Msaada: Natafuta kazi ya kufanya. Ni mwepesi kujifunza kazi yoyote

Duuuh mkuu share hapa basi chochote..
Mana naona unaongea vitu confidential sana mkuu 🙌🙌🙌🙌🙌
 
Hapana mkuu, ila hata mimi siku yakinikuta lazima nipite njia hii
 
Kanijibu kwa bonge la risala lililojaa hasira za mkizi ndaniyake....[emoji1787][emoji1787] christophany
Tunavumiliana mkuu, naweza kukujibu kwa jazba ukashangaa kumbe hasira zangu zimetoka mbali sema sikuwa na sehemu ya kuzipunguzia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu kumbe huwa una busara aisee, hii safi nimeipenda
 
Uko sahihi mkuu, ila nakushauri jaribu kuzuia hasira zako, maana humu tupo watu wa aina nyingi sana, wengine anaweza kukukwaza si kwa nia mbaya ila anataka kujua kiwango chako cha uvumilivu, sasa mtu wa kukusaidia anapoona kuwa jambo dogo una panic kidogo inaleta ukakasi. Kikubwa usaidike na mimi nakuombea heri mkuu
 
Hayo mashamba yaliuzwa shilingi ngapi na ada ya sekondari ilikuwa ni kiasi gani hadi isitoshe kukusomesha hadi chuo kikuu?

Na kama mashamba yaliuzwa halafu ukakomaa na masomo, ilikuwaje haukufaulu, hebu naomba ufafanuzi na please jitahidi kunyoosha maelezo huku ukitoa figures?
 
Habar, ukuweka mawasiliano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…