Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 45,757
- 246,786
Hamna kitu huku, nafanya Kama kibubu natunzia Vicent vyangu.Rafiki anayenitakia mema...nipe elimibya hii kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu huku, nafanya Kama kibubu natunzia Vicent vyangu.Rafiki anayenitakia mema...nipe elimibya hii kitu
Ndio na mie nisaidie nitunze ki mil 7 changu jameni lah si yo wanawake wenye tako nyigu watapita nayoHamna kitu huku, nafanya Kama kibubu natunzia Vicent vyangu.
Tafuta unayoweza ndgu ila sio kuweka UTT ukitegemea utajiriAisee kwa hiyo biashara gani tufanye ndugu kwa mtaji wa mil 10
Mie sitaki utajiri nataka hela ya kubadilisha mboga (mbususus)Tafuta unayoweza ndgu ila sio kuweka UTT ukitegemea utajiri
SawaMie sitaki utajiri nataka hela ya kubadilisha mboga (mbususus)
Asante kwa huu ufafanuziWeekend ni hakuna gawio kabisa, watakuja kufidia Ela ya jumatatu, so Kama huwa unapata elfu 2 tegemea Kati ya elfu 3 Hadi elfu 4, hii naongea kwa experience
Lakini pia ambacho nimekiona Kama kwa mwezi kukiwa na Holidays nyingi, unaweza kuona siku moja wameweka ela hata elfu 10 kwa siku moja, nadhani Kuna namna kipindi Cha holidays pesa ambazo wanakua hawazitolei gawio Zina accumulate hivyo wanakuja kuzitoa kwa Mara moja nyingi
Asantee
😀😀😀😀😀😀 bhas pambana ufikishe hata 100m, ili hilo gawio kati ya 950k - 1m uwe unatumia ku spend na watotoMie sitaki utajiri nataka hela ya kubadilisha mboga (mbususus)
kaz yangu tena, mbona ghafla hivyo mkuu??Unafanya kazi gani