Hakuna hawa wote huku ni one shot on target one goalKwani hapo kwenu hakuna mwanamke wa hivyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna hawa wote huku ni one shot on target one goalKwani hapo kwenu hakuna mwanamke wa hivyo?
Unauhakika gani kuwa ni wako?Yah, ninae
Duuuh yaani nusu mwaka tu unaanza kumtafuta mchawi .
Mm nilikaa 5years kwenye ndoa ndio nikapata mtoto wa kwanza na hatukua na shida yoyote,
Labda niongee jambo Moja japo sio wote wanaweza wakalielewa Kwa haraka
Kupata mtoto sio matokeo ya kufanya tu ngono/tendo la ndoa
Mtoto ni Mungu ndio anaruhusu azaliwe na ndio maan unaona una nusu mwaka mnasex na mko normal na hujapata
Iko hv japo na hii unaweza usiielewe
kila unayemwona kazaliwa duniani huja Kwa sababu maalumu na Kwa wakati maalumu japo sisi wanadamu Huwa tunataman pale tunapotaka mtoto basi tupate wakati huohuo
Ndio maana Kuna mtu unaweza mkuta anawatoto 5 wewe Hata mmoja huna lakin katika hao wa 5 hakuna Cha maana wanachosaidia au leta impacts katika ulimwengu
Halafu wewe wakwako anayechelewa kuja gafla akifika unashangaa anakuja na mambo ambayo Dunia ilikuwa inayasubiri Kwa miaka mingi
Fanya utafiti wako binafsi watoto wengi ambao kuzaliwa kwao kulipatikana kwa namna zisizo za kawaida na wenyewe huwa sio wakawaida
Mfano nimekwambia hapo juu mm nilikaa kwenye ndoa Kwa 5 years wapo wadogo zangu walikuwa na watoto wapo shemeji zangu walikuwa na watoto
Lakini ukweli siku alipozaliwa mwanangu kila mtu aliona sio mtoto wa kawaida yamkini ndio maana alikuwa anachelewa kuja.
Ngoja nitumie mfano huu pengine unaweza nielewa kidgo.
Note: Muda uliozaliwa na mahali ulipozaliwa pamebeba Kusudi lako.
Sijui kama umewahi kuwaza kama Yesu angezaliwa Tanzania je angefanikiwa kutimiza Kusudi?
-Haiko katika tamaduni zetu watanzania kumsulubisha mtu msalabani hata kama amefanya kosa Gani, lakini alizaliwa islael enzi za utawala wa kirumi ambapo hao walikuwa na utamaduni wa kusulubisha wakosaji msalabani.
Lakini pia hata kama angezaliwa hukohuko Islaeli alikozaliwa kma ingekuwa ni Karne hizi vilevile Kusudi lingekuwa gumu kulitimiza Kwa njia Ile
kipindi hiki ambacho Dunia ni kama Kijiji na kwa mtu maarufu kama Yesu asingeweza kuhukumiwa bila kosa , Kisha Dunia inyamaze
Watu wa haki za binadamu wangekuja n.k
Kwanini nimetoa mifano hiyo nataka niendelee kukutia moyo Mtoto sio tu dhana ya matokeo ya tendo la ndoa Bali ni Kusudi la Mungu juu ya kutimiza jambo Fulani duniani
Na ndio maana Kuna mtu anabakwa na kushika mimba papohapo na Kuna wewe unafanya Kwa style zote then hakuna mimba.
Kuna rafiki yangu sitomtaja jina ila yeye alikuwa na kasumba ya kila mkewake akishika mimba inatoka ,zilitoka mimba 5 wakawa wanamwomba tu Mungu
siku Moja akashika mimba nyngine Ile mimba ilikaa siku ya kuja kujifungua alijifungua mapacha watatu wawili ni boys na mmoja ni girls hii sio story ni real kwasasa anaishi Arusha, akajikuta kawapita Hadi wale waliomtangulia kuzaa yeye anawatatu ndani ya miaka 2 wenzake wana mmoja
Nimalize kwa kusema nenda hospital chukua ushauri wote wa daktari fuata taratibu zote ,yawezekana mwanao ndio mkombozi wa Tanzania ya kesho tunayoitaka hivyo anasubiri azaliwe kwa wakati sahihi [emoji120][emoji120]
Mpeleke kwa daktari atasema, kama aliwekewa kitanzi (Intrauterine contraceptive device ) kikitolewa atazaa tu, kama akili hiyo hana mtaendelea kumsaka mchawi .
Maana hii akiwekewa anasahau kabisa na inachukua miaka mingi sana ku conceive kama hakikutolewa.
Menopause ni Miaka 35 mpaka 40, huyo Miaka 37 mpaka aombe sana na mtoto awe wa Ahadiana miaka 37 sasa
Swali la msingi sana.Muulize kama alishawahi kutumia njia za uzazi wa mpango zozote.
Mkuu wewe umepima????? Kama Huna tatizo?Habari wadau,
Suala hili linaumiza kichwa. Kwa mujibu wa shirika la afya wanasema mwanamke akitimiza mwaka bila kuzaa na anashiriki tendo, basi huyo ni tasa. Sasa ni zaidi ya nusu mwaka mtoto anatafutwa bila mafanikio. Najua humu kuna wataalamu na wajuzi wa hizi changamoto.
Kama mwanamke hana changamoto zozote na mfumo wake uko sawa, tatizo nini. Ni umri? maana ana miaka 37 sasa. Kwani kwa umri huo inashindikana nini kupata ovulation? Wajuzi tusaidiane hapa.
Good thinkingUna uhakika km ni wako?
Una uhakika ni wa kwako? 👇👇👇Yah, ninae
Mlipima ukimwi kwanza?Kuuna wanaume wa ajabu kweri kweri,kuna binti kadumu kwenye ndoa miaka 8 bila mtoto hadi mwanamume akamfukuza kuwa ni tasa,aliporudi nyumbani nikaanza kumfuatilia akawa ameingia kwenye 18,mara moja baada ya mwezi ananiambia haoni siku zake,kwenda kupima akabainika kuwa na ujauzito,amejifungua sasa mapacha
Wanaume wamekalili utasa uko kwa mwanamke,ndo maana matatizo mengi ya kukosa watoto lawama huelekezwa kwa mwanamke
Hapana,kwahiyo nina ukimwi!?Mlipima ukimwi kwanza?
Hahaha, mimi sijasema hivyo mkuu. Maana yangu ni kwamba, watu mnapata ujasiri wapi wa kusex kavu? Mnachezea afya kama karata vile.Hapana,kwahiyo nina ukimwi!?
Pole kwa changamoto, nimewahi kupitia hii....kwetu ilibidi dokta ampe wife dawa za "kuvuruga" mzunguko na akapata mimba.....shida ilikuwa hormonesHabari wadau,
Suala hili linaumiza kichwa. Kwa mujibu wa shirika la afya wanasema mwanamke akitimiza mwaka bila kuzaa na anashiriki tendo, basi huyo ni tasa. Sasa ni zaidi ya nusu mwaka mtoto anatafutwa bila mafanikio. Najua humu kuna wataalamu na wajuzi wa hizi changamoto.
Kama mwanamke hana changamoto zozote na mfumo wake uko sawa, tatizo nini. Ni umri? maana ana miaka 37 sasa. Kwani kwa umri huo inashindikana nini kupata ovulation? Wajuzi tusaidiane hapa.
Acha kumtisha jamaa ... Huo umri bado anapata watoto wawili chaaap... Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu.Menopause ni Miaka 35 mpaka 40, huyo Miaka 37 mpaka aombe sana na mtoto awe wa Ahadi
Ndio maana nikasema AhadiAcha kumtisha jamaa ... Huo umri bado anapata watoto wawili chaaap... Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu.