The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,993
- 2,635
Ongezea na sigaraHabarini za mchana,
Wakuu mimi huwa situmii pombe, ni juice na soda tu na soda yangu pendwa ni Pepsi.
Kila siku huwa nakunywa Pepsi tena napenda ikiwa baridi sana. Nilianza kunywa moja kwa siku, ikaja mbili ikaja 3 now nakunywa nne kwa siku; mbili mchana na mbili usiku. Hizo mbili nakunywa kwa mpigo.
Nifanyeje ili kuacha? Pia Mimi sio mpenz wa chai asubuhi, niko radhi nile vitafunwa vikavu au na maji au soda, na usiku siwezi kulala bila kunywa maji baridi-huwa nalala na jug la maji pembeni.
Nikinywa maji baridi akili huwa inarelax, nalala kwa haraka tofaut na nisipokunywa maji. Nifanyeje?
Hicho kinaweza kuwa kiashiria cha tatizo,check na mtoa huduma ya afya kwa ushauri na vipimo.Habarini za mchana,
Wakuu mimi huwa situmii pombe, ni juice na soda tu na soda yangu pendwa ni Pepsi.
Kila siku huwa nakunywa Pepsi tena napenda ikiwa baridi sana. Nilianza kunywa moja kwa siku, ikaja mbili ikaja 3 now nakunywa nne kwa siku; mbili mchana na mbili usiku. Hizo mbili nakunywa kwa mpigo.
Nifanyeje ili kuacha? Pia Mimi sio mpenz wa chai asubuhi, niko radhi nile vitafunwa vikavu au na maji au soda, na usiku siwezi kulala bila kunywa maji baridi-huwa nalala na jug la maji pembeni.
Nikinywa maji baridi akili huwa inarelax, nalala kwa haraka tofaut na nisipokunywa maji. Nifanyeje?
Pepsi na coca Zina kilevi cafein,kinasababisha adiction inabamba kama kahawa Anza kuacha taratibu usijepata kisukariHabarini za mchana,
Wakuu mimi huwa situmii pombe, ni juice na soda tu na soda yangu pendwa ni Pepsi.
Kila siku huwa nakunywa Pepsi tena napenda ikiwa baridi sana. Nilianza kunywa moja kwa siku, ikaja mbili ikaja 3 now nakunywa nne kwa siku; mbili mchana na mbili usiku. Hizo mbili nakunywa kwa mpigo.
Nifanyeje ili kuacha? Pia Mimi sio mpenz wa chai asubuhi, niko radhi nile vitafunwa vikavu au na maji au soda, na usiku siwezi kulala bila kunywa maji baridi-huwa nalala na jug la maji pembeni.
Nikinywa maji baridi akili huwa inarelax, nalala kwa haraka tofaut na nisipokunywa maji. Nifanyeje?
inaanza na wewe ndai yako, ukisema utaweza kuaca utawezaHua natengeneza ila Pepsi Iko tofaut na juice
Kisha tuambia halafu ukija Mihimbili ... Katuelekeza mambo mengi tunamsikiliza tuna mwachia, anatusubiriNgoja siku uumwe kipepsi Pepsi upelekwe muhimbili walayhi janabi atakufinya makalioni mpaka uone muhimbili chungu
Ja
Jana nimekunywa 4 usiku mzima sikulala mpaka asubuhi
Sasa hapo uimimine kwenye glass yenye barafu...huwa inafoka hivi aisee hii kitu kuiacha ni kazi sana.Aisee,ila kama Pepsi baridi sikukulaumu
Ndo nipo kuipiga na baridi hili la uyole😋Sasa hapo uimimine kwenye glass yenye barafu...huwa inafoka hivi aisee hii kitu kuiacha ni kazi sana.
Kuna kipindi naweza kuacha Pepsi na soda kwa jumla mwezi mzima. Then naendelea huwa sizidishi moja.
Utamu unagharimuKama ya baridi sikulaumu. Ile kitu tamu
Hamia kwenye maji unapopata kiu.Habarini za mchana,
Wakuu mimi huwa situmii pombe, ni juice na soda tu na soda yangu pendwa ni Pepsi.
Kila siku huwa nakunywa Pepsi tena napenda ikiwa baridi sana. Nilianza kunywa moja kwa siku, ikaja mbili ikaja 3 now nakunywa nne kwa siku; mbili mchana na mbili usiku. Hizo mbili nakunywa kwa mpigo.
Nifanyeje ili kuacha? Pia Mimi sio mpenz wa chai asubuhi, niko radhi nile vitafunwa vikavu au na maji au soda, na usiku siwezi kulala bila kunywa maji baridi-huwa nalala na jug la maji pembeni.
Nikinywa maji baridi akili huwa inarelax, nalala kwa haraka tofaut na nisipokunywa maji. Nifanyeje?
Watu tunatofautiana! Sijawahi kuielewa Pepsi na Coca.Ndo nipo kuipiga na baridi hili la uyole😋
Hapana hapana,huninyweshi hizo soda aisee🤣🤣Watu tunatofautiana! Sijawahi kuielewa Pepsi na Coca.
Mimi soda zangu ni 7up, Sprite japo niliacha soda miaka 2 iliyopita.
Ikiwa ya baridi na hili jua si unaelewa lakini?😅Utakuwa obese wewe, pepsi nne kwa siku?
Tunasema kitaalamu upo Njiapanda tukikuacha utapotea....La msingi ni moja anza kuweka nia ya kuacha viwawishi vya aina yoyote vinakupelekea ww kuzidisha uraibu wa Pepsi mfano nyumbani ondoa kabisa vinywaji vya pepsi kwa mda fulani tabia ni kama mbegu ukiweka nia vzr utafanikiwaHabarini za mchana,
Wakuu mimi huwa situmii pombe, ni juice na soda tu na soda yangu pendwa ni Pepsi.
Kila siku huwa nakunywa Pepsi tena napenda ikiwa baridi sana. Nilianza kunywa moja kwa siku, ikaja mbili ikaja 3 now nakunywa nne kwa siku; mbili mchana na mbili usiku. Hizo mbili nakunywa kwa mpigo.
Nifanyeje ili kuacha? Pia Mimi sio mpenz wa chai asubuhi, niko radhi nile vitafunwa vikavu au na maji au soda, na usiku siwezi kulala bila kunywa maji baridi-huwa nalala na jug la maji pembeni.
Nikinywa maji baridi akili huwa inarelax, nalala kwa haraka tofaut na nisipokunywa maji. Nifanyeje?