Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Waganga wa tiba za asili (Herbalists) wanasaidia sana kwenye inshu za mifupa.Sijui pia umeumiaje ila huku niliko Kuna wataalamu wa tiba za jadi huwa wanaunga mifupa iliyovunjika nimeshuhudia kabisa kijana aliyevunjika mguu kabisa Leo hii anacheza mpira tena
shukrani mkuu, mifupa iko ok ni ya kunyoosha yes, hivyo nikitoja huku takudm uniconnect nije huko uliko wanishulikie piaSijui pia umeumiaje ila huku niliko kuna wataalamu wa tiba za jadi huwa wanaunga mifupa iliyovunjika nimeshuhudia kabisa kijana aliyevunjika mguu kabisa Leo hii anacheza mpira tena
kabisa, kila mtu haamini kama hata niliweza kuamka, cas niliwekewa oxygen nachine hata faham sina, nakuja kufungua macho madocter wanashangaa cas nmekaa 3 weeks kana nmekufa hata nacho sifumbui so ni Mungu tuKama kweli uligongwa na treni mkuu shukuru sana Mungu ni mzima aisee , japo Mungu atakurudisha katika hali Fulani itakayokuwezesha kuishi
Nimekurupuka ilihali nimekueleza kwa usahihi alichokiandika? umepaniki vizuri sana [emoji1]Alikuwa hajaandika, apo amefanya update baada ya kumuuliza.
Umekurupuka
asante sana kiongozi, tafanya hivo kadri niwezavyo cas cna namna ilimradi niponePole Mkuu,
Kama ulivunjika basi jua utachukua muda sana kuanza kufunction.
Kwa uzoefu wangu,ukitoa Ile POP yaani unaanza upya kabisa kuufanyisha kazi.
Sometimes unakuta hata pen huwezi kushika..ni normal.
Baada ya miezi kadhaa kupita utaanza taratibu kuinua vitu vyepesi.
Kikubwa ufanye mazoezi.
Hata ukiahika jag tupu likadondoka,wewe shika tena na tena,usiache.
asante, takudm mkuu unipe numberKuna mpemba huku kigamboni anatibu watu wenye stroke nk
Wapo wawili naomba unitumie namba yako PM nikutumie uwasiliane nao bila malipo
Nina imani utapona
sawa takudm kuu, shukranChifu ukiwa na nafasi nicheki private message "PM" nikuunganishe na Herbalist.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Tiba zipo ila unaweza kupona au iWakuu habari, kama mmeona sikuwa active hapa online, hata kwenye simu kwa wale mliokuwa na my contacts since March.
Nitaelezea one day ilikuaje but kwa wale mnaofatilia habari mtakuwa mliona this year March ilitokea ajali mbaya sana ya treni ya Tazara, mtu aliyegongwa it was me, na nilikuwa nimeshuka tu kwenye bajaji niongee na simu kumbe niko relini.
Anyway tuyaache hayo nitaelezea next time. Sasa kuna jambo nataka mnisaidie ushauri au tiba, najua humu kuna madr bingwa pia, mkono wangu wa kulia, nilipopona mwezi wa 6 nimerudi home nikagundua mkono mmoja haufunction, nikajua maybe cas naumwa utakaa, sawa after sometime, but haukukaa sawa na ukanikunja, siwezi hata kushika kitu cas hata vidole havifanyi kazi, hospital wamecheki nmefanyiwa MRI, wameona tatizo ni moja tu, mishipa ya fahamu kwenye mikono ndio inashida, niko hospital nmechoka wacha nilale tamalizia kesho, i need help.
Namalizia sasa
Wanecheck MRI report mifupa yote iko sawa na mazoezi tu takaa sawa, but wameona tatizo ni mishipa ya fahamu inayopita mkononi ndio inashida haipeleki taarifa kwenye ubongo that why vidole havifunction, na tatizo ni kwenye shingo mifupa ya shingo imeibana hiyo mishipa ya fahamu ya right hand ndo mana taarifa hazifiki kichwani na wanakutena leo jopp la madaktari wadiscuss hiyo report na wadecide kana ni operation au wafanye niu cas wanasema issue zinazohusisha nerves za fahamu ni delicate kidogo, huitaji umakini mkubwa.
Kwenu wana JF, najua madoctor mmo humu, tatizo hili linaweza tibika? Sababu nimechoka wakuu, nimekaa hospital since March seriously.
Pia kama kuna tiba hata huko mitaani za mifupa cas haina shida mifupa nahitaji tu mazoezi but jana naweza pata hata dawa nzuri na kuchua na mazoezi tafarijika sana, najua kuna watu nnje huko wanaweza kusolve hata hili la mishipa ya mkononi na mkono uanze kufunctiion, nisaidieni wakuu, ushauri wowote napokea, yani mda huu mi wakuogeshwa kweli? Dah help me.
Ngoja nione madr watasmua nini tawapa mrejesho, please maombi yenu ni muhimu, sijawahi dhani naweza fkia hali hii one day, its so sad😥
Shukuru Mungu hata unatembeaasante sana kiongozi, tafanya hivo kadri niwezavyo cas cna namna ilimradi nipone
Kuna watu mnakaza fuvu, swala la wewe kunieleza kiufasaha haihusiani na kile ulicho comment kwangu.Nimekurupuka ilihali nimekueleza kwa usahihi alichokiandika? umepaniki vizuri sana [emoji1]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app