Ibrahim daud
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 609
- 524
Ndiyo wanaitwa Tinea versicolor kama sijakosea.Mbona hizi ni kama aina flani ya fangasi...!
HIV tena!? Dohhhh!Ndiyo wanaitwa Tinea versicolor kama sijakosea.
Mtoa mada hiyo inatibiwa kwa kupaka anti fungal creams , nena duka la dawa.
Pia ni vizuri ukapima HIV kama bado.
Ndio kinga za mwili zikiwa chini ni rahisi kupata hivo vitu.HIV tena!? Dohhhh!
Nipe dawaMbona hizi ni kama aina flani ya fangasi...!
Nimepima sinaNdiyo wanaitwa Tinea versicolor kama sijakosea.
Mtoa mada hiyo inatibiwa kwa kupaka anti fungal creams , nena duka la dawa.
Pia ni vizuri ukapima HIV kama bado.
Nshapima juzi sinaNdio kinga za mwili zikiwa chini ni rahisi kupata hivo vitu.
🙄Ndiyo wanaitwa Tinea versicolor kama sijakosea.
Mtoa mada hiyo inatibiwa kwa kupaka anti fungal creams , nena duka la dawa.
Pia ni vizuri ukapima HIV kama bad
PoaTinea Versicolor - Causes, Signs, Symptoms, Treatment & Remedies
Tinea versicolor causes, signs and symptoms. Learn how to get rid of tinea versicolor. Treatment over the counter, cream & home remedies.healthjade.net
Sawa nenda duka la dawa utapewa anti fungalNimepima sina
Ndiyo wanaitwa Tinea versicolor kama sijakosea.
Mtoa mada hiyo inatibiwa kwa kupaka anti fungal creams , nena duka la dawa.
Pia ni vizuri ukapima HIV kama bado.
Aya baaasi nimekuelewa.Nshapima juz sina
Ina uhusiano mkubwa sana. Japo sio lazima kila anayepata awe na HIV ila magonjwa ya hivyo yamekuwa yakionekana zaidi kwa patients with HIV infection.Unaogea sabuni ya kipande?
Hiyo ni mba wa ngozi....muone dr inapona
Kuna mdau hapo juu amesema upime HIV sidhani kama ni kweli mba wa ngozi hauna uhusiano na kushuka kwa kinga ya mwili