To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤭We jinga kweli kapime na sperm zako kama zina uwezo wa kutungisha. Kafanye kitu kinaitwa sperm analysis and motility Poor Brain To yeye dronedrake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤭We jinga kweli kapime na sperm zako kama zina uwezo wa kutungisha. Kafanye kitu kinaitwa sperm analysis and motility Poor Brain To yeye dronedrake
Nikta mekuMiezi sita ni michache sana Mkuu, Usikate tamaa wala usianze kutafuta DAWA mapema hii. ila ikifikia miaka miwili nicheki nikuunganishe na mtaalam atakupa dawa
safi mekuNikta meku
Normal and Abnormal Sperms✍🏽Ubnormal sperm.....
Unakuta sperm haina tail...
😁😁😁😁Biology hiyo kitambo
Una uhakika huyo mtoto ni uzao wako halisi..?Yah, ninae
DR Mambo JamboHabari wadau,
Suala hili linaumiza kichwa. Kwa mujibu wa shirika la afya wanasema mwanamke akitimiza mwaka bila kuzaa na anashiriki tendo, basi huyo ni tasa. Sasa ni zaidi ya nusu mwaka mtoto anatafutwa bila mafanikio. Najua humu kuna wataalamu na wajuzi wa hizi changamoto.
Kama mwanamke hana changamoto zozote na mfumo wake uko sawa, tatizo nini. Ni umri? maana ana miaka 37 sasa. Kwani kwa umri huo inashindikana nini kupata ovulation? Wajuzi tusaidiane hapa.
Hongera Sana Baba wawili....Kuuna wanaume wa ajabu kweri kweri,kuna binti kadumu kwenye ndoa miaka 8 bila mtoto hadi mwanamume akamfukuza kuwa ni tasa,aliporudi nyumbani nikaanza kumfuatilia akawa ameingia kwenye 18,mara moja baada ya mwezi ananiambia haoni siku zake,kwenda kupima akabainika kuwa na ujauzito,amejifungua sasa mapacha
Wanaume wamekalili utasa uko kwa mwanamke,ndo maana matatizo mengi ya kukosa watoto lawama huelekezwa kwa mwanamke
Mwanaume Inatakiwa akafanye Sperm Analysis..
Pamoja sana nduguKama mwanamke anaona hedhi yake vizuri na wewe unatoa mbegu zilizo timamu kabisa lazima mwanamke apate mimba.Hapo kuna changamoto kidogo tu ambayo hujaibaini.Endelea kupambana utapata mtoto kama utabahatisha tiba sahihi.Kama utaendelea kutofanikiwa usisite kunishirikisha pia.
Mnataka muue watu kwa pressure?Una uhakika km ni wako?
Nendeni hospitali mkapatiwe matibabu.Habari wadau,
Suala hili linaumiza kichwa. Kwa mujibu wa shirika la afya wanasema mwanamke akitimiza mwaka bila kuzaa na anashiriki tendo, basi huyo ni tasa. Sasa ni zaidi ya nusu mwaka mtoto anatafutwa bila mafanikio. Najua humu kuna wataalamu na wajuzi wa hizi changamoto.
Kama mwanamke hana changamoto zozote na mfumo wake uko sawa, tatizo nini. Ni umri? maana ana miaka 37 sasa. Kwani kwa umri huo inashindikana nini kupata ovulation? Wajuzi tusaidiane hapa.
Una uhakika gani ni wako?Yah, ninae
Sio hormone tu .Okay poleni kwa changamoto, nendeni mkamuone gyna possible ni homoni tu.
Kacheki na wewe hata kama una mtoto. Mambo ni mengi boss.Alishacheki na zikawa balance, tena kwa Dr mmoja maarufu pale Kairuki
37 bado kabisa huyo.....Sio hormone tu .
Kuna factors nyingi zinachangia huyo mwanamke asi conceive, hata huo umri pia ni risk factor moja wapo.