masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
- Thread starter
-
- #41
Golden 45 Minutes...ukiwa beginner au mc ukiwa ktk hadhira mpya kabisa kwako zitumie vema dk 45 za mwanzo....ndani ya dk hizo hakikisha hadhira yako inakubali kwamba leo wana.mc....ukibug hapo wakikujaji juwa wewe sio utapata shida sherehe nzima
Kuhusu matukio magumu kunitokea hata nikikuambia haitakusaidia as beginner...swala mama huwa anamfundisha mwanae kula majani wala hamuambii kama kuna simba porini maana akimuambia swala mtoto ataogopa kutoka kutafuta majani mwishoe atakufa njaa.asante all the best
masai dada..
Individuality is a vital key kwenye kila jambo. Hapa namaanisha kuwa stylish and kiasi fulani UNIQUE... Ahhmm.. ninavyoona, wewe umehamasika zaidi kwenye mshiko kuliko kutoa huduma, kitu ambacho napata mashaka kama utamudu kuifanya hii kazi kwa kuwa huna passion nayo from within.
Nevertheless; unaweza kujifunza kuipenda hii kazi taratibu (Mi sio MC though) na kuifanya vema! So nakushauri uhakikishe uwe unajikagua umefanikiwa kwa kiwango gani kufurahisha sherehe husika (umechangia kwa kiwango gani kuipendezesha shughuli na mwitikio umekuwaje) - Hili utaliona kutoka kwa wahudhuriaje baada ya sherehe (kuombwa contacts, au kusifiwa na watu mbalimbali, kuombwa kupiga picha n.k.).
Individuality again: Kwako na kwa wasifu uliojipambanua nao humu siku nyingi, unaonyesha ni kwa kiwango gani kama utaamua kuitumia vizuri hii IDENTITY ya kimasai, utafanikiwa (coz u seem to have some interests with Masai culture). So, nadhani ni wazo zuri sana na itavutia kama ukiwa MC MASAI (Jina utachagua mwenyewe)!
Nimesema Mengi. Fanyia kazi yatakayokufaa!
Asante!
Changamkia fursa hiyo Dada, hakuna shughuli ya kutengeneza hela kiulaini hapa mjini kama hiyo. Unapiga domo tu kwa masaa kama 4 hivi unaondoka na kiasi cha chini 500,000/=. Hapo ni mwanzo, ukijenga jina likawa kubwa kama kina MC Luvanda, Piliplili, Kitunguu, Cheni, na wengine maarufu kwa wiki hukosi 3,000,000/=. Mungu akupe nini?
asane sana jamani nashukuru
asante sana mkuuu
unajua mahalli penye pesa au ukipa tune kwamba lazima nifanye at my best ili nipate ela basi utatumia juhudi zote kuhahkikisha unafanikisha
zamani u MC ilikua ni kujitolea tu lakini kwa sasa ni biashara so PIA NINA MOYO WA KUFANYA HII KAZI KWANI MBALI NA KUNIINGIZIA ELA PIA na enjoy kuonhoza watu katika mambo mengi bila hata kupewa chochote
asnate nimejifunza mengi
Zaidi ya kupewa pesa pia utakula palau na soda bure kwenye masherehe wakati wenzako walichanga.
umeniona online ngoja nijibu
hahahaha uthithaau na keki[/
Nipe dili basi.
umeniona online ngoja nijibu
hahahaha uthithaau na keki[/
Nipe dili basi.
ninazo nyingi chagua
ninazo nyingi chagua
Hizo nyingi kama zipi?
Hizo nyingi kama zipi?
wewe u ataka ipi
Maneno Kama kamwene siounatakiwa ujue mambo mengi
hata baadhi ya lugha za asili yale maneno yao wanayoyatumia hasa
usiwe kauzu sana wala mcheshi sana utaboa
maana yake aibu usiwe nayo
Uzi wa zama za jk unajibiwa zama za jiweKWANZA KABISA,
UWE NA KITAMBULISHO CHA UJASILIAMALI,
NDIPO MENGINE YAFUATE.
Mc Nabori Chuwaasante sana mkuu Watu8 nomba jina lingine la mc mzuri in bongo land mwenye clip you tube
asante sana.
Pia kujua baadhi ya aya mbalimbali kwenye vitabu vitakatifu zinzoendana na tukio ili uwe una link up na matukio husikaHapo ndo pa muhimu sana sasa namna ya kujua makabila mbalimbali what they and what to do kupata japo nayajua machache kwa kuudhuria sherehe na hafla mbalimbali ila still nahitaji kujua sana
mkuu niunge basi namimi natamani sana kuwa MCUshauri upo mwingi nitarudi tena na kukumegea kwa vile hii ni kazi yangu inayoniweka mjini