Ibrahim daud
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 609
- 524
- Thread starter
- #21
PoaMba au fangasi. dawa inaondoa zote waone wataalam wa afya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoaMba au fangasi. dawa inaondoa zote waone wataalam wa afya
AsantePole sana...
AsantePole sana...
Ukiona huponi nenda seifee au aghakhan kachome sindano ugonjwa utaisha
Hapana mkuu.... Hapo jijini watu wengi wana mba wa ngozi..... Sioni uhusiano na HIVIna uhusiano mkubwa sana. Japo sio lazima kila anayepata awe na HIV ila magonjwa ya hivo yamekuwa yakionekana zaidi kwa patients with HIV infection.
Pia fungus za sehemu nyingine kama mdomoni(oral thrush) na fungus za kwenye koo ndiyo zenye uhusiano na kuwa na upungufu wa kinga mwiliniHapana mkuu.... Hapo jijini watu wengi wana mba wa ngozi..... Sioni uhusiano na HIV
Namla
Mba zinatibika kirahisi sana. Nunua mafuta ya break, ujipake mara 3 kwa siku kila baada ya kuoga. Paka kwa kusugua kidogo na kitambaa safi. Two weeks later utaleta mtejesho.
Note: Mafuta ya break hayana harufu mbaya na hayawashi.
Jaribu pia kupaka mafuta ya break, Inaweza ikawa ni skin infection huwa yanasaidia pia.Habarini wataalamu,
Nna mwezI Sasa nilianza kuona vidoti vidogo vidogo mbele kumbe mgongoni vimezagaa.
Siku naenda faragha na mchumba wangu ndo kaniambia umeharibika.
Ushauri wa dawa itakayo tibu naombeni mawazo yenu
View attachment 2143197
Umewahi kuyatumia?Mafuta ya break ni makali mno,,,icje ikamletea cancer.
Umewahi kuyatumia?
Mimi nilikuwa ninaumwa ugonjwa kama wake, nilitumia na nikapona. Pia nimewasaidia wengi tu kuwashauri na wamepona.
Jamaa punguza kuvaa nguo za kuazima zenye mijasho. Huo ugonjwa unaambukiza
Hapana sio fungus ya namna hiyo...yenye uhusiano na HIV ni ile ya mdomoni na koo.Ina uhusiano mkubwa sana. Japo sio lazima kila anayepata awe na HIV ila magonjwa ya hivo yamekuwa yakionekana zaidi kwa patients with HIV infection.
Hapo kweny HIV hapo ndio shughuliNdiyo wanaitwa Tinea versicolor kama sijakosea.
Mtoa mada hiyo inatibiwa kwa kupaka anti fungal creams , nena duka la dawa.
Pia ni vizuri ukapima HIV kama bado.
Ya mdomoni ikoje hio?Hapana sio fungus ya namna hiyo...yenye uhusiano na HIV ni ile ya mdomoni na koo.
Picha kwa msaada wa googleYa mdomoni ikoje hio?
@ExtrovertPicha kwa msaada wa googleView attachment 2143929