Msaada: Nilipata ajali mkono wa kulia haufanyi kazi japo nafeel

Msaada: Nilipata ajali mkono wa kulia haufanyi kazi japo nafeel

Kwanza ningependa umshukuru Mungu kwa kuendelea kukupigania na kukupa nafasi ya uhai ambao ni kitu cha thamani sana kwako......

Lakini pia lazima tujue kuwa sisi wanadamu hapa Duniani mitihani ni sehemu ya maisha yetu......kwa kuwa maana ya maisha ni muunganiko wa shida,raha na misukosuko ya kila aina......hivyo tunavyokutwa na majambo yawe mazuri au mabaya utulivu unahitajika wa nafsi ,mwili na akili...........

Tunajua kuwa unapitia magumu kibinadamu kwa kuwa hali hiyo imepelekea kusimama kwa mambo yako mengi ya kimaisha lakini jambo la msingi kwa sasa ni uzima wako tu.......

Kitu ninachokuhusia kwa sasa usipanik bali unatakiwa utulie huku ukifuata ushauri na maelekezo ya wataalamu wanaokutibu au kukuhudumia...........

Lipokee tatizo kwa moyo mkunjufu huku ukiangalia namna njema na Bora ya kulitatua....... kwenye kulitatua kuwa na msimamo usiyumbe yumbe kwani kutokuwa na msimamo kunakufanya kuwa fursa kwa wajasiliamali wa dawa waliojaa mitandaoni...........

Naamini tatizo lako sio kubwa na Mungu atakuponya............
Amen mkuu, asante sana kwa ushauru huu mzuri, mungu anisimamie
 
Pole sana mkuu! Hiyo mishipa ya fahamu ni shida sana kwa kweli, ingawa mimi siyo dr ila kuna dogo wakati wa kuzaliwa alikuwa mkubwa sana, so kutoka haikuwa rahisi na operation haikuwa option alipata injury ya mkono ambapo baada ya kusoma sana online pia nilitambua inaitwa "brachial plexus injury", pia huwapata watu wazima wakipata ajali ambayo inahusisha sehemu za shingo, bega au kwapa. Jaribu kusoma online kupata taarifa zaidi. Pole mkuu
 
Pole sana mkuu! Hiyo mishipa ya fahamu ni shida sana kwa kweli, ingawa mimi siyo dr ila kuna dogo wakati wa kuzaliwa alikuwa mkubwa sana, so kutoka haikuwa rahisi na operation haikuwa option alipata injury ya mkono ambapo baada ya kusoma sana online pia nilitambua inaitwa "brachial plexus injury", pia huwapata watu wazima wakipata ajali ambayo inahusisha sehemu za shingo, bega au kwapa. Jaribu kusoma online kupata taarifa zaidi. Pole mkuu
my God😥 nmeona mkuu, nmesome wikipedia, dah guys nipone aisee, inatisha, hadi nmetetemeka
 
Wakuu habari, kama mmeona sikuwa active hapa online, hata kwenye simu kwa wale mliokuwa na my contacts since March.

Nitaelezea one day ilikuaje but kwa wale mnaofatilia habari mtakuwa mliona this year March ilitokea ajali mbaya sana ya treni ya Tazara, mtu aliyegongwa it was me, na nilikuwa nimeshuka tu kwenye bajaji niongee na simu kumbe niko relini.

Anyway tuyaache hayo nitaelezea next time. Sasa kuna jambo nataka mnisaidie ushauri au tiba, najua humu kuna madr bingwa pia, mkono wangu wa kulia, nilipopona mwezi wa 6 nimerudi home nikagundua mkono mmoja haufunction, nikajua maybe cas naumwa utakaa, sawa after sometime, but haukukaa sawa na ukanikunja, siwezi hata kushika kitu cas hata vidole havifanyi kazi, hospital wamecheki nmefanyiwa MRI, wameona tatizo ni moja tu, mishipa ya fahamu kwenye mikono ndio inashida, niko hospital nmechoka wacha nilale tamalizia kesho, i need help.

Namalizia sasa

Wanecheck MRI report mifupa yote iko sawa na mazoezi tu takaa sawa, but wameona tatizo ni mishipa ya fahamu inayopita mkononi ndio inashida haipeleki taarifa kwenye ubongo that why vidole havifunction, na tatizo ni kwenye shingo mifupa ya shingo imeibana hiyo mishipa ya fahamu ya right hand ndo mana taarifa hazifiki kichwani na wanakutena leo jopp la madaktari wadiscuss hiyo report na wadecide kana ni operation au wafanye niu cas wanasema issue zinazohusisha nerves za fahamu ni delicate kidogo, huitaji umakini mkubwa.

Kwenu wana JF, najua madoctor mmo humu, tatizo hili linaweza tibika? Sababu nimechoka wakuu, nimekaa hospital since March seriously.

Pia kama kuna tiba hata huko mitaani za mifupa cas haina shida mifupa nahitaji tu mazoezi but jana naweza pata hata dawa nzuri na kuchua na mazoezi tafarijika sana, najua kuna watu nnje huko wanaweza kusolve hata hili la mishipa ya mkononi na mkono uanze kufunctiion, nisaidieni wakuu, ushauri wowote napokea, yani mda huu mi wakuogeshwa kweli? Dah help me.

Ngoja nione madr watasmua nini tawapa mrejesho, please maombi yenu ni muhimu, sijawahi dhani naweza fkia hali hii one day, its so sad😥
Hii ni theory yangu.
Kwanza hiyo Hali ni aina ya paralysis, na kama inavyojulikana Hali hiyo hutokea Kwa sababu mbalimbali.
Ajali ikiwa ni sababu Kuu basi kwako na pia tukiangalia undani wake ambao ni kuwa paralysis huchangiwa na mambo makubwa mawili upungufu wa madini calcium/organic calcium ambayo hupelekea harden of arteries/mishipa ya damu kuminywa na kufanya mzunguko wa damu kutofanyika vizuri ktk maeneo mbalimbali ya mwili ,ndio maana wengine hupata stroke au kutohisi seheme ya kiungo ktk mwili.
Baada ya kujua Hilo basi ni lazima tufaute njia za kurudisha hiyo calcium na pia fanya damu iwe nyepesi/blood thinning Ili kuwezesha damu kusafiri vizuri.
Mimi ni muhuburi wa dawa Halisi /Naturapath hivyo.nitashauri baadhi ya mambo uyafanye ,
Tafuta capscum/cayenne pepper/pilipili (unga wake) tumia ktk maji ya moto mara nyingi uwezavyo hata mara 4 Kwa siku.
Cayenne Ina dawa inayoitwa capscin ambayo ni maalum Kwa blood thinning kama vile aspirin na pia hubalance mapigo ya moyo Kwa waliyo chini kupanda na yaliyo juu kushuka ,so ni perfect Kwa aina mbili za blood pressure pia.
Calcium ambayo hufanya arteries mishipa kusinyaa ni sehemu ya matibabu Yako na hii ni vizuri iwe katika organic form na mmea wenye hiyo Kwa wingi ni Comfrey.
So ukipata chai yenye majani ya comfrey na cayenne pepper hizo ni Tiba tosha Kwa maswala yote yanayo husiana na paralysis.
Zaidi unaweza kufanya dawa ya kuchua huo mkono Kwa kutumia hiyo cayenne na mafuta ya nyonyo/castor oil ambayo hupenye haraka katika nyama kufikia mishipa ya damu.,hii SI muhimu sana kama ila support ya hiyo Tiba ya juu.
Good luck bro.
 
Asante mkuu, naomba Mungu nirudi kuwa sawa, mazoezi nafanyiwa isipokuwa huu mkono wa kulia haufanyi chochote hata vidole havifanyi kitu, hivyo ni kazi sana, imagine naogeshwa cas siwezi jiogesha, dah is painful kiukweli, nipone tu
Jipe moyo mkuu utapona tu. Issues za nerves huwanzinachukua muda mrefu sana kurudi katika hali yake. Uko kospitali gani hiyo mkuu? Kama utakuwa hizi hospitali zetu kubwa hizi onana na physiotherapist wa hapo huwa wana mitambo ya kustua nerves wanakuwa wanakufanyisha mazoezi kila siku kwa muda kama mwezi hivi. Kijana wangu naye alikuwa na shida ya mgongo alikuwa hawezi kukaa karibia kama mwezi hivi akapewa ratiba ya mazoezi hayo. Muda mfupi akapata nafuu sana!
 
wakuu habari zenu.
Dah nilipewa majib juzi sema nilikua stressed kiasi hata skuingia online😩

nilikutana na docter bingwa wa mishipa ya fahamu na mifupa, kaniambia wamefanya vipimo vyote , shida ni mbili tu, mifupa iko ok so inahitaji mazoezi tu ya kutosha itakaa sawa ba kunyooka tena japo uvumilivu muhimu cas inahitaji muda kidogo😢.
Pili ni mishipa ya fahamu ya right hand ndio imepata hitilafu, wanfeweza suggest operation but operation sio solution sahihi, hiyo nerves kupona yenyewe taratibu so it depends, inaweza chukua,4 weeks, or miezi 3, 6 au hata mwaka😢 it depends, so ameniandikia dawa za kutumia ili kupunguza pain ya mifupa ya mikono, kuondoa ganzi nk , so ameaisitiza kuwa mtulivu na kuzngatia nazoezi tu.

Wakuu naskitika sana, yani sjui tapona lini,,yani kweli my life iishie hivi kweli? bora ajari ingeniua nmeumia sana

Japo kuna doc mmama alisema kijana issue,za mishipa ni,comppicated kiasi hivo nijaribu pia watu wa dawa za qsili watu hua wanapona hata huko cas ameona watu wakiaaidiwa kutibiwa mifupa, mishipa ya fahamu nk.

Wakuu nisaidini please ntumie dawa gani za asili kusaidia, pengine unafahamu mtu ambae husaidia hivi vitu nielekeze mkuu, cas at least nijaribu tu maybe ztasaidia, nisaidieni, naumia sana😩
 
Pole sana

Nikweli hapo kweli ishu ni taarifa hazifiki.

Ninae ndugu yangu ana shida kama hiyo, japokua yeye hakupata ajali yoyote, ila ana ganzi mikononi hawezi kushika kitu, muda mwingine hata akiumia hajui kama kaumia mkononi mpaka aone damu ndio anashtuka.

Vipimo vilionyesha mishipa imebamwa kwenye upande wa shingoni kwa nyuma, pendekezo la madaktari bingwa ilikua ni upasuaji kuipa nafasi mishipa iliyobanwa.

Changamoto nyingine ni maumivu anapata kwenye mikono, inauma tu yenyewe.

Nadhani case zenu zinafanana kwa kiasi fulani.
Anaendelea aje hadi sasa mkuu? angalau nijue ameweza vipi kua ok
 
Jipe moyo mkuu utapona tu. Issues za nerves huwanzinachukua muda mrefu sana kurudi katika hali yake. Uko kospitali gani hiyo mkuu? Kama utakuwa hizi hospitali zetu kubwa hizi onana na physiotherapist wa hapo huwa wana mitambo ya kustua nerves wanakuwa wanakufanyisha mazoezi kila siku kwa muda kama mwezi hivi. Kijana wangu naye alikuwa na shida ya mgongo alikuwa hawezi kukaa karibia kama mwezi hivi akapewa ratiba ya mazoezi hayo. Muda mfupi akapata nafuu sana!
asante, wacha nimuone aniassist
 
wakuu habari zenu.
Dah nilipewa majib juzi sema nilikua stressed kiasi hata skuingia online😩

nilikutana na docter bingwa wa mishipa ya fahamu na mifupa, kaniambia wamefanya vipimo vyote , shida ni mbili tu, mifupa iko ok so inahitaji mazoezi tu ya kutosha itakaa sawa ba kunyooka tena japo uvumilivu muhimu cas inahitaji muda kidogo😢.
Pili ni mishipa ya fahamu ya right hand ndio imepata hitilafu, wanfeweza suggest operation but operation sio solution sahihi, hiyo nerves kupona yenyewe taratibu so it depends, inaweza chukua,4 weeks, or miezi 3, 6 au hata mwaka😢 it depends, so ameniandikia dawa za kutumia ili kupunguza pain ya mifupa ya mikono, kuondoa ganzi nk , so ameaisitiza kuwa mtulivu na kuzngatia nazoezi tu.

Wakuu naskitika sana, yani sjui tapona lini,,yani kweli my life iishie hivi kweli? bora ajari ingeniua nmeumia sana

Japo kuna doc mmama alisema kijana issue,za mishipa ni,comppicated kiasi hivo nijaribu pia watu wa dawa za qsili watu hua wanapona hata huko cas ameona watu wakiaaidiwa kutibiwa mifupa, mishipa ya fahamu nk.

Wakuu nisaidini please ntumie dawa gani za asili kusaidia, pengine unafahamu mtu ambae husaidia hivi vitu nielekeze mkuu, cas at least nijaribu tu maybe ztasaidia, nisaidieni, naumia sana😩
Pole sana mkuu.

Endelea kutumia hizo dawa unazopewa hapo hosipitali kwa matumaini na imani ya kupona wakati unatafuta dawa mbadala.

Kumbuka; hofu huumiza kuliko ugonjwa wenyewe.
 
Wakuu habari, kama mmeona sikuwa active hapa online, hata kwenye simu kwa wale mliokuwa na my contacts since March.

Nitaelezea one day ilikuaje but kwa wale mnaofatilia habari mtakuwa mliona this year March ilitokea ajali mbaya sana ya treni ya Tazara, mtu aliyegongwa it was me, na nilikuwa nimeshuka tu kwenye bajaji niongee na simu kumbe niko relini.

Anyway tuyaache hayo nitaelezea next time. Sasa kuna jambo nataka mnisaidie ushauri au tiba, najua humu kuna madr bingwa pia, mkono wangu wa kulia, nilipopona mwezi wa 6 nimerudi home nikagundua mkono mmoja haufunction, nikajua maybe cas naumwa utakaa, sawa after sometime, but haukukaa sawa na ukanikunja, siwezi hata kushika kitu cas hata vidole havifanyi kazi, hospital wamecheki nmefanyiwa MRI, wameona tatizo ni moja tu, mishipa ya fahamu kwenye mikono ndio inashida, niko hospital nmechoka wacha nilale tamalizia kesho, i need help.

Namalizia sasa

Wanecheck MRI report mifupa yote iko sawa na mazoezi tu takaa sawa, but wameona tatizo ni mishipa ya fahamu inayopita mkononi ndio inashida haipeleki taarifa kwenye ubongo that why vidole havifunction, na tatizo ni kwenye shingo mifupa ya shingo imeibana hiyo mishipa ya fahamu ya right hand ndo mana taarifa hazifiki kichwani na wanakutena leo jopp la madaktari wadiscuss hiyo report na wadecide kana ni operation au wafanye niu cas wanasema issue zinazohusisha nerves za fahamu ni delicate kidogo, huitaji umakini mkubwa.

Kwenu wana JF, najua madoctor mmo humu, tatizo hili linaweza tibika? Sababu nimechoka wakuu, nimekaa hospital since March seriously.

Pia kama kuna tiba hata huko mitaani za mifupa cas haina shida mifupa nahitaji tu mazoezi but jana naweza pata hata dawa nzuri na kuchua na mazoezi tafarijika sana, najua kuna watu nnje huko wanaweza kusolve hata hili la mishipa ya mkononi na mkono uanze kufunctiion, nisaidieni wakuu, ushauri wowote napokea, yani mda huu mi wakuogeshwa kweli? Dah help me.

Ngoja nione madr watasmua nini tawapa mrejesho, please maombi yenu ni muhimu, sijawahi dhani naweza fkia hali hii one day, its so sad😥
Pole sana mnyakyusa wa IPinda. Tafuta kiungo fulani kinaitwa Star Anise, kinapatikana kwenye maduka ya dawa asilia au sokoni kwenye eneo wanakouza viungo vya chakula. Saga kwenye blender ya vitu vikavu, tumia kijiko kimoja cha chai level kwenye chai ya rangi au uji au juisi. Ukiwa na asali ni vizuri zaidi, kutwa mara tatu. Ni kiungo cha chakula hivyo huhitaji kwenda njia panda kutambika. Tumia bila kukata tamaa, kisha utatoa update hapa✌
 
Sijui pia umeumiaje ila huku niliko kuna wataalamu wa tiba za jadi huwa wanaunga mifupa iliyovunjika nimeshuhudia kabisa kijana aliyevunjika mguu kabisa Leo hii anacheza mpira tena
Wapi mzee ?maana nilishawahi kusikia ni sehemu inaitwa kibibino kwa wadigo...Nataka kujua na huko maana kwa jamaa alipelekwa mguu ulisagika alikuwa bodaboda alipona kabisa walimuunga ila ilikuwa mwaka 2013 -2014.
 
Wakuu habari, kama mmeona sikuwa active hapa online, hata kwenye simu kwa wale mliokuwa na my contacts since March.

Nitaelezea one day ilikuaje but kwa wale mnaofatilia habari mtakuwa mliona this year March ilitokea ajali mbaya sana ya treni ya Tazara, mtu aliyegongwa it was me, na nilikuwa nimeshuka tu kwenye bajaji niongee na simu kumbe niko relini.

Anyway tuyaache hayo nitaelezea next time. Sasa kuna jambo nataka mnisaidie ushauri au tiba, najua humu kuna madr bingwa pia, mkono wangu wa kulia, nilipopona mwezi wa 6 nimerudi home nikagundua mkono mmoja haufunction, nikajua maybe cas naumwa utakaa, sawa after sometime, but haukukaa sawa na ukanikunja, siwezi hata kushika kitu cas hata vidole havifanyi kazi, hospital wamecheki nmefanyiwa MRI, wameona tatizo ni moja tu, mishipa ya fahamu kwenye mikono ndio inashida, niko hospital nmechoka wacha nilale tamalizia kesho, i need help.

Namalizia sasa

Wanecheck MRI report mifupa yote iko sawa na mazoezi tu takaa sawa, but wameona tatizo ni mishipa ya fahamu inayopita mkononi ndio inashida haipeleki taarifa kwenye ubongo that why vidole havifunction, na tatizo ni kwenye shingo mifupa ya shingo imeibana hiyo mishipa ya fahamu ya right hand ndo mana taarifa hazifiki kichwani na wanakutena leo jopp la madaktari wadiscuss hiyo report na wadecide kana ni operation au wafanye niu cas wanasema issue zinazohusisha nerves za fahamu ni delicate kidogo, huitaji umakini mkubwa.

Kwenu wana JF, najua madoctor mmo humu, tatizo hili linaweza tibika? Sababu nimechoka wakuu, nimekaa hospital since March seriously.

Pia kama kuna tiba hata huko mitaani za mifupa cas haina shida mifupa nahitaji tu mazoezi but jana naweza pata hata dawa nzuri na kuchua na mazoezi tafarijika sana, najua kuna watu nnje huko wanaweza kusolve hata hili la mishipa ya mkononi na mkono uanze kufunctiion, nisaidieni wakuu, ushauri wowote napokea, yani mda huu mi wakuogeshwa kweli? Dah help me.

Ngoja nione madr watasmua nini tawapa mrejesho, please maombi yenu ni muhimu, sijawahi dhani naweza fkia hali hii one day, its so sad😥
Hujui kiswahili vizuri? Unachanganya lugha ili iweje? Au ugonjwa wako hautaki kiswahili?
 
Umewezaje kuandika text humu kama mkono haufanyi kazi
Hajapoteza kumbukumbu bali ni mkono mmoja wa kulia ndio umesizi.

Halafu hatumii kalamu kuandika humu bali ana bofya herufi moja moja kwa kutumia mkono wa kushoto kupitia dole gumba. Ila hii inahitaji simu isiwe kubwa sana.

Kwa taarifa tu, hii komenti yangu nimeiandika kwa mkono mmoja wa kushoto huku simu nikiwa nimeishika kwa vidole vinne na dole gumba ndilo linabofya.
 
Wakuu habari, kama mmeona sikuwa active hapa online, hata kwenye simu kwa wale mliokuwa na my contacts since March.

Nitaelezea one day ilikuaje but kwa wale mnaofatilia habari mtakuwa mliona this year March ilitokea ajali mbaya sana ya treni ya Tazara, mtu aliyegongwa it was me, na nilikuwa nimeshuka tu kwenye bajaji niongee na simu kumbe niko relini.

Anyway tuyaache hayo nitaelezea next time. Sasa kuna jambo nataka mnisaidie ushauri au tiba, najua humu kuna madr bingwa pia, mkono wangu wa kulia, nilipopona mwezi wa 6 nimerudi home nikagundua mkono mmoja haufunction, nikajua maybe cas naumwa utakaa, sawa after sometime, but haukukaa sawa na ukanikunja, siwezi hata kushika kitu cas hata vidole havifanyi kazi, hospital wamecheki nmefanyiwa MRI, wameona tatizo ni moja tu, mishipa ya fahamu kwenye mikono ndio inashida, niko hospital nmechoka wacha nilale tamalizia kesho, i need help.

Namalizia sasa

Wanecheck MRI report mifupa yote iko sawa na mazoezi tu takaa sawa, but wameona tatizo ni mishipa ya fahamu inayopita mkononi ndio inashida haipeleki taarifa kwenye ubongo that why vidole havifunction, na tatizo ni kwenye shingo mifupa ya shingo imeibana hiyo mishipa ya fahamu ya right hand ndo mana taarifa hazifiki kichwani na wanakutena leo jopp la madaktari wadiscuss hiyo report na wadecide kana ni operation au wafanye niu cas wanasema issue zinazohusisha nerves za fahamu ni delicate kidogo, huitaji umakini mkubwa.

Kwenu wana JF, najua madoctor mmo humu, tatizo hili linaweza tibika? Sababu nimechoka wakuu, nimekaa hospital since March seriously.

Pia kama kuna tiba hata huko mitaani za mifupa cas haina shida mifupa nahitaji tu mazoezi but jana naweza pata hata dawa nzuri na kuchua na mazoezi tafarijika sana, najua kuna watu nnje huko wanaweza kusolve hata hili la mishipa ya mkononi na mkono uanze kufunctiion, nisaidieni wakuu, ushauri wowote napokea, yani mda huu mi wakuogeshwa kweli? Dah help me.

Ngoja nione madr watasmua nini tawapa mrejesho, please maombi yenu ni muhimu, sijawahi dhani naweza fkia hali hii one day, its so sad😥
Pole sana mkuu jitahidi kusikiliza ushauri wa madaktari na kufanya mazoezi na kuomba Mungu utakaa sawa tu
 
Back
Top Bottom