Msaada: Ni mambo gani ya kuzingatia ukiwa M.C wa hafla mbalimbali?

Msaada: Ni mambo gani ya kuzingatia ukiwa M.C wa hafla mbalimbali?

Golden 45 Minutes...ukiwa beginner au mc ukiwa ktk hadhira mpya kabisa kwako zitumie vema dk 45 za mwanzo....ndani ya dk hizo hakikisha hadhira yako inakubali kwamba leo wana.mc....ukibug hapo wakikujaji juwa wewe sio utapata shida sherehe nzima

okey i get it golden 45 mints
 
Kuhusu matukio magumu kunitokea hata nikikuambia haitakusaidia as beginner...swala mama huwa anamfundisha mwanae kula majani wala hamuambii kama kuna simba porini maana akimuambia swala mtoto ataogopa kutoka kutafuta majani mwishoe atakufa njaa.asante all the best

asante sana mkuu nitakufata kwa ushauri zaidi
 
masai dada..

Individuality is a vital key kwenye kila jambo. Hapa namaanisha kuwa stylish and kiasi fulani UNIQUE... Ahhmm.. ninavyoona, wewe umehamasika zaidi kwenye mshiko kuliko kutoa huduma, kitu ambacho napata mashaka kama utamudu kuifanya hii kazi kwa kuwa huna passion nayo from within.

Nevertheless; unaweza kujifunza kuipenda hii kazi taratibu (Mi sio MC though) na kuifanya vema! So nakushauri uhakikishe uwe unajikagua umefanikiwa kwa kiwango gani kufurahisha sherehe husika (umechangia kwa kiwango gani kuipendezesha shughuli na mwitikio umekuwaje) - Hili utaliona kutoka kwa wahudhuriaje baada ya sherehe (kuombwa contacts, au kusifiwa na watu mbalimbali, kuombwa kupiga picha n.k.).

Individuality again: Kwako na kwa wasifu uliojipambanua nao humu siku nyingi, unaonyesha ni kwa kiwango gani kama utaamua kuitumia vizuri hii IDENTITY ya kimasai, utafanikiwa (coz u seem to have some interests with Masai culture). So, nadhani ni wazo zuri sana na itavutia kama ukiwa MC MASAI (Jina utachagua mwenyewe)!

Nimesema Mengi. Fanyia kazi yatakayokufaa!

Asante!

asante sana mkuuu

unajua mahalli penye pesa au ukipa tune kwamba lazima nifanye at my best ili nipate ela basi utatumia juhudi zote kuhahkikisha unafanikisha
zamani u MC ilikua ni kujitolea tu lakini kwa sasa ni biashara so PIA NINA MOYO WA KUFANYA HII KAZI KWANI MBALI NA KUNIINGIZIA ELA PIA na enjoy kuonhoza watu katika mambo mengi bila hata kupewa chochote


asnate nimejifunza mengi
 
Changamkia fursa hiyo Dada, hakuna shughuli ya kutengeneza hela kiulaini hapa mjini kama hiyo. Unapiga domo tu kwa masaa kama 4 hivi unaondoka na kiasi cha chini 500,000/=. Hapo ni mwanzo, ukijenga jina likawa kubwa kama kina MC Luvanda, Piliplili, Kitunguu, Cheni, na wengine maarufu kwa wiki hukosi 3,000,000/=. Mungu akupe nini?

Mungu anipe afya,baraka,hekima na busara

thanx
 
Ila huo u-MC wa 3mil/ week mmmmh!! Nijuavyo Mimi ni kuwa ma-MC mara nyingi wanachukuliwa pamoja na muziki ambapo sidhani kama hata laki tano zitafika kwa mc na vyombo vya music, hapa sijazungumzia uchache wa tenda na ukizingatia kuwa sherehe nyingi huwa zinafanyika jumamosi na jumapili.
 
asante sana mkuuu

unajua mahalli penye pesa au ukipa tune kwamba lazima nifanye at my best ili nipate ela basi utatumia juhudi zote kuhahkikisha unafanikisha
zamani u MC ilikua ni kujitolea tu lakini kwa sasa ni biashara so PIA NINA MOYO WA KUFANYA HII KAZI KWANI MBALI NA KUNIINGIZIA ELA PIA na enjoy kuonhoza watu katika mambo mengi bila hata kupewa chochote


asnate nimejifunza mengi

Zaidi ya kupewa pesa pia utakula palau na soda bure kwenye masherehe wakati wenzako walichanga.
 
haa kwel hata ujaribu kutafiti rugha muhmu za watu unako enda kupiga kazi afu ujue wanatakaje usikurupuke maana uemc. unaitaji ekma na umakini sana
 
Hapo ndo pa muhimu sana sasa namna ya kujua makabila mbalimbali what they and what to do kupata japo nayajua machache kwa kuudhuria sherehe na hafla mbalimbali ila still nahitaji kujua sana
Pia kujua baadhi ya aya mbalimbali kwenye vitabu vitakatifu zinzoendana na tukio ili uwe una link up na matukio husika
 
Back
Top Bottom