Sawa sawa hakuna shidaaHaswaaaaaa! Halafu uwe na tahadhari katika kupenda kwako ili ikitokea siku ukaachwa au kusalitiwa usije ukajitia kitanzi au kunywa sumu kwa ajili ya mapenzi.
Ushauri huu unapewa na mwanaume mwenzio mwenye umri wa miaka 47 ambaye kaishaachana na wanawake watano ikiwa pamoja na wawili aliozaa nao watoto.
Kila la kheri maisha ni popote, ila uangalie wakenya wana tabia ya kukuacha uchukue uraia kwanza alafu wanageuka sura kama vinyonga. Uwe makini sana.Habari wanajamii. Mimi ni kijana mpambanaji mchapakazi ishu imenileta kwenu ni hii mimi nimekuja huku Kenya niko na miaka 2 sasa, kiukweli naishi poa na nimebahatika kupata msichana na tayari ni mjamzito mpaka mwezi wa 3 natarajia mtoto kutoka kwa binti wa kikenya mrembo sana my love
Sasa hilo tuliache kiukweli nampenda ananipenda sana ila shida iko mm nimeamua nikatae kabisa Tanzania niwe raia wa Kenya sitaki mtoto wangu na mke wangu siku moja niwaaache nirudi Tanzania.
Nilikuwa naomba njia rahisi ya mimi kuwa raia wa huku yaani nipate I'd niwe na haki zote kama Mkenya japo niko na NIDA ya Tanzania nimezaliwa Tanzania full sasa ninataka niwe mkenya kwa ajiri ya maslahi mapana ya mke na mwanangu.
Kiufupi nimejiwekeza maana niko na pikipiki niko na biashara ya nguo huku, pesa ya kubadili mboga napata na mke wangu ana kazi yeye ni msusi mzuri sana
Nisaidien plz sio kama naikataa Tanzania 🇹🇿 ila ninampenda huyu mwanamke kuliko chochote hata kuliko hiyo Tanzania 🇹🇿 yenyewe
Rudi Tanzania na mkeo nenda Bomani mkaoane. Omba settlement visa kwenye ubalozi wa Kenya, then utakuwa mkazi halali wa Jamhuri ya Kenya. Hiyo ni hatua ya kwanza mengine ya uraia utayapata wizara ya mambo ya ndani nina maana Immigration ya Kenya. Una nafasi kubwa omni lako kukubsliwa, ili mradi fanya kazi halali lipa kodi na usivunje sheria za nchi hasa hasa makosa makubwa yatakayo kupelekea ufungwe.Naishi tuuu sio kiharali
Sheria za aridhi za Kenya ni tofauti na zetu Tanzania. Mgeni kule unaweza miliki aridhi. Provided you are not illegal immigrantSasa unanunuaje plot wakati sio raia?hiyo plot sio yako any yime unapokonywa
Kama unaishi sio kihalali mnaenda kubaki usifuate huu ushauri na swala la yeye kuwa raia wa Kenya plus awe na NIDA huku Tanzania hilo haliwezekaniWahi ofisi za migration Kenya mkeo nenda nae na tumbo lake atakurahisishia kazi
Broo yaaan kenya na Tanzania 🇹🇿 mpak viza mkubwaRudi Tanzania na mkeo nenda Bomani mkaoane. Omba settlement visa kwenye ubalozi wa Kenya, then utakuwa mkazi halali wa Jamhuri ya Kenya. Hiyo ni hatua ya kwanza mengine ya uraia utayapata wizara ya mambo ya ndani nina maana Immigration ya Kenya. Una nafasi kubwa omni lako kukubsliwa, ili mradi fanya kazi halali lipa kodi na usivunje sheria za nchi hasa hasa makosa makubwa yatakayo kupelekea ufungwe.
Ongea na wakenya wawaulize migration juu ya njia ya kutatua inshu yako,hakuna linaloshindikana Kila la kheriHabari wanajamii. Mimi ni kijana mpambanaji mchapakazi ishu imenileta kwenu ni hii mimi nimekuja huku Kenya niko na miaka 2 sasa, kiukweli naishi poa na nimebahatika kupata msichana na tayari ni mjamzito mpaka mwezi wa 3 natarajia mtoto kutoka kwa binti wa kikenya mrembo sana my love
Sasa hilo tuliache kiukweli nampenda ananipenda sana ila shida iko mm nimeamua nikatae kabisa Tanzania niwe raia wa Kenya sitaki mtoto wangu na mke wangu siku moja niwaaache nirudi Tanzania.
Nilikuwa naomba njia rahisi ya mimi kuwa raia wa huku yaani nipate I'd niwe na haki zote kama Mkenya japo niko na NIDA ya Tanzania nimezaliwa Tanzania full sasa ninataka niwe mkenya kwa ajiri ya maslahi mapana ya mke na mwanangu.
Kiufupi nimejiwekeza maana niko na pikipiki niko na biashara ya nguo huku, pesa ya kubadili mboga napata na mke wangu ana kazi yeye ni msusi mzuri sana
Nisaidien plz sio kama naikataa Tanzania 🇹🇿 ila ninampenda huyu mwanamke kuliko chochote hata kuliko hiyo Tanzania 🇹🇿 yenyewe
Visa lazimaBroo yaaan kenya na Tanzania 🇹🇿 mpak viza mkubwa
Huhitaji visa uko sahihi hapa ni Afrika masharikiViza si zani kwa sababu kenya na Tanzania ni Africa mashariki labda passport tuu