Msaada: Ni zaidi ya nusu mwaka sasa tunatafuta mtoto bila mafanikio, tatizo linaweza kuwa nini?

Msaada: Ni zaidi ya nusu mwaka sasa tunatafuta mtoto bila mafanikio, tatizo linaweza kuwa nini?

Attachments

  • images (1).png
    images (1).png
    20.1 KB · Views: 9
  • images (30).jpeg
    images (30).jpeg
    28.4 KB · Views: 6
Jamaa yangu alikaa miaka 3 ndani ya Ndoa bila kupata mtoto,kwa kuwa alikuwa na pesa alizunguka Hospital nyingi ndani na nje ya Nchi,kuja kubumbuluka akaambiwa mkewe ana mzunguko mfupi(siku 14),hivyo akashauriwa Mkewe anapokuwa period,ndio amtombe hivyohivyo na damu zake,ile kujaribu tu mimba ikaingia!!leo wana watoto watatu
 
Habari wadau,

Suala hili linaumiza kichwa. Kwa mujibu wa shirika la afya wanasema mwanamke akitimiza mwaka bila kuzaa na anashiriki tendo, basi huyo ni tasa. Sasa ni zaidi ya nusu mwaka mtoto anatafutwa bila mafanikio. Najua humu kuna wataalamu na wajuzi wa hizi changamoto.

Kama mwanamke hana changamoto zozote na mfumo wake uko sawa, tatizo nini. Ni umri? maana ana miaka 37 sasa. Kwani kwa umri huo inashindikana nini kupata ovulation? Wajuzi tusaidiane hapa.
DR Mambo Jambo
 
Kuuna wanaume wa ajabu kweri kweri,kuna binti kadumu kwenye ndoa miaka 8 bila mtoto hadi mwanamume akamfukuza kuwa ni tasa,aliporudi nyumbani nikaanza kumfuatilia akawa ameingia kwenye 18,mara moja baada ya mwezi ananiambia haoni siku zake,kwenda kupima akabainika kuwa na ujauzito,amejifungua sasa mapacha

Wanaume wamekalili utasa uko kwa mwanamke,ndo maana matatizo mengi ya kukosa watoto lawama huelekezwa kwa mwanamke
Hongera Sana Baba wawili....
 
Kama mwanamke anaona hedhi yake vizuri na wewe unatoa mbegu zilizo timamu kabisa lazima mwanamke apate mimba.Hapo kuna changamoto kidogo tu ambayo hujaibaini.Endelea kupambana utapata mtoto kama utabahatisha tiba sahihi.Kama utaendelea kutofanikiwa usisite kunishirikisha pia.
 
Kama mwanamke anaona hedhi yake vizuri na wewe unatoa mbegu zilizo timamu kabisa lazima mwanamke apate mimba.Hapo kuna changamoto kidogo tu ambayo hujaibaini.Endelea kupambana utapata mtoto kama utabahatisha tiba sahihi.Kama utaendelea kutofanikiwa usisite kunishirikisha pia.
Pamoja sana ndugu
 
Habari wadau,

Suala hili linaumiza kichwa. Kwa mujibu wa shirika la afya wanasema mwanamke akitimiza mwaka bila kuzaa na anashiriki tendo, basi huyo ni tasa. Sasa ni zaidi ya nusu mwaka mtoto anatafutwa bila mafanikio. Najua humu kuna wataalamu na wajuzi wa hizi changamoto.

Kama mwanamke hana changamoto zozote na mfumo wake uko sawa, tatizo nini. Ni umri? maana ana miaka 37 sasa. Kwani kwa umri huo inashindikana nini kupata ovulation? Wajuzi tusaidiane hapa.
Nendeni hospitali mkapatiwe matibabu.
 
Back
Top Bottom