Msaada: Nikiweka TBC 1 Mwanangu analia sana

Msaada: Nikiweka TBC 1 Mwanangu analia sana

we ulikua shangaz yake sio??
Naona umejiunga na kutukana kuwa na busara japo kidogo na hakuna mtu asiejua kutukana ni busara na mazingira uliyokulia na kuishi ndio unaweza kumtukana kila mtu sisi wenzio Veterani katika maisha kutukana ni mwiko ingawaje maeneo tulikua ni matata sana..
 
Duh! kuna watu mnapenda sifa! kasheshe hii
 
<<< huyo ni wa kimataifa HATA Rais Mwenyewe HAIANGALII TBC yeye na CLAUDS tu>>
 
Habari wanabodi, naombeni mnishauri chakufanya maana nikiweka TBC 1 mwanangu analia sana, nikibadili channel anacheka... Mbaya zaidi hata tukiwa sehemu nyingine nje ya nyumbani akikuta wame tune TBC 1 analia huku ananyoosha mkono kuelekea kwenye TV mpaka mbadilishe channel. Dogo ana miaka 2 kasoro miezi 3.
Nashindwa kuangalia kipindi cha maswali na majibu nifanyeje?
Acha kumlisha mtoto chuki, kwenye ukubwa wake hao wanaouliza hobby hawatokuwepo!!
 
Habari wanabodi, naombeni mnishauri chakufanya maana nikiweka TBC 1 mwanangu analia sana, nikibadili channel anacheka... Mbaya zaidi hata tukiwa sehemu nyingine nje ya nyumbani akikuta wame tune TBC 1 analia huku ananyoosha mkono kuelekea kwenye TV mpaka mbadilishe channel. Dogo ana miaka 2 kasoro miezi 3.
Nashindwa kuangalia kipindi cha maswali na majibu nifanyeje?
Embu jaribu kumuwekea xxx video uone, akicheka basi ujue tuu huyo ni tatixo, ukimaliza hapo embu jirekodi video hafu muwekee akilia basi kacheki DNA[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna Siku Alimuona BASHITE Akivamia Clouds Ndio Maana Kila Akikumbuka Channel Anaogopa"
 
Habari wanabodi, naombeni mnishauri chakufanya maana nikiweka TBC 1 mwanangu analia sana, nikibadili channel anacheka... Mbaya zaidi hata tukiwa sehemu nyingine nje ya nyumbani akikuta wame tune TBC 1 analia huku ananyoosha mkono kuelekea kwenye TV mpaka mbadilishe channel. Dogo ana miaka 2 kasoro miezi 3.
Nashindwa kuangalia kipindi cha maswali na majibu nifanyeje?
Amezoea tv za picha zile za vichupi muwekee huko aanhalie nusu uchi atanyamaza tu maana ndiyo zenu.
 
Back
Top Bottom