Lovie Lady
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,826
- 4,652
Ndio primarily concern ya Watoto hiyo..wao ni Tumbo tu 🤣wanakula kama Binadam ili wakue sio kama Mchwa 🤣🤣🤣🤣🤣👋Weee mim nnae hapa muda wote mdomo unatafuna unataka kula
Yaan huwa na kaz ya kujipilikisha maandaz au kalimati tofauti na msosi ili apate na vya kula kula wakija wengine hataree
Halaf unapangiwa vya kupika na aina ya juice unapangiwa na kukosolewa juu
Akiii inabidi ukiwa na hamu na juice fulan utengeneze yako na yake utengeneze anavyopenda huwa nachoka mie
Weee mim nnae hapa muda wote mdomo unatafuna unataka kula
Yaan huwa na kaz ya kujipilikisha maandaz au kalimati tofauti na msosi ili apate na vya kula kula wakija wengine hataree
Halaf unapangiwa vya kupika na aina ya juice unapangiwa na kukosolewa juu
Akiii inabidi ukiwa na hamu na juice fulan utengeneze yako na yake utengeneze anavyopenda huwa nachoka mie
💯Kama ni kweli ulichoandika basi huyu mwanaume atakuja kupata shida sana huko mbele ya maisha yake.. wanaume wengi tunaishi na laana za wanawake tuliowazalisha na kuwatelekeza.. nimejifunza sana kwa mshua wangu anaishi maisha ya kujuta na kulalamika kila siku..
🤗🤗🤗Kama unataka 50k per month hio ata mimi nitakupa, ntakuwa baba wa kufikia wa mtoto! Save your hustle ya kwenda ustawi wa jamii
Kama unataka 50k per month hio ata mimi nitakupa, ntakuwa baba wa kufikia wa mtoto! Save your hustle ya kwenda ustawi wa jamii
Ustawi wa jamii siku hizi wananuka rushwa.Naombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?
Ndio primarily concern ya Watoto hiyo..wao ni Tumbo tu [emoji1787]wanakula kama Binadam ili wakue sio kama Mchwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji112]
Kama ni kweli ulichoandika basi huyu mwanaume atakuja kupata shida sana huko mbele ya maisha yake.. wanaume wengi tunaishi na laana za wanawake tuliowazalisha na kuwatelekeza.. nimejifunza sana kwa mshua wangu anaishi maisha ya kujuta na kulalamika kila siku..
Kwani na wewe si unajishughulisha? Imagine we ni mpambanaji then on top of that there is one Samaritan who donate you 50k every month with no catchy! Take my deal you won't regret a thing [emoji1787][emoji1787]50 haitoshi hiyo tukanywe bia tu kwanza
ishu ilikuwa kama hiyo kwake.. anaisoma namba saivi magonjwa hayamkauki.. huwezi kuwa na amani na furaha maisha yako mpaka unaingia kaburini.. wanaume wengine wengi wanakufa mapema na vifo vibaya..Hakutunza wanae?
Kwa hiyo 50 si utataka mdogo wake 😂😂😂Kwani na wewe si unajishughulisha? Imagine we ni mpambanaji then on top of that there is one Samaritan who donate you 50k every month with no catchy! Take my deal you won't regret a thing [emoji1787][emoji1787]
Kwanza hakuna kitu kibaya kama kuzaa watoto tofauti tofauti na hovyo hovyoo inakuwaga tfran tupuishu ilikuwa kama hiyo kwake.. anaisoma namba saivi magonjwa hayamkauki.. huwezi kuwa na amani na furaha maisha yako mpaka unaingia kaburini.. wanaume wengine wengi wanakufa mapema na vifo vibaya..
Huna akili 😂😂usifananishe wanangu na mchwa😂😂 mama Yao ambaye Ni wewe ndio unakula km mchwaNenda kwa bosi wake ongea nae
Kisha nenda ustawi
Sheria zetu hazimlindi mwanamke na mtoto asa huko ustawi waseme 50 inatosha nin?? Na watoto wanakula kama mchwa
Leo kwa mara ya kwanza ndo nasoma kwamba SHERIA HAZIMLINDI MWANAMKE..!!! Dah..!!Nenda kwa bosi wake ongea nae
Kisha nenda ustawi
Sheria zetu hazimlindi mwanamke na mtoto asa huko ustawi waseme 50 inatosha nin?? Na watoto wanakula kama mchwa
Mchwa utani tu nyie wanavyotafuna mpaka chumaHuna akili 😂😂usifananishe wanangu na mchwa😂😂