we Geof, hizi campaign zako na ushauri wa aina hii kwa mwenzio siyo mzuri, imagini kama angekuwa mdogo wako ndo jamaa anataka kuharibu at such a young age, pls si vizuri.kama nilivyokusisitizia mkuu fiksiman kajaribu kukaomba mchezo uone mziki wake.unaweza dhani ni katoto kumbe watu wazima wanacheza na mashine kama hawana akili nzuri.ninayo very sad stori kuhusu hili,nitawapa siku moja.wanawake ni mama zetu,lakini niwatu hatari sana
hata kama wanapoteza mwelekeo, jukumu letu kama wazazi, walezi na makaka na madada ni kuzidi kuwapa moyo hawa wanaowaharibu au kuwakataza? Mbu unaniangusha, i hope huna binti katika familia yako, na kama unae i hope situation ya aina hii hutaiface, maana tunaongea tu kwa vile hayajatukuta, halafu ukute na mtu mwenyewe mwathinka afadhali hata mimba. God forbid...naaam bro,
nimeyatafakari yote hayo ndugu yangu ila majority ya 16yrs old wetu wa Tz wanapoteza 'muelekeo' kwenye umri huo, hasa wale ambao wazazi wao hawana uwezo ki hivyo, ama?
sas na wewe umekuja hapa kupata approval au kuomba ushauri? inakuwaje watu wanaokushauri othrwise unawapaka na wale wanaokubaliana na ufirauni wako ndo unawasifia. You came here with your mind already set so you are just enjoying us. Lkini nachosema mimi hata nikibaki peke yangu, i am against this, wazee wenzio kibao huko tena wako very desperate for marriage if thats what you really want, eti kwa vile bikra, we mwenyewe hiyo bikra unayo au ushakuwa used vya kutosha lakini unataka brand new? Halafu kuna watu wazima humu wenye familia zao wanakuunga mkono, badala ya kurekebisha mapungufu yalioko kwenye jamii yetu na magonjwa yote haya yunazidi ku encourage watu kama hawa kwenye kuharibu mabinti zetu. tena nionavyo mimi binti kama kajitahidi kuwa bikra hata sasa anaweza kuendelea kujitunza zaidi kama watu kama hawa wasipotokea na kujifanya wanawashawishi kwa ndoa. i hope you will feel it when you are a parent yoursel, wanasema malipo ni hapa hapa, and what goes around comes around.Hayo ndo maneno sasa....sio kuleta unafiki tu.
Umalaya tu huo kumbe unataka kukamega??? Mi Demu wangu namzidi miaka 6 na yuko grade 11(High School) ila tuko fiti tu !!!
Huyu mtoto kwa kweli nataka kumuoa kabisa..tatizo ni mdogo sana kanaweza kunibadilikia kakianza kujua dunia. Japo kamenihakikishia hundred times kuwa ananipenda na ananipenda kiukweli. Yuko tayari hata kunipa bikra yake kama naona namuongopea.
Sasa haya ni maneno mazito kutoka kwake ndo maana naomba ushari kwenu pengine wapo wenye situation kama yangu....binafsi nimeamua kumpa muda akue at least miaka miwili afu ndo nianze kummega.
Hayo ndo maneno sasa....sio kuleta unafiki tu.
Ndugu zangu bila shaka wengi mwafahamu niko kwenye msako wa kutafuta mwenza na nilishatoa sifa naona watu wamegoma kunisaidia.
Sasa nimefanikiwa kupata kademu kamoja MATATA SANA! Shida huyo ni mtoto mwenyewe nimemzidi age afu hakajavuka miaka yetu ile ya kujiachia. Naomba ushauri wenu niendelee nacho au nikapotezee....Bado sijakala na kameniambia hakajawahi kuguswa.
Angalizo: Naomba ushauri tu msije kuanza uanaharakati wenu kwenye hii thread...chondechonde moderator nilinde katika hili.
AHSANTE
sas na wewe umekuja hapa kupata approval au kuomba ushauri? inakuwaje watu wanaokushauri othrwise unawapaka na wale wanaokubaliana na ufirauni wako ndo unawasifia. You came here with your mind already set so you are just enjoying us. Lkini nachosema mimi hata nikibaki peke yangu, i am against this, wazee wenzio kibao huko tena wako very desperate for marriage if thats what you really want, eti kwa vile bikra, we mwenyewe hiyo bikra unayo au ushakuwa used vya kutosha lakini unataka brand new? Halafu kuna watu wazima humu wenye familia zao wanakuunga mkono, badala ya kurekebisha mapungufu yalioko kwenye jamii yetu na magonjwa yote haya yunazidi ku encourage watu kama hawa kwenye kuharibu mabinti zetu. tena nionavyo mimi binti kama kajitahidi kuwa bikra hata sasa anaweza kuendelea kujitunza zaidi kama watu kama hawa wasipotokea na kujifanya wanawashawishi kwa ndoa. i hope you will feel it when you are a parent yoursel, wanasema malipo ni hapa hapa, and what goes around comes around.
Mkubwa hapa sisapo kabisa...Tujaribu kuichambua mada ya mdau aliyetoa kabla ya kuanza kumuhukumu......Kwanza sijaona mahali alipoandika kwamba anataka ushauri wa kulala nae...Na pia na yeye najuwa ana akili timamu hawezi kuja hapa kuomba ushauri kama huo...So tujaribu kutoa ushauri kwa kile alichoandika sio tunachojiamulia kusema wakati mwenyewe hajasema.........Pamoja
kashasema binti ana 16 yrs na kwamba yeye kamzidi 10 years, which means ana 26 years. mi nadani huyo bint bado mdogo na anatakiwa aachwe aconcetrate na masomo, mambo ya kuanza kumshawishi eti nataka kukuoa sijui nini huyu jamaa aache, unaweza kuta anataka kumchokonoa na kumwaga. ashindweeeeeeeeee
hebu achana nako kabisa mtoto wa miaka 16 mbona anafaa kuwa shuleni...jamani duh!!! kwa nini usitafute wenye miaka 20+ na wapo wengi tele ukikosa hata wa karne tatu na/...... tupo wengi achana na vitoto utajipata jela bure....
Ndugu zangu bila shaka wengi mwafahamu niko kwenye msako wa kutafuta mwenza na nilishatoa sifa naona watu wamegoma kunisaidia.
Sasa nimefanikiwa kupata kademu kamoja MATATA SANA! Shida huyo ni mtoto mwenyewe nimemzidi age afu hakajavuka miaka yetu ile ya kujiachia. Naomba ushauri wenu niendelee nacho au nikapotezee....Bado sijakala na kameniambia hakajawahi kuguswa.
Angalizo: Naomba ushauri tu msije kuanza uanaharakati wenu kwenye hii thread...chondechonde moderator nilinde katika hili.
AHSANTE
hako ni kadogo sana mmh inabidi akaache kaendelee na maisha yake
lakini camel vibinti vya kileo utakuta chenyewe kinamfata mala ooh mbona siku hizi umenichunia ,,,nakumiss na mambo kibao
Usimuharibie maisha binti wa watu kwa ukware wako. Binti ndiyo kwanza yuko Form Two kama anaenda shule na wewe baba mtu mzima badala ya kwenda kutafuta wanawake wa rika lako unataka kumharibu binti wa watu! Mtu mzima hovyooooo!