Msaada nataka kwenda Auckland New Zealand kutafuta life

Msaada nataka kwenda Auckland New Zealand kutafuta life

Lakini vipi kuhusu kukomaa hapa hapa bongo!Kwa sababu, mara nyingi mazingira maskini yana fursa nyingi sana kuliko nchi zilizoendelea.

Namanisha, huku bongo unaweza hata kufuga kuku, kulima bustani, kuanzisha viwanda vidogo vidogo nk, tofauti na ukiwa huko Ulaya.

Mimi nilipokuwa chuo kikuu nilianza harakati za kwenda majuu nikiamini ndo kuna maisha. Kwa bahati nzuri strategies zangu zilifeli.

Nikaona isiwe shida, nikaamua kuanzisha harakati za kutafuta pesa humuhumu bongo, ili nikipata hela nyingi najua ntakwenda Ulaya kutembea na kurudi. Sidhani nikiwa na hela ya kutosha ntanyimwa visa ya kwenda kutembea.

Unajua, nilichojifunza, kwa sasa jamani hapa TZ maendeleo yanazidi kushamiri vijijini, na huko ndiko kuna fursa nyingi ambazo ni ngeni lakini zimezoeleka mijini. Kule kijijini unaweza kuanzisha, ufugaji au kilimo cha kisasa, ukafungua steshenari kwa ajili ya wanafunzi wa sekondari za kata, usafirishaji ndiyo kabisaa unapiga hela mfano ukiwa na kigari kidogo tu kama Noah, Ukanzisha kiwanda cha welding, ukanzisha video shooting, ukafungua studio ya kurekodi miziki, ukanzisha maduka ya bidhaa za kichina, ukanzisha glosari au bar, mabanda ya chipsi nk. NB; Siyo vijiji vyote vina fursa tajwa hapo juu.

Tujifunze kitu;

Ilikuwaje wazungu wengine walitoka Ulaya na kuja kutafuta fursa Afrika katika karne 19? Inasemekana hao wazungu wengine walikuwa jobless na maskini huko Ulaya, hivyo Afrika ilikuwa ni sehemu comfortable kwao kuukimbia ubebari Ulaya.

Ni kwa nini wazungu hao walikubali kuja Afrika na siyo kukimbilia nchi nyingine za Ulaya? Jibu; Ukiachilia mbali ishu ya rasilimali, wazungu wengine walikuja Afrika kwa kuwa lilikuwa ni bara lenye maisha ya kimaskini kwa hiyo fursa zilikuwa ni nyingi sana.

Hivyo, tuzitoe fursa mijini na kuzipeleka vijijini tupate hela na maisha yaendelee. Ukipata hela unaweza kurudi mjini tena. Wewe wa mjini ukienda kule kijijin utabaki unashangaa maisha yalivyo cheap. Mjini unalipa kodi ya nyumba elfu 75 kwa mwez lakini kijijin utalipa elfu 10. Hautabweteka kukaa kijijini kwa sababu wewe unajua kilichokupeleka huko.

Twendeni tukazitumie fursa vijijini humu Tanzania na siyo kwenda kutafuta ajira Ulaya.


Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa naomba nikupe credit maana umeandika kitu nachokifikiria kila siku nipo kwenye harakati za kuhamia pande hizo kufanya mishe zangu.
 
Mkuu,namibia ni nchi nyingne,kwanza population yao haizid mil4 nchi nzima,wana maisha kama ulaya,..nna ndugu yangu ni Dr kule hatak hata kuskia Tz,mshahara wake ni 24mil za kibongo,

Kule ukizaa kilema unalipwa,mzee analipwa,yaan wa namibia kiukwel wamejitahid sana,

Sent using Jamii Forums mobile app

Mil24?
Namibia wanatumia dollar ya kwao na Rand ya SA. Ambayo ni Equivalent na 170/80 ya Tsh. Ni vigumu kukuta mtu analipwa hiyo pesa Namibia landa CEO wa kampuni kubwa. Ila kwasababu umesema Dr. Labda.

Kwangu nadhani hawa jamaa na jirani zao wanapata free visa nchi kubwa kutokana na sheria zao za uhamiaji zipo tight saana. Ukilinda chako mwenzako anaweza kukuamini utaweza kulinda chake.

-kuhusu kuishi kama Ulaya sio kivile ila kwa miundo mbinu wametuacha mbali. Ni jangwa ila maji sio shida. Umeme nao sio kama kwetu..barabara ndiyo usiseme.
 
Mil24?
Namibia wanatumia dollar ya kwao na Rand ya SA. Ambayo ni Equivalent na 170/80 ya Tsh. Ni vigumu kukuta mtu analipwa hiyo pesa Namibia landa CEO wa kampuni kubwa. Ila kwasababu umesema Dr. Labda.

Kwangu nadhani hawa jamaa na jirani zao wanapata free visa nchi kubwa kutokana na sheria zao za uhamiaji zipo tight saana. Ukilinda chako mwenzako anaweza kukuamini utaweza kulinda chake.

-kuhusu kuishi kama Ulaya sio kivile ila kwa miundo mbinu wametuacha mbali. Ni jangwa ila maji sio shida. Umeme nao sio kama kwetu..barabara ndiyo usiseme.
Sisi tunashindwa wapi?????? Barabar inajengwa miez 12,inatumika miez3 inatoka matuta kama ya kulimia viazi
FB_IMG_1548772431633.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha kuna wakati nafkia hats najuta kwa nn ckuzaliwa nchi yeyote ndani ya ulaya
Ukiweza kupambana ukapta visiting visa ya Ireland na after that ukapata kazi yan hapo umaskini bye bye
Shida SSA inatakiwa upate kazi utakyolipwa euro 30000 -60000 kama we ni foreigner from non E U ukipga hesabu apo ni ml700 za bongo
Na sasa hiv 1euro-2651tsh piga hesabu mwenywe
Tax kwa foreigners ni 40% of ur salary visa 120 euro flight kwa KLM kupitia dar $1457 hotel unaenda za bei cheap pavilion hostel tsh27500 per night kazi kwako sasa ndani ya miezi 3 upate kazi inayoendana na policy za kule
Habar za kubeba box kule hamna ucpo pata kazi ambayo utalipwa euro 30000-60000 no work permit u go home

And work permit tusijidanganye unaweza kujilipia mwenywe au muajiri wako alafu next time mnakatana kwenye mshahara
Siri kubwa ni kijua kiingereza tu LA sivyo hutaweza kupata kazi yeyote ndani ya Ireland

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, comment yako ni ya kufikirisha sana, asante!

Nilipoisoma ikanikumbusha story ya mwanzilishi ya kampuni ya viatu, Bata. Kampuni hii ili anzishwa huko Sri Lanka wakati wa ukoloni. Biashara ilipo anza kudorara, Bossi akatuma masalesmen wawili Afrika, ili kupeleleza hali ya biashara. Salesmen wote wawili wakaja wakafanya utafiti ya masoko, na wakapeleka matokeo ya research yao kwa bosi.

Salesman wa kwanza, alisema "Bosi hapa watu ni maskini sana, hata hawana viatu miguni. Uwezo wao wa kununua vitu ni mdogo mno, hapa hamna fursa ya biashara!"

Salesman wa pili naye akapeleka ujumbe: "Bosi, watu ni maskini sana, lakini naona kuna fursa ya kuwauzia kandambili na viatu vya raba ya bei nafuu! Nitumie kanda mbili tuanze biashara hapa!

Kandambili ziliuzika kwa fujo, na viatu vya aina nyingine zikashika kasi. Bata wakafungua kiwanda Kenya na wanachota hela mpaka leo!

Kwa hiyo ulichosema ni kweli. Fursa zipo lakini hatuna vision ya kuziona, na ndio maana tunakimbilia Ughaibuni!
Kweli unajua pia siyo watu wote wanaweza kuziona fursa pia hata wachache wanabahatika wanakutana na changamoto ya kuzitumia ila kweli vijijini fursa zipo nyingi sana sema mitatazamo yetu na rasilimali za kutuwezesha kuzitumia fursa ndo tatizo lilipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha kuna wakati nafkia hats najuta kwa nn ckuzaliwa nchi yeyote ndani ya ulaya
Ukiweza kupambana ukapta visiting visa ya Ireland na after that ukapata kazi yan hapo umaskini bye bye
Shida SSA inatakiwa upate kazi utakyolipwa euro 30000 -60000 kama we ni foreigner from non E U ukipga hesabu apo ni ml700 za bongo
Na sasa hiv 1euro-2651tsh piga hesabu mwenywe
Tax kwa foreigners ni 40% of ur salary visa 120 euro flight kwa KLM kupitia dar $1457 hotel unaenda za bei cheap pavilion hostel tsh27500 per night kazi kwako sasa ndani ya miezi 3 upate kazi inayoendana na policy za kule
Habar za kubeba box kule hamna ucpo pata kazi ambayo utalipwa euro 30000-60000 no work permit u go home

And work permit tusijidanganye unaweza kujilipia mwenywe au muajiri wako alafu next time mnakatana kwenye mshahara
Siri kubwa ni kijua kiingereza tu LA sivyo hutaweza kupata kazi yeyote ndani ya Ireland

Sent using Jamii Forums mobile app

Uki convert hapo inakuja Tsh mil 70 na ushee and not mil 700 boss.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hahaha kuna wakati nafkia hats najuta kwa nn ckuzaliwa nchi yeyote ndani ya ulaya
Ukiweza kupambana ukapta visiting visa ya Ireland na after that ukapata kazi yan hapo umaskini bye bye
Shida SSA inatakiwa upate kazi utakyolipwa euro 30000 -60000 kama we ni foreigner from non E U ukipga hesabu apo ni ml700 za bongo
Na sasa hiv 1euro-2651tsh piga hesabu mwenywe
Tax kwa foreigners ni 40% of ur salary visa 120 euro flight kwa KLM kupitia dar $1457 hotel unaenda za bei cheap pavilion hostel tsh27500 per night kazi kwako sasa ndani ya miezi 3 upate kazi inayoendana na policy za kule
Habar za kubeba box kule hamna ucpo pata kazi ambayo utalipwa euro 30000-60000 no work permit u go home

And work permit tusijidanganye unaweza kujilipia mwenywe au muajiri wako alafu next time mnakatana kwenye mshahara
Siri kubwa ni kijua kiingereza tu LA sivyo hutaweza kupata kazi yeyote ndani ya Ireland

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu,Mimi kila siku najutiaga kwanini nlizaliwa kwenye hii nchi,najisikia vibaya mno
 
3rd world nationals tunabaguliwa sana. Kuna vizingiti vingi sana tukitaka kusafiri kutembelea na kuishi nchi za wenzetu. Raia wa Botswana Namibia na mauritius pekee africa hawahitaji visa kuingia nchi za wenzetu kutembelea
Kuna siku niliongea hili watu wananiita mjinga. Hivi unajua watu wa Mauritius wanaenda uingereza bila visa ? Halafu Mrusi anatakiwa aombe visa. Hivi watanzania tunashindwaje ?
 
Mkuu, comment yako ni ya kufikirisha sana, asante!

Nilipoisoma ikanikumbusha story ya mwanzilishi ya kampuni ya viatu, Bata. Kampuni hii ili anzishwa huko Sri Lanka wakati wa ukoloni. Biashara ilipo anza kudorara, Bossi akatuma masalesmen wawili Afrika, ili kupeleleza hali ya biashara. Salesmen wote wawili wakaja wakafanya utafiti ya masoko, na wakapeleka matokeo ya research yao kwa bosi.

Salesman wa kwanza, alisema "Bosi hapa watu ni maskini sana, hata hawana viatu miguni. Uwezo wao wa kununua vitu ni mdogo mno, hapa hamna fursa ya biashara!"

Salesman wa pili naye akapeleka ujumbe: "Bosi, watu ni maskini sana, lakini naona kuna fursa ya kuwauzia kandambili na viatu vya raba ya bei nafuu! Nitumie kanda mbili tuanze biashara hapa!

Kandambili ziliuzika kwa fujo, na viatu vya aina nyingine zikashika kasi. Bata wakafungua kiwanda Kenya na wanachota hela mpaka leo!

Kwa hiyo ulichosema ni kweli. Fursa zipo lakini hatuna vision ya kuziona, na ndio maana tunakimbilia Ughaibuni!
Screenshot_20250211-030429.jpg

,👆🏿👆🏿 Bata haikuwa kampuni ya Siri Lanka
 
Sasa hivi NZ wametight sana immigration. Wananchi wamekuja juu sana. Ni ngumu sana kuingia NZ hasa kutoka 3rd world countries. Ila kama una dollar za kimarekani laki tano na zaidi watakukaribisha haraka sana tena kwa kukunyenyekea.

Wanamsemo wao sasa hivi WE NEED PEOPLE WE WANT NOT PEOPLE WHO NEED US



Jamaa nimemsoma anachukulua rahisi

Dah mkuu really interesting. Japan ni nchi moja ngumu sana kuingia kwa watu toka africa toka zamani tuu. Ulifanikiwaje kufika huko. Yani japani hata asylum hawachukui.

Bado unaishi huko?

Mkuu nakushauri nenda East Timor, Bangladesh na Central Africa Republic yani kuna fursa za kumwaga

Ndio mkuu acha porojo changamkia fursa hapo CAR na Southern Sudan


adriz
 
Wakuu wangu mambo yamekuwa magumu sana nami naamua kuachika,

Mpaka sasa nimesha jenga nina biashara lakin imedorora sana, mpaka nimeifunga,

Nimeamua kwamba sasa hii 5,600,000 niliyonayo niende New Zealand kutafta Maisha ya juu zaid

Nataka nikifika nisake ajira hasa za udaktari

Alafu kila senti ntakayopata natuma nyumbani

Naomba ushauri wenu,

Wa wapi ulipo ubalozi wao,
Pili kama kuna anayejua njia ya shortcut kutoka hapa Tanzania anijuze,
Endelea kuperuzi online. Waweza pata ajira kama HIGH SKILLED WORKER.
Zipo site za hayo mambo.
All the best mkuu
 
Wakuu wangu mambo yamekuwa magumu sana nami naamua kuachika,

Mpaka sasa nimesha jenga nina biashara lakin imedorora sana, mpaka nimeifunga,

Nimeamua kwamba sasa hii 5,600,000 niliyonayo niende New Zealand kutafta Maisha ya juu zaid

Nataka nikifika nisake ajira hasa za udaktari

Alafu kila senti ntakayopata natuma nyumbani

Naomba ushauri wenu,

Wa wapi ulipo ubalozi wao,
Pili kama kuna anayejua njia ya shortcut kutoka hapa Tanzania anijuze,
Kwanini unakimbia Bongo!?

Badala tuungane wote tukin'goe chama kwenye sanduku la kura tuboreshe maisha.
 
Back
Top Bottom