Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Report ikoje, na wamekushauri vipi?nipo hospital mkuu, report ya MRI ndo imenichanganya, hope tapona
Amen, asante sana mkuu
Pole sana, I can feel you!asante mkuu, naomba Mungu nirudi kuwa sawa, mazoezi nafanyiwa isipokua huu mkono wa kulia haufanyi chochote hata vidole havifanyi kitu, hivo ni kazi sana, imagine naogeshwa cas cwezi jiogesha, dah is painful kiukweli, nipone tu
Unatumia makalio kujibu swaliAkili huna, hili si swali la kuuliza. Kuna namna nyingi za kuandika hata kama huna mikono na miguu yote.
Ustaarabu ni kitu Cha bure mkuu...tofautisha mkono na mikonoUmewezaje kuandika text humu kama mkono haufanyi kazi
Omba umalize mwaka vyema mkuuUnatumia makalio kujibu swali
Amen kiongozi, hope Mungu ataniponya,Pole sana, I can feel you!
Mwenyezi Mungu akupambanie uweze kurudi kwenye hali yako ya kawaida.
nimeupdate hapo juu mkuu, report ni mishipa ya fahamu ya mkono ibqyofika kichwan ndo inashida accordinfmg to MRI report, so dr wanakuja sio nda watuambie wameamua aje, if ni operation wafanye au wafanye nini, hooe tapona, vyovyote tu wakiamua ni sawa ilimradi niponeReport ikoje, na wamekushauri vipi ?
yes ndio wanashughulikia , nae anakuja sio muda mrefu hapa hospital
natumia left hand mkuu angalau wenyewe naweza shika hata cm au kijiko japo nau utahitaji nazoezi ukae sawa cas hauwez kunyooka kabisa , umenyooka kidogo sana, so ni mazoezi tuUmewezaje kuandika text humu kama mkono haufanyi kazi
asante sana mkuuPole sana mkuu...utapona
Amen mkuu, Mungu akaniponye,, im tiredKama kweli uligongwa na treni mkuu shukuru sana Mungu ni mzima aisee , japo Mungu atakurudisha katika hali Fulani itakayokuwezesha kuishi
Kwanini husomi habari kamili uelewe kwanza ndipo utoe ushauri?Report ikoje, na wamekushauri vipi ?
Alikuwa hajaandika, apo amefanya update baada ya kumuuliza.Kwanini mna husomi habari kamili uelewe kwanza ndipo utoe ushauri?
MRI imesema kuna mifupa kwenye shingo yake imeibana misuli ya mkono wa kulia na kupelekea mishipa hiyo isipate wala kupeleka taarifa zozote kwenye ubongo, yani maji, damu na hewa (blood circulation) haifanyi kazi inavyotakiwa.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Aende hospitali wakati yuko hospitali tangia March?!🤣🤣🤣😄Nenda hospitali huko huko utapata tiba.
Unatumia makalio kujibu swali
Ndio, humu miyeyusho tuAende hospitali wakati yuko hospitali tangia March?![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1]