Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,290
- 2,468
Habari wadau,
Suala hili linaumiza kichwa. Kwa mujibu wa shirika la afya wanasema mwanamke akitimiza mwaka bila kuzaa na anashiriki tendo, basi huyo ni tasa. Sasa ni zaidi ya nusu mwaka mtoto anatafutwa bila mafanikio. Najua humu kuna wataalamu na wajuzi wa hizi changamoto.
Kama mwanamke hana changamoto zozote na mfumo wake uko sawa, tatizo nini. Ni umri? maana ana miaka 37 sasa. Kwani kwa umri huo inashindikana nini kupata ovulation? Wajuzi tusaidiane hapa.
Suala hili linaumiza kichwa. Kwa mujibu wa shirika la afya wanasema mwanamke akitimiza mwaka bila kuzaa na anashiriki tendo, basi huyo ni tasa. Sasa ni zaidi ya nusu mwaka mtoto anatafutwa bila mafanikio. Najua humu kuna wataalamu na wajuzi wa hizi changamoto.
Kama mwanamke hana changamoto zozote na mfumo wake uko sawa, tatizo nini. Ni umri? maana ana miaka 37 sasa. Kwani kwa umri huo inashindikana nini kupata ovulation? Wajuzi tusaidiane hapa.