Msaada: Natafuta kazi ya kufanya. Ni mwepesi kujifunza kazi yoyote

Msaada: Natafuta kazi ya kufanya. Ni mwepesi kujifunza kazi yoyote

πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘ Asante sana mkuu
Shukrani mno πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
Nimekuelewa vya kutosha hapa ni kujitoa tu kwa moyo wote...
Kumbe ni kweli hivi vitu vina kanuni zake πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
Dunia ni siri na Siri ndio mafanikio yenyewe zijue siri uwe huru usiteswe na umasikini,mapenzi,nk.
Kila kitu kina kanuni zijue tu kanuni zake
 
Dunia ni siri na Siri ndio mafanikio yenyewe zijue siri uwe huru usiteswe na umasikini,mapenzi,nk.
Kila kitu kina kanuni zijue tu kanuni zake
Ndo mana wapo wachache sana kumbe kuna mambo hayaendi hivi hivi mpaka ufungue code..
Sasa wenzangu na mimi tunaishi kimazoea sana.
Hapa ndo tunapata 1, 2, 3 kidogo kidogo mkuu πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Watu medium ndo wanatoa hata mawazo nini jamaa afanye, big up! lkn kuna watu humu wanaweza kumuajili au connect huyu jamaa badala yake wanapita tu.!

Ngozi nyeusi ikishaa shiba na kitambi ka puto haioni mateso ya mwingine.

Jamaa yng pambana ila nakusihi usiache KUMUOMBA MUNGU SANA,

Fasting is necessary, Mungu anasikia na anafungua milango utaenjoy my friend.!
 
Ndo mana wapo wachache sana kumbe kuna mambo hayaendi hivi hivi mpaka ufungue code..
Sasa wenzangu na mimi tunaishi kimazoea sana.
Hapa ndo tunapata 1, 2, 3 kidogo kidogo mkuu πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
Dunia ni codes,zifungue uwe huru.
Mfano jiulize kwann wazungu wanatoa sana misaada afrika ukidhani wanatupenda sana,jiulize mbona tangu tuanze kusaidiwa mbona hatuendelei wao ndio wanaofaidika na kuendelea siri wanachukua baraka zetu,
Au kwann watu wanakesha wanaomba makanisani but still wanatandikwa na umasikini, maombi si jibu pekee kwa Mungu bali uzijue codes za kiMungu ili ufanikiwe.
 
Dunia ni codes,zifungue uwe huru.
Mfano jiulize kwann wazungu wanatoa sana misaada afrika ukidhani wanatupenda sana,jiulize mbona tangu tuanze kusaidiwa mbona hatuendelei wao ndio wanaofaidika na kuendelea siri wanachukua baraka zetu,
Au kwann watu wanakesha wanaomba makanisani but still wanatandikwa na umasikini, maombi si jibu pekee kwa Mungu bali uzijue codes za kiMungu ili ufanikiwe.
Mkuu yaani hoja yako haiendani kabisa na hii mada kwakweli.
Kismingi waafrika hauendelei kwasababu ya ujinga, uvivu na ubinafsi.
Na hakuna code yeyote ya kiMungu, labda kama unamsemea mungu.
Hakuna siri ya mafanikio yanayo kuja pasipo Maarifa, Bidii na Nidhamu.
 
Mkuu yaani hoja yako haiendani kabisa na hii mada kwakweli.
Kismingi waafrika hauendelei kwasababu ya ujinga, uvivu na ubinafsi.
Na hakuna code yeyote ya kiMungu, labda kama unamsemea mungu.
Hakuna siri ya mafanikio yanayo kuja pasipo Maarifa, Bidii na Nidhamu.
Maarifa,bidii na ni nidhamu si ndio codes zenyewe za kiMungu.
Mungu kasema Sala na KAZI,KAZI ni ibada ndo maana yeye alifanya kazi siku sita.Baada ya sala tawanyikeni katika uso wa ardhi mkaitafute riziki.
Maendeleo ni utamaduni wa magharibi sio utamaduni wetu waafrika.
Waafrika tuna tafsiri yetu ya maendeleo tofauti na hii ya magharibi yaani majumba,magari,vyeti,nk
 
Naona umejiunga Jf jana, sijui kwanini napataga mashaka na hizi ID mpy....πŸ€”
Unaonekana ni mchanga sana wa kufikri hiv ww ulipojiunga JF siku yakwanza ulitaka watu wakujudge why umejiunga au ulitaka nijiunge lini ndio niandike hitaji langu?

Mm sikujiunga Huku kupiga story nilijiunga kwa sababu maalumu ambayo ndio hyo nimeiweka mezani au ulitaka nikae kwa muda Gani Kisha ndio niseme naomba msaada.

Inshort baada ya kuhangaika Huku na Huku kuna rafik yang akaniambia kuna mtandao unaitwa JF join then weka hoja yako mezani unaweza pata msaada

ila nimesikitika kukutana na mtu wa type yako unayewaza negative kwa kila mgeni aliyekuja kujenga karibu na nyumba yako 😑😑😑

Next time ukiwa hujaelewa hoja hakuna haja Sana ya kuandika unaweza soma Kisha unapita , na kma ni mwelewa baada ya kusoma yote niliyoyaandika ulipaswa kuelewa kwann nimejiunga Jana

punguza negative expectation hasa kwa mtu usiyemjua.πŸ™
 
Kazi rahisi kupata mjini ni ya ulinzi,usafi,anzia na hizi ukijiongeza kwa hicho kidogo jifunze ujasiliamali.
Kwann usigeukie kwenye ardhi ndio mtaji pekee msingi nguvu zako fyatua tofali,lima mazao yasiyo complicated yenye uhakika wa kuvuna mfano karanga,mtama,muhogo,nyonyo mbarika,mbaazi,kunde,au zama porini kakusanye ubuyu ukipata gunia zako mia umetoboa,lima viazi vitamu vikaushe uza,tengeza mifagio ya majani minazi mianzi au mifagio poli,tengeneza sabuni za mialobaini,minyonyo,milonge au majivu Kisha uzia community yako.
Ukitegemea kazi za kulipwa ujui utaziokota lini.
Ungekuwa una uwanja au shamba uzika ningekushauli uvuke boda kule kazi tele Kuna summer jobs USA Canada na ,ulaya kwani bongo sio Dili, ni Dili kama unayo bongo.Dili zimejaa bongo kuliko nje lakini ni lazima uwe na macho ya kuona Dili.
Mkuu umeshauri vyema kabisa namimi nimependa ushauri wako. tuambie wewekati ya vyote ulivyo orodhesha ulianza na kipi na ulifanyafanyaje ? ahsant ili jamaa apate uzoeefu
 
Mtaji sio pesa bali ni vitu vinne 4H yaani
HEAD,
HEART,
HAND
na HEALTH
Mkuu shukrani sana aiseee..
Ila hapa kwenye HEART najaribu kuchanganua ila sijajua hii imekaaje .? Na HAND kidgo ufafanuzi
Kwenye HAND naweza saidia, labda ana maanisha mkono wa kufanyia kazi. HEART mhuuuu... Labda moyo wa ufanyaji kazi
 
Dunia ni siri na Siri ndio mafanikio yenyewe zijue siri uwe huru usiteswe na umasikini,mapenzi,nk.
Kila kitu kina kanuni zijue tu kanuni zake
Kila siku watu wanasema kuwa zijue kanuni za Dunia utoboe, lakini hakuna hata mmoja aliyewahi kuzitaja hizo kanuni au kusema zinapatikana wapi ili tukajifunze
 
Unakuta umewahi kujitapa kuwa wewe ni don sasa leo hii unaanzaje kulialia kuwa unatafuta kazi, fungua id mpya then lia nayo na ile ya zamani unaitumia kujionea huruma.
Otikiii 🀣
 
Back
Top Bottom