Msaada: Ni zaidi ya nusu mwaka sasa tunatafuta mtoto bila mafanikio, tatizo linaweza kuwa nini?

Msaada: Ni zaidi ya nusu mwaka sasa tunatafuta mtoto bila mafanikio, tatizo linaweza kuwa nini?

Kwanza nenda hospital kubwa kama Rabinisia, kairuki aghakan au muhimbili.

Kapime ubora wa mbegu zako na wingi, inashauriwa utoe bao lenye ujazo wa 64M sperms & 75% ya hizo sperms ziwe na uwezo wa kujongea na kufanya fertilization.
Kama mbegu zako ziko chini ya kiwango utapewa vidonge vya kuongeza ubora wa mbegu zako na kuongeza uzalishaji.

Mke wako atumie vidonge letrozole kama sikakosea Huwa ni 5 na anaanza kumeza baada tu ya kutoka period.

Kula vizuri, Fanya mazoezi na punguza msongo wa mawazo wa kutaka kupata mtoto Kila unapokutana na mke wako.

Hakikisha Kila siku we piga mbupu, hakuna cha kusubiri siku za hatari wala nn yaani we ni mwenda wa kusuuza lungu tu, utaona kama hajanasa na Kisha utakuja nishukuru.
😁 Nimekusoma mkuu. Tulishaenda hospital moja kubwa ikaonekana wife yuko ok. Ikashauriwa apambane na stress. Binafsi sikucheki ila ni ushauri mzuri. Tutarudi tena hospital ila sio ya awali
 
😁 Nimekusoma mkuu. Tulishaenda hospital moja kubwa ikaonekana wife yuko ok. Ikashauriwa apambane na stress. Binafsi sikucheki ila ni ushauri mzuri. Tutarudi tena hospital ila sio ya awali
Mkuu... Wewe hukuona haja ya kucheki kipimo chochote??
 
Kwa shilingi elf 10 tu unapata formula ya kutibu nguvu za kiume kwa matunda

Formula zipo tatu matunda au maji ya uvuguvugu na bamia au tangawizi

Njoo whats app 0712505049 nikutumie formula uanze tiba leo leo

Matokeo ni haraka ndan ya siku mbili unaanza kuona na ukipona umepona tatizo halirud sababu unatibu mfumo mzimaaa
 
Maelekezo ya ziada huwa yako kwenye label ya bidhaa wala usihofu.

Matumizi huwa ni mara mbili kwa siku... Mine eyes 🙏🏾
 
Acha pombe na sigara.
Hakikisha kabla ya kumuingilia mkeo Hana stress ya aina yoyote yaani amelanika full full.
 
kapimeni kuna magonjwa ya zinaa huwa na kawaida ya kuharibu mbegu,
 
Kuuna wanaume wa ajabu kweri kweri,kuna binti kadumu kwenye ndoa miaka 8 bila mtoto hadi mwanamume akamfukuza kuwa ni tasa,aliporudi nyumbani nikaanza kumfuatilia akawa ameingia kwenye 18,mara moja baada ya mwezi ananiambia haoni siku zake,kwenda kupima akabainika kuwa na ujauzito,amejifungua sasa mapacha

Wanaume wamekalili utasa uko kwa mwanamke,ndo maana matatizo mengi ya kukosa watoto lawama huelekezwa kwa mwanamke
Umenena!
 
Back
Top Bottom