Msaada: Ni zaidi ya nusu mwaka sasa tunatafuta mtoto bila mafanikio, tatizo linaweza kuwa nini?

Msaada: Ni zaidi ya nusu mwaka sasa tunatafuta mtoto bila mafanikio, tatizo linaweza kuwa nini?

Duuuh yaani nusu mwaka tu unaanza kumtafuta mchawi .

Mm nilikaa 5years kwenye ndoa ndio nikapata mtoto wa kwanza na hatukua na shida yoyote,

Labda niongee jambo Moja japo sio wote wanaweza wakalielewa Kwa haraka

Kupata mtoto sio matokeo ya kufanya tu ngono/tendo la ndoa

Mtoto ni Mungu ndio anaruhusu azaliwe na ndio maan unaona una nusu mwaka mnasex na mko normal na hujapata

Iko hv japo na hii unaweza usiielewe

kila unayemwona kazaliwa duniani huja Kwa sababu maalumu na Kwa wakati maalumu japo sisi wanadamu Huwa tunataman pale tunapotaka mtoto basi tupate wakati huohuo

Ndio maana Kuna mtu unaweza mkuta anawatoto 5 wewe Hata mmoja huna lakin katika hao wa 5 hakuna Cha maana wanachosaidia au leta impacts katika ulimwengu

Halafu wewe wakwako anayechelewa kuja gafla akifika unashangaa anakuja na mambo ambayo Dunia ilikuwa inayasubiri Kwa miaka mingi

Fanya utafiti wako binafsi watoto wengi ambao kuzaliwa kwao kulipatikana kwa namna zisizo za kawaida na wenyewe huwa sio wakawaida

Mfano nimekwambia hapo juu mm nilikaa kwenye ndoa Kwa 5 years wapo wadogo zangu walikuwa na watoto wapo shemeji zangu walikuwa na watoto

Lakini ukweli siku alipozaliwa mwanangu kila mtu aliona sio mtoto wa kawaida yamkini ndio maana alikuwa anachelewa kuja.

Ngoja nitumie mfano huu pengine unaweza nielewa kidgo.

Note: Muda uliozaliwa na mahali ulipozaliwa pamebeba Kusudi lako.

Sijui kama umewahi kuwaza kama Yesu angezaliwa Tanzania je angefanikiwa kutimiza Kusudi?

-Haiko katika tamaduni zetu watanzania kumsulubisha mtu msalabani hata kama amefanya kosa Gani, lakini alizaliwa islael enzi za utawala wa kirumi ambapo hao walikuwa na utamaduni wa kusulubisha wakosaji msalabani.

Lakini pia hata kama angezaliwa hukohuko Islaeli alikozaliwa kma ingekuwa ni Karne hizi vilevile Kusudi lingekuwa gumu kulitimiza Kwa njia Ile

kipindi hiki ambacho Dunia ni kama Kijiji na kwa mtu maarufu kama Yesu asingeweza kuhukumiwa bila kosa , Kisha Dunia inyamaze
Watu wa haki za binadamu wangekuja n.k

Kwanini nimetoa mifano hiyo nataka niendelee kukutia moyo Mtoto sio tu dhana ya matokeo ya tendo la ndoa Bali ni Kusudi la Mungu juu ya kutimiza jambo Fulani duniani
Na ndio maana Kuna mtu anabakwa na kushika mimba papohapo na Kuna wewe unafanya Kwa style zote then hakuna mimba.

Kuna rafiki yangu sitomtaja jina ila yeye alikuwa na kasumba ya kila mkewake akishika mimba inatoka ,zilitoka mimba 5 wakawa wanamwomba tu Mungu

siku Moja akashika mimba nyngine Ile mimba ilikaa siku ya kuja kujifungua alijifungua mapacha watatu wawili ni boys na mmoja ni girls hii sio story ni real kwasasa anaishi Arusha, akajikuta kawapita Hadi wale waliomtangulia kuzaa yeye anawatatu ndani ya miaka 2 wenzake wana mmoja


Nimalize kwa kusema nenda hospital chukua ushauri wote wa daktari fuata taratibu zote ,yawezekana mwanao ndio mkombozi wa Tanzania ya kesho tunayoitaka hivyo anasubiri azaliwe kwa wakati sahihi 🙏🙏
Usikute hata huyo pia sio wako.
 
Kuuna wanaume wa ajabu kweri kweri,kuna binti kadumu kwenye ndoa miaka 8 bila mtoto hadi mwanamume akamfukuza kuwa ni tasa,aliporudi nyumbani nikaanza kumfuatilia akawa ameingia kwenye 18,mara moja baada ya mwezi ananiambia haoni siku zake,kwenda kupima akabainika kuwa na ujauzito,amejifungua sasa mapacha

Wanaume wamekalili utasa uko kwa mwanamke,ndo maana matatizo mengi ya kukosa watoto lawama huelekezwa kwa mwanamke
Kwahiyo umemuoa? au umemsababishia usingo Maza?
 
Ni ishu ya timing tu mkuu na pia ondoa hofu.

Mwaka jana nilikua nataka mtoto wa pili na girlfriend wangu, tukaanza kumsaka October, hadi november ni shoo shoo lakini wapi. Tukaja kupata December bahati mbaya ikatoka January mwaka huu, tukaanza kumtafta Februari tumekuja kumpata May.

Kipindi hicho chote mwanamke hadi alihamaki akaenda hadi kwa daktari na dokta akasema hana tatizo, mimi sikuenda kwa sababu kipindi hicho tayari nilikua na mimba 3 kwa wanawake wengine 3 tofauti.

So nashauri calm down, relax, fuata kalenda vizuri, abstain from sex wiki 1 kabla hajaingia kwenye kipindi cha kushika mimba, I mean ile siku anaanza P acha sex kama una michepuko nje, so zile siku za p zikiisha pia usifanye, subiri kuanzia siku ya 11 ama 12 ndio upige show ya kueleweka hadi siku ya 15. Hii ni kama mkeo ni over 30.

Hawa wa under 25 wanashika mimba kuanzia siku ya 8 hadi siku ya 17 kizazi kiko nje nje.
 
Habari wadau,

Suala hili linaumiza kichwa. Kwa mujibu wa shirika la afya wanasema mwanamke akitimiza mwaka bila kuzaa na anashiriki tendo, basi huyo ni tasa. Sasa ni zaidi ya nusu mwaka mtoto anatafutwa bila mafanikio. Najua humu kuna wataalamu na wajuzi wa hizi changamoto.

Kama mwanamke hana changamoto zozote na mfumo wake uko sawa, tatizo nini. Ni umri? maana ana miaka 37 sasa. Kwani kwa umri huo inashindikana nini kupata ovulation? Wajuzi tusaidiane hapa.
Muulize kama alishawahi kutumia njia za uzazi wa mpango zozote.
 
Habari wadau,

Suala hili linaumiza kichwa. Kwa mujibu wa shirika la afya wanasema mwanamke akitimiza mwaka bila kuzaa na anashiriki tendo, basi huyo ni tasa. Sasa ni zaidi ya nusu mwaka mtoto anatafutwa bila mafanikio. Najua humu kuna wataalamu na wajuzi wa hizi changamoto.

Kama mwanamke hana changamoto zozote na mfumo wake uko sawa, tatizo nini. Ni umri? maana ana miaka 37 sasa. Kwani kwa umri huo inashindikana nini kupata ovulation? Wajuzi tusaidiane hapa.
Hapo kwenye tasa sidhani kama ni sahihi anaweza kushindwa kushika mimba sababu ya changamoto zingine za hormones au mirija mngefika hospital kwa uchunguzi zaidi.
 
Yah, ninae
1. Una uhakika Ni wako?
2. Kwanini usingeendelea na uliye zaa naye?
3. Kwanini uoe mwanamke aliye over 35 ambao ndio umri wa juu recommended kwa mwanamke kupata mimba na kuzaa salama?
4. Huyo uliyemuacha sio ajabu kakuendea mahali. Wanaosemaga.

Tutaona...
 
Kuuna wanaume wa ajabu kweri kweri,kuna binti kadumu kwenye ndoa miaka 8 bila mtoto hadi mwanamume akamfukuza kuwa ni tasa,aliporudi nyumbani nikaanza kumfuatilia akawa ameingia kwenye 18,mara moja baada ya mwezi ananiambia haoni siku zake,kwenda kupima akabainika kuwa na ujauzito,amejifungua sasa mapacha

Wanaume wamekalili utasa uko kwa mwanamke,ndo maana matatizo mengi ya kukosa watoto lawama huelekezwa kwa mwanamke
Mchepuko huu sawa baba wawili
 
Kama hakufanya abortion ikamuachia kovu basi dawa zipo mitishamba mizizi ni miezi michache tu 1-4 ananasa mimba huo umri sio tatizo wasikutishe
 
1. Una uhakika Ni wako?
2. Kwanini usingeendelea na uliye zaa naye?
3. Kwanini uoe mwanamke aliye over 35 ambao ndio umri wa juu recommended kwa mwanamke kupata mimba na kuzaa salama?
4. Huyo uliyemuacha sio ajabu kakuendea mahali. Wanaosemaga.

Tutaona...
Hizo tutaona ni possible mkuu
 
Ni ishu ya timing tu mkuu na pia ondoa hofu.

Mwaka jana nilikua nataka mtoto wa pili na girlfriend wangu, tukaanza kumsaka October, hadi november ni shoo shoo lakini wapi. Tukaja kupata December bahati mbaya ikatoka January mwaka huu, tukaanza kumtafta Februari tumekuja kumpata May.

Kipindi hicho chote mwanamke hadi alihamaki akaenda hadi kwa daktari na dokta akasema hana tatizo, mimi sikuenda kwa sababu kipindi hicho tayari nilikua na mimba 3 kwa wanawake wengine 3 tofauti.

So nashauri calm down, relax, fuata kalenda vizuri, abstain from sex wiki 1 kabla hajaingia kwenye kipindi cha kushika mimba, I mean ile siku anaanza P acha sex kama una michepuko nje, so zile siku za p zikiisha pia usifanye, subiri kuanzia siku ya 11 ama 12 ndio upige show ya kueleweka hadi siku ya 15. Hii ni kama mkeo ni over 30.

Hawa wa under 25 wanashika mimba kuanzia siku ya 8 hadi siku ya 17 kizazi kiko nje nje.
Thanks kwa ushauri mkuu. Nitaufanyia kazi
 
Ukitaka kujua Kama mwanamme uko fitty jaribu na house girl. Bao moja tu tena cha wizi wizi wife asije akawakuteni.
Mimba.
 
Habari wadau,

Suala hili linaumiza kichwa. Kwa mujibu wa shirika la afya wanasema mwanamke akitimiza mwaka bila kuzaa na anashiriki tendo, basi huyo ni tasa. Sasa ni zaidi ya nusu mwaka mtoto anatafutwa bila mafanikio. Najua humu kuna wataalamu na wajuzi wa hizi changamoto.

Kama mwanamke hana changamoto zozote na mfumo wake uko sawa, tatizo nini. Ni umri? maana ana miaka 37 sasa. Kwani kwa umri huo inashindikana nini kupata ovulation? Wajuzi tusaidiane hapa.
Mzeya nipe huyo mwanamke asiezaa ata ifaa mie vizuri kabisa....ni mwendo wa kugegedana na kula life bila stress za kulipa ada za shule
 
Habari wadau,

Suala hili linaumiza kichwa. Kwa mujibu wa shirika la afya wanasema mwanamke akitimiza mwaka bila kuzaa na anashiriki tendo, basi huyo ni tasa. Sasa ni zaidi ya nusu mwaka mtoto anatafutwa bila mafanikio. Najua humu kuna wataalamu na wajuzi wa hizi changamoto.

Kama mwanamke hana changamoto zozote na mfumo wake uko sawa, tatizo nini. Ni umri? maana ana miaka 37 sasa. Kwani kwa umri huo inashindikana nini kupata ovulation? Wajuzi tusaidiane hapa.

Pole sana, ila ukimshindwa tushirikishe, natafuta sana mwanamke tasa rejected kwenye ndoa, atanifaa sana, nitamtuza na tutaishi kwa furaha.
 
Kuuna wanaume wa ajabu kweri kweri,kuna binti kadumu kwenye ndoa miaka 8 bila mtoto hadi mwanamume akamfukuza kuwa ni tasa,aliporudi nyumbani nikaanza kumfuatilia akawa ameingia kwenye 18,mara moja baada ya mwezi ananiambia haoni siku zake,kwenda kupima akabainika kuwa na ujauzito,amejifungua sasa mapacha

Wanaume wamekalili utasa uko kwa mwanamke,ndo maana matatizo mengi ya kukosa watoto lawama huelekezwa kwa mwanamke
One shot or target one goal....talk about efficiency 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom