje ?
Kimsingi nilimaliza kidato Cha sita 2013 nilipomaliza nilitaka kuendelea na masomo ya chuo kikuu ila sikufanikiwa kupata mkopo
Na familia yangu haikuwa na uwezo kabisa wa kuweza Tena kunilipia ada sio Siri kwasababu hata kufika kidato Cha sita chenyewe yaliuzwa Hadi mashamba ili tu nisome japo shule ni za serikali
Kwahyo baada ya kushindwa kuendelea na masomo nikalazimika kubaki nyumbani Kwa mwaka huo nikiamini yamkini mwaka unaofuata mambo yanaweza yakawa vzr nitaenda
Lakini mambo hayakuwa mazuri nilipata changamoto nyngn nying za kifamilia ambazo siwez ziandika hapa zote hivyo ikapelekea nipoteze kabisa ndoto za kusoma
Nikaanza kujihusisha na shughuli ndogo ndogo mtaani sasa kwakuwa nilipokuwa naishi ni kijijini hakukuwa na shughuli kubwa sana ambayo ingeweza kunisaidia Kwa upana
Nikaja nikapata changamoto ya magonjwa katikati nikaumwa lakini Mungu mwema kwasasa nimerecover Niko vzr
Hivyo naomba msaada kwa yoyote mwenye uwezo wa kunisaidia nipate kazi ya kufanya sichagui iwe ya ofisini au kokote kikubwa niweze kuendesha maisha kwani kwasasa Hali yangu ni ngumu na umri ndio unakimbia.
Note:
1: Nina uwezo wa kutumia computer kwa baadhi ya maeneo.
2: Ni mwepesi kujifunza kitu kipya na kukifanyia kazi kwa haraka
3: Ni mtunzi wa Nyimbo za dini ya kikristo ila sijapata support kutokana na mazngira niliyopo, naamini nilipata support naweza fanya kitu kikubwa.
Kwa anayesukumwa kunisaidia karibu inbox nahitaji sana msaada Mungu akubariki.🙏