Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Oky sasa mkuu badae nakutumia namba PM kuna mtu ummcheki..Mbagala maeneo ya kirungule mwisho
Ila kuwa mwaminifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oky sasa mkuu badae nakutumia namba PM kuna mtu ummcheki..Mbagala maeneo ya kirungule mwisho
Duuuh mkuu share hapa basi chochote..Dunia ni codes,zifungue uwe huru.
Mfano jiulize kwann wazungu wanatoa sana misaada afrika ukidhani wanatupenda sana,jiulize mbona tangu tuanze kusaidiwa mbona hatuendelei wao ndio wanaofaidika na kuendelea siri wanachukua baraka zetu,
Au kwann watu wanakesha wanaomba makanisani but still wanatandikwa na umasikini, maombi si jibu pekee kwa Mungu bali uzijue codes za kiMungu ili ufanikiwe.
Tunavumiliana mkuu, naweza kukujibu kwa jazba ukashangaa kumbe hasira zangu zimetoka mbali sema sikuwa na sehemu ya kuzipunguzia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kanijibu kwa bonge la risala lililojaa hasira za mkizi ndaniyake....[emoji1787][emoji1787] christophany
Mkuu kumbe huwa una busara aisee, hii safi nimeipendaHujajua nimekutafakar kias gan ushawah kuwaza wewe ndio unashida halaf mm nmekuchukulia ulivyochukulia?
halaf kwenye halaiki ya watu namna hii. Au hujui kama comment yako Moja inaweza mfanya mwingne awaze kma ulivyowaza
na inaweza mnyima mtu nafasi ya kumsaidia mtu
ukitaka kujua Hilo fuatilia wangap watalike na kusupport ulichoandika ndio utajua kwann nimeweza kuandika maneno meng kias hiko kwenye maneno yako machache
ila okey umeeleweka na hongera [emoji120]
Uko sahihi mkuu, ila nakushauri jaribu kuzuia hasira zako, maana humu tupo watu wa aina nyingi sana, wengine anaweza kukukwaza si kwa nia mbaya ila anataka kujua kiwango chako cha uvumilivu, sasa mtu wa kukusaidia anapoona kuwa jambo dogo una panic kidogo inaleta ukakasi. Kikubwa usaidike na mimi nakuombea heri mkuuHapana ila nmegundua asilimia kubwa ya watz tunapenda sana dhalau hasa Kwa Watu tusiowajua na hii imewagharimu wengi. Haiwezkan from no where unamashaka na mtu kuwa mpyaa JF inamaana Kuna idadi maalumu wa wahusika humu au
hiyo haitoshi mtu hawaz hitaji alilonalo mtu anaandika comments zinazolenga kuleta taharuki Kwa wengne , kma umefuatilia comment yake wapo walioisupport kitaalamu pale ishaniondolea idadi ya Watu ambao wangekuwa na msaada kwang .
Jamaa anaongea kirahis ivi watu wa connection wanapatikan iv iv?Another motivational speaker in town
Jamaa anaongea kirahis ivi watu wa connection wanapatikan iv iv?Another motivational speaker in town
Sawa mkuu nashukuru sana.Oky sasa mkuu badae nakutumia namba PM kuna mtu ummcheki..
Ila kuwa mwaminifu
Habar, ukuweka mawasilianoHabari wanajukwaa wa JF
Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 31 elimu yangu ni kidato Cha sita(6) naomba msaada wa kupata kazi yoyote itakayoniingizia kipato ili maisha yangu yaende ,
Unaweza jiuliza umri huo na elimu ya kidato Cha sita ilikuwaje ?
Kimsingi nilimaliza kidato Cha sita 2013 nilipomaliza nilitaka kuendelea na masomo ya chuo kikuu ila sikufanikiwa kupata mkopo
Na familia yangu haikuwa na uwezo kabisa wa kuweza Tena kunilipia ada sio Siri kwasababu hata kufika kidato Cha sita chenyewe yaliuzwa Hadi mashamba ili tu nisome japo shule ni za serikali
Kwahyo baada ya kushindwa kuendelea na masomo nikalazimika kubaki nyumbani Kwa mwaka huo nikiamini yamkini mwaka unaofuata mambo yanaweza yakawa vzr nitaenda
Lakini mambo hayakuwa mazuri nilipata changamoto nyngn nying za kifamilia ambazo siwez ziandika hapa zote hivyo ikapelekea nipoteze kabisa ndoto za kusoma
Nikaanza kujihusisha na shughuli ndogo ndogo mtaani sasa kwakuwa nilipokuwa naishi ni kijijini hakukuwa na shughuli kubwa sana ambayo ingeweza kunisaidia Kwa upana
Nikaja nikapata changamoto ya magonjwa katikati nikaumwa lakini Mungu mwema kwasasa nimerecover Niko vzr
Hivyo naomba msaada kwa yoyote mwenye uwezo wa kunisaidia nipate kazi ya kufanya sichagui iwe ya ofisini au kokote kikubwa niweze kuendesha maisha kwani kwasasa Hali yangu ni ngumu na umri ndio unakimbia.
Note:
1: Nina uwezo wa kutumia computer kwa baadhi ya maeneo.
2: Ni mwepesi kujifunza kitu kipya na kukifanyia kazi kwa haraka
3: Ni mtunzi wa Nyimbo za dini ya kikristo ila sijapata support kutokana na mazngira niliyopo, naamini nilipata support naweza fanya kitu kikubwa.
Kwa anayesukumwa kunisaidia karibu inbox nahitaji sana msaada Mungu akubariki.🙏