Msaada, naweza kupata ramani ya Ikulu?

Hakuna kitu kigumu. Kama Ikulu ilijengwa na Wajerumani basi Ramani ipo kwa Wajerumani hao.

If your interested please contact me, 0655308308
 
Kipi Kikusikitishachoo....???
 
75% ni vichaa twaweza,ni heli angeuliza kiwanja cha kununua maeneo ya magogoni, lkn sio karatasi ya Mcholo,
 
Itakuwa vizuri sana
 
Hakuna kitu kigumu. Kama Ikulu ilijengwa na Wajerumani basi Ramani ipo kwa Wajerumani hao.

If your interested please contact me, 0655308308
Nimekucheki hupatikani mkuu
 

Naona una watafuta wale jamaa..

uwiiiiiiiiii, napita tu hapa sina cha kuchangia

Wewe sio mzima kabisa we endelea utatoweka muda sio mrefu usije ukawapa shida familia yako mie simo.

Sijacomment kitu hapa.

aseee 😀😀😀my ribs jamani...mkuu kila kheri...

Pasi tulia tuli na ukipenda mwao wa kwanza na mwisho, ni heli hiyo simi u

Naomba nifahamu uraia wako wa kuzaliwa, mawasiliano yako na marafiki zako. Isijekuwa umepewa donge nono na Al Qaeda uwapelekee ili wadungue "mahali Patakatifu" kama walivyofanya WTC.

TISS now start follow you!

-Accept
-Ignore

Now you are friend with TISS.

Wananiletea hiyo map? Nitashukuru sana, naona ndoto zangu zinaenda kutimia

Mwenyewe kasafiri tu mmeanza kuulizia ramani
Acheni Uwoga, mtu kuulizia ramani ili akajenge mjengo kama wa Ikulu si kosa.

This country is full of cowards.
 
Mbona inapatikana kirahisi.....1 pale kwenye mchicha barabara ya Ali hassan mwinyi 2 pale njia ya st peters au 3 pale getini ikulu waulize wahudumu oale watakuonesha.
 
Wakati mwingine mtu unaweza ukajitafutia pumzio la milele mwenyewe hivi hivi. Sasa kama hata kupita karibu wamepanga masaa ya kupita pale sembuse ramani ya kuonyesha na Master Bedrooms zao.
Msimu wa korosho tayari au bado??????
 

Tuma hilo ombi mitaa ya Magogoni na Lithuli ukionyesha mahali ulipo na address yako kamili. Ndani ya masaa kidogo watakutumia au kukuletea tena bure kabisa yaani hakuna malipo yoyote!!!!!!!
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Mimi ninayo raman ya ikulu ya chifu wa kijiji chetu
 
Mkuu, hujui kwamba Siku hizi hats nyasi na miti ni ghari. Any way subiri kutafutwa na wale wakuda wa miwani
 
Wakati mwingine mtu unaweza ukajitafutia pumzio la milele mwenyewe hivi hivi. Sasa kama hata kupita karibu wamepanga masaa ya kupita pale sembuse ramani ya kuonyesha na Master Bedrooms zao.
Msimu wa korosho tayari au bado??????
Mkuu huku niliko hakuna hata jani la mkorosho, na raia hawajui tu
 


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…