Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina acc bond nilibakizaga afu 10 ili isije kufungwa 😂😂😂
Mfuko wa ukwasi uko vizuri.nisaidie kuchagua acc au aina ya mfuko
😅😅😅😅Nina acc bond nilibakizaga afu 10 ili isije kufungwa 😂😂😂
Ngoja nisome vizuri hilo somo la faida ya miezi 6
WeeeeNa siku hizi wenye vihela vya mawazo Sio lazima ukitaka kutoa ukajaze fomu unaitoa tu katika simu chap.
Bomba kabisa 😂😁😂😂😂Niaje
kumbe kuna hela ya kufungulia au hiyo ni hela ya kuanziaKufungua liquid ni 100k
Bond ni 50k
Anytime kuongeza kiwango uwezacho.. ila nadhani isiwe chini ya 5000/10,000
Umoja sjui
Watoto fund sijui
yaan hiyo ya kutoa muda wote ndo safiWeeee
Nifundishe hii em nijaribu hapa kutoa elf 20 😂😂😂
Kufungua/ kuanziakumbe kuna hela ya kufungulia au hiyo ni hela ya kuanzia
Hii iko poa.Ukihitaji pesa unazipata within 3 working days
Tofauti na umoja/ bond fund,, pesa ni kusubiri within working 10 days
Ila kwenye gawio nadhani kote ni sawa monthly 1% ya ulichonacho
hii unapata faida kila mweziGo for liquid fund
mwanza wapo sehemu hanTembelea Ofisi Za UTT AMIS Kwa Dar Es Salaam Wapo Posta Jengo La Sukari House
Dodoma Wapo Jengo La LAPF Ghorofa Ya 6 Jirani Ofisi Za Zimamoto Tanzania
Uwe Na Moja Kati Ya Vitambulisho Hivi:~
Leseni Ya Udereva
NIDA
Kitambulisho Cha Kupigia Kura
Passport Size Yoyote Ile Moja
Utapewa Fomu Utajaza Pia Utachagua Mfuko Unaoutaka
Baadaye Utaweka Pesa Kwa Kupitia Njia Mbalimbali, Mitandao Ya Simu Ama Banks
Hiyo ndo nzuri siyo??Chukua liquid
Ndiyohii unapata faida kila mwezi
na unauwezo wa kutoa muda wowoteNdiyo
Yesna unauwezo wa kutoa muda wowote