Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Asante sana kakamkuu we ni mtu safi kabisa !!
Nitakugawia gawio Vincenzo Jr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana kakamkuu we ni mtu safi kabisa !!
Nitakugawia gawio Vincenzo Jr
😁😂😂😂Niaje
wacha nipate elimu had simu izimeEm chaji simu kwanza 🤣🤣
Ila uzi 🍏 hata ikiwa na 10%
Unaweza dunda nayo
Mkuu naswali jingine ujue mm sijui chochote !!Asante sana kaka
Asante mkuuIngia hapa 👇👇👇👇👇👇👇👇
Home – UTT Asset Management And Investor Services PLC
Kwanini liquid fund mkuu??Upo mkoa gani? Kuna baadhi ya mikoa wana ofisi.
Liquid fund ndiyo mfuko wangu pendwa
Hujui hata ABC au unajua kdg?
kiwango cha chini kuweka ni shi ngap*150*82#
Utajiunga na kuanza kuweka vipande. Kukamilisha usajili nenda kwenye ofisi zao.
Inategemea na mfuko unaotaka Ila kujiunga ni bure hakuna kiwango.kiwango cha chini kuweka ni shi ngap
kuwekaInategemea na mfuko unaotaka Ila kujiunga ni bure hakuna kiwango.
Kufungua liquid ni 100kSijui chochote mkuu
nipo mwanza
Hapo nimekusoma
Ukihitaji pesa unazipata within 3 working daysKwanini liquid fund mkuu??
Kufungua liquid ni 100k
Bond ni 50k
Anytime kuongeza kiwango uwezacho.. ila nadhani isiwe chini ya 5000/10,000
Umoja sjui
Watoto fund sijui
nisaidie kuchagua acc au aina ya mfukoMfuko wa watoto
View attachment 3002014
Go for liquid fundnisaidie kuchagua acc au aina ya mfuko
Soma post 31 ya LeratooMkuu naswali jingine ujue mm sijui chochote !!
Unachaguaje hizi acc
Kigezo gan cha kuzingatia wakat wa kuchagua
Chukua liquidnisaidie kuchagua acc au aina ya mfuko