Msaada, Naulizia power tiller zuri,lenye nguvu kwa pesa ya Mtanzania

Msaada, Naulizia power tiller zuri,lenye nguvu kwa pesa ya Mtanzania

Vitalis Msungwite mkuu nimefika Kisheni ila amec zimeisha zipo Toyo tiller, sehemu nyingine km unazijua naomba msaada wako kulajua. Nipate ya milioni 4 au 5 zile km unapajua msaada tutani.
Kuna jamaa wanadai wanazo ila bei ni 7 million. Kwa upande wa Kishen wanamatawi mikoa mingi tu. Toyo usichukue. Mpigie 0676176742 nae ni wakala. Hakikisha ni amec mikono mirefu. Kama upo njombe wapo SUNDY merchant 0742598909
 
Kuna jamaa wanadai wanazo ila bei ni 7 million. Kwa upande wa Kishen wanamatawi mikoa mingi tu. Toyo usichukue. Mpigie 0676176742 nae ni wakala. Hakikisha ni amec mikono mirefu. Kama upo njombe wapo SUNDY merchant 0742598909
Nipo Dar ila hii itaenda Morogoro ifakara
 
Kuna jamaa wanadai wanazo ila bei ni 7 million. Kwa upande wa Kishen wanamatawi mikoa mingi tu. Toyo usichukue. Mpigie 0676176742 nae ni wakala. Hakikisha ni amec mikono mirefu. Kama upo njombe wapo SUNDY merchant 0742598909
Huyu yupo Goba, ila zimeisha kasema wiki ijayo zinaweza wasili, nimekuuliza ALFA pia.
 

Attachments

  • IMG-20241005-WA0004.jpg
    IMG-20241005-WA0004.jpg
    31 KB · Views: 10
Back
Top Bottom