Adolph Jr
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 5,950
- 9,511
Wasalaam..
Heri ya pasaka kwa wakristo na waislam tuendelee na al-futar ili mradi kila mmoja afanye kinachomfaa na kumpasa..
Leo nimeamka na mood ya kuendeleza mpango wangu wa mwaka (kilimo) na baada ya kufika shambani kutazama shamba nasikitika tu, mazao ni kidogo mno, nimewaza huwenda nyenzo ninayotumia ni duni (jembe la mkono na kutegemea mvua za msimu).
Hivyo nimeamua kuanza na power tiller ambapo mimi sina uzoefu kuhusu mashine hizo ila huwa nazisikia tu na kuona baadhi ya watu wanabebea tofari vijijini....
Maswali ninayo uliza.
1-Je power tiller gani ni nzuri kwa nguvu ya kupiga kazi muda mrefu(HP) bila shida za mara kwa mara.?
2-Je ni power tiller gani ina speed ya kufanya kazi maana naona ya huku kijijini yana shindana mbio na baiskeli, ili kuokoa muda shambani?
3-Final, je naweza naweza ipata kwa gharama chini ya 6m Tz sh kama budget ?
Natanguliza shukrani...
Heri ya pasaka kwa wakristo na waislam tuendelee na al-futar ili mradi kila mmoja afanye kinachomfaa na kumpasa..
Leo nimeamka na mood ya kuendeleza mpango wangu wa mwaka (kilimo) na baada ya kufika shambani kutazama shamba nasikitika tu, mazao ni kidogo mno, nimewaza huwenda nyenzo ninayotumia ni duni (jembe la mkono na kutegemea mvua za msimu).
Hivyo nimeamua kuanza na power tiller ambapo mimi sina uzoefu kuhusu mashine hizo ila huwa nazisikia tu na kuona baadhi ya watu wanabebea tofari vijijini....
Maswali ninayo uliza.
1-Je power tiller gani ni nzuri kwa nguvu ya kupiga kazi muda mrefu(HP) bila shida za mara kwa mara.?
2-Je ni power tiller gani ina speed ya kufanya kazi maana naona ya huku kijijini yana shindana mbio na baiskeli, ili kuokoa muda shambani?
3-Final, je naweza naweza ipata kwa gharama chini ya 6m Tz sh kama budget ?
Natanguliza shukrani...