Msaada nataka kwenda Auckland New Zealand kutafuta life

Utafeli tu tena wew maarass
Nakuambiaje Jombis , Mimi siogopi chochote katika maisha sio umasikini , kushindwa wala stress bali ninachohofia sana ni kufa hali ya kuwa Kaafir na namuonba Allaah nife hali ya kuwa Muislamu na katika mwisho mwema , Aamiyn.

Kayngay Maarass wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…