Ibrahim daud
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 609
- 524
Habarini wataalamu,
Nna mwezI Sasa nilianza kuona vidoti vidogo vidogo mbele kumbe mgongoni vimezagaa.
Siku naenda faragha na mchumba wangu ndo kaniambia umeharibika.
Ushauri wa dawa itakayo tibu naombeni mawazo yenu
Nna mwezI Sasa nilianza kuona vidoti vidogo vidogo mbele kumbe mgongoni vimezagaa.
Siku naenda faragha na mchumba wangu ndo kaniambia umeharibika.
Ushauri wa dawa itakayo tibu naombeni mawazo yenu