Msaada: Ngozi yangu imeharibika, tazama picha hii

Msaada: Ngozi yangu imeharibika, tazama picha hii

Noma kweli yani mkuu! Ila kuna ile ngozi ya kubadilika inakuwa kama ya mzee hivi unakuta kijana ila ana ngozi imejikusanya kama ya mzee😅 ile unaizungumziaje mkuu maana vijana tupo hatarini sana katika kufanya utalii wa ndani!

Huwa napata hisia za ajabu sana nikikutana na mtu wa namna ile sababu nina ndugu nae alikuwaga muathirika alikuwa na ngozi ya vile.
 
Noma kweli yani mkuu! Ila kuna ile ngozi ya kubadilika inakuwa kama ya mzee hivi unakuta kijana ila ana ngozi imejikusanya kama ya mzee[emoji28] ile unaizungumziaje mkuu maana vijana tupo hatarini sana katika kufanya utalii wa ndani!

Huwa napata hisia za ajabu sana nikikutana na mtu wa namna ile sababu nina ndugu nae alikuwaga muathirika alikuwa na ngozi ya vile.
Huo unaitwa pruritic papular eruption picha hiyo hapo chini kwa hisani ya gugu, Kiufupi Ukimwi unatisha nenda kagugu haya magonjwa mengine ya ngozi utapata jibu.
Karposi's sarcoma
HPV
Mulloscum contagiosum

Tuvae viatu
Screenshot_20220309-070811.jpg
 
Hamna hata shughuli ni kupima kujitambua na kuishi.
Umehadimika sana.
Nipo madam, sema nili ressuruct tu kwa ID ingine for sometime. Hii ID imejawa na kero za kupigwa Ban kwa vitu ambavyo havina kichwa wala miguu! Naishi kama Mbowe nikiwa na hii ID
 
Huo unaitwa pruritic papular eruption picha hiyo hapo chini kwa hisani ya gugu,Kiufupi Ukimwi unatisha nenda kagugu haya magonjwa mengine ya ngozi utapata jibu.
Karposi's sarcoma
HPV
Mulloscum contagiosum

Tuvae viatu [emoji4]View attachment 2143952
Kwa kweli kuna haja ya kukomaa na nyeto tu round hii maana hata mpenzi mmoja nae ni miyeyusho siku hizi. Analiwa na wengi bila wewe kujua japo mlianza kwa vipimo.
 
Natumae mleta mada umepata muongozo..
 
Nipo madam, sema nili ressuruct tu kwa ID ingine for sometime. Hii ID imejawa na kero za kupigwa Ban kwa vitu ambavyo havina kichwa wala miguu! Naishi kama Mbowe nikiwa na hii ID
Halafu kweli mpaka kufika leo jioni nitaona alama ya banned kwenye hii ID.
 
Kwa kweli kuna haja ya kukomaa na nyeto tu round hii maana hata mpenzi mmoja nae ni miyeyusho sikuhizi. Analiwa na wengi bila wewe kujua japo mlianza kwa vipimo.
Anachapwa asubuhi na huyu jioni anakuletea wewe. And vice versa iz tru
 
Anachapwa asubuhi na huyu jioni anakuletea wewe. And vice versa iz tru
Is not true wala kazi za shurba zinabana sana hata muda wa kutafta malaya unakosekana. Ikifika jioni uko super exhausted wenye huo muda ni wale wanaoshinda ofisini kwenye ac.

Hao ndio hatari kubwa.
 
Mba zinatibika kirahisi sana. Nunua mafuta ya break, ujipake mara 3 kwa siku kila baada ya kuoga. Paka kwa kusugua kidogo na kitambaa safi. Two weeks later utaleta mtejesho.

Note: Mafuta ya break hayana harufu mbaya na hayawashi.
Asante nimeanza Leo nimeona mabadiliko yamefifia
 
Asante kaka
Hizi changamoto zimekuwa nyingi sana kipindi hki sasa basi
Katafte hizo dawa ya kunywa na yakupaka
Ya kunywa uta tumi moja kila siku kwa mda wa siku 30 kama ni usiku ni usiku tu kama utameza qsubuhi ni asubuhi tu

Yakupaka uta paka usiku kama unaenda kulala
Na asubuhi

Karibu View attachment 2143678
 
Back
Top Bottom