Okay poleni kwa changamoto, nendeni mkamuone gyna possible ni homoni tu.Yah, ninae
Una uhakika km ni wako?Yah, ninae
Wote wawili tumieni mwani na star anise kila siku... Mkipata watoto... Please usisahau zawadi yangu.... 😂🤣Habari wadau
Suala hili linaumiza kichwa. Kwa mujibu wa shirika la afya wanasema mwanamke akitimiza mwaka bila kuzaa na anashiriki tendo, basi huyo ni tasa. Sasa ni zaidi ya nusu mwaka mtoto anatafutwa bila mafanikio. Najua humu kuna wataalamu na wajuzi wa hizi changamoto. Kama mwanamke hana changamoto zozote na mfumo wake uko sawa, tatizo nini. Ni umri? maana ana miaka 37 sasa. Kwani kwa umri huo inashindikana nini kupata ovulation? Wajuzi tusaidiane hapa
Ubnormal sperm.....We jinga kweli kapime na sperm zako kama zina uwezo wa kutungisha. Kafanye kitu kinaitwa sperm analysis and motility Poor Brain To yeye dronedrake
Poleni sana vuteni subiraAlishacheki na zikawa balance, tena kwa Dr mmoja maarufu pale Kairuki
Kwa mwanaume kujithibitishia kirahisi namna hii labda hilo toto uwe umefanana nalo 100%. Habari ya kusema hyu mtoto kichwa kama cha babaake haitoshi, kapime DNAYah, ninae
Kuuna wanaume wa ajabu kweri kweri,kuna binti kadumu kwenye ndoa miaka 8 bila mtoto hadi mwanamume akamfukuza kuwa ni tasa,aliporudi nyumbani nikaanza kumfuatilia akawa ameingia kwenye 18,mara moja baada ya mwezi ananiambia haoni siku zake,kwenda kupima akabainika kuwa na ujauzito,amejifungua sasa mapachaKwanini mwanamke?? We una mtoto au watoto tayari????