Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,164
- 1,293
Kimbia kwenye vodashop iliyoribu nawe wataizuia hiyo pesa na itarudi kwako baada ya muda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa wanaotakiwa kukusaidia ni watu wa bank maan pesa imetoka kwao kwenda kwenye mpesa hivyo wenye uwezo wa kureverse muamala ni hao wa bankNdugu wanabodi,
Nimehamisha kimakosa fedha kutoka account ya benki kwenda M Pesa ya mtu lakini nikawa nimekosea. Nimepiga customer service ya benk kwa sasa wamefunga na nikipiga voda 100 imeishia kunipeleka Wassap.
Mkuu ukiwakosa kwenye 100 wafate DM KWENYE PAGE YAONahisi vodacom huduma kwa wateja kuna shida hawapokei simu kwa haraka.
Du! hii ni adhabu,hivi walisema hawawezi kurudisha kuwa pesa tena?Sintosahau siku nimekosea kutoa bank badala ya kupeleka MPesa nikapeleka kwenye airtime... Hadi leo natumia salio la airtime bila kupenda japo nimeuza kidogo kwa washkaji nikarudisha kama laki 2 tu
Benki hawawezi ku reverse muamala ambao tayari umesha cross kwenda kwenye mitandao,hapo ilikuwa Voda ndio waiblock hela isitoleweHapa wanaotakiwa kukusaidia ni watu wa bank maan pesa imetoka kwao kwenda kwenye mpesa hivyo wenye uwezo wa kureverse muamala ni hao wa bank
Unapotosha kwa faida ya nani mkuu? Unapokosea kutuma fedha hatua ya kwanza unapiga huduma kwa wateja mtandao uliotumiwa fedha watazuia muamala baada ya hapo unaweza kuamua kuwapigia fedha ilikotoka.Hapo majanga,kama ameishazitoa,Voda hawana msaada,inabidi umtafute huyo mtu uongee naye akurudishie.Niliwahi kumtumia mtu 76 k,baada ya Voda kushindwa kusaidia nikamtafuta akamipiga sound mwishowe alinirushia 26 k kwa taabu Sana. Nilikula hiyo hasara mpaka nikashiba.
Hawawezi na hiyo huduma haipo. Nikahangaika hadi kariakoo kwa vibanda vya vocha hamna anaehitaji wanasema bora ingekua airtime ya tigoDu! hii ni adhabu,hivi walisema hawawezi kurudisha kuwa pesa tena?
Aisee,hii ni mojawapo ya athari za teknolojiaHawawezi na hiyo huduma haipo. Nikahangaika hadi kariakoo kwa vibanda vya vocha hamna anaehitaji wanasema bora ingekua airtime ya tigo
Daaah pole sana aisee kuna viumbe humu duniani ni katili sana...Hapo majanga,kama ameishazitoa,Voda hawana msaada,inabidi umtafute huyo mtu uongee naye akurudishie.Niliwahi kumtumia mtu 76 k,baada ya Voda kushindwa kusaidia nikamtafuta akamipiga sound mwishowe alinirushia 26 k kwa taabu Sana. Nilikula hiyo hasara mpaka nikashiba.
Watu wa humu mna ubishi wa ajabu Sana,nmesema kilichotokea wewe unakuja na nadharia halafu unadai napotosha.Kwanza Mimi sikujua kama nimekosea nilikaa wiki nzima nikisubiri pesa irejeshwe nilipooona hairejei ndo nikapiga simu NBC wakaniambia nilikosea namba nikawaomba wanitumie hiyo namba.Nilikosea namba moja,kumpigia jamaa akasema alisubiri wiki nzima akawa hajapigiwa ikabidi aziingize kwenye kilimo huko Singida ,kulingana na alichonambia.Sasa hapo Mimi nimepotosha nini? Usiishi kwa habari za kusikia.Unapotosha kwa faida ya nani mkuu? Unapokosea kutuma fedha hatua ya kwanza unapiga huduma kwa wateja mtandao uliotumiwa fedha watazuia muamala baada ya hapo unaweza kuamua kuwapigia fedha ilikotoka.
Mtandao uliopokea fedha utazuia fedha mara moja baada ya kuridhika na maelezo yako.
Fedha itarejeshwa ndani ya masaa 72 ya kazi
Bank zinachochea watu kupoteza pesa0800 002 002
hii ndio namba yao,tatizo ukipiga ni kama wanajua unawamalizia hela zao bank.
niliishasubirishwa dkk 48[emoji3],fikiria umekosea kumtumia mtu laki 4 dkk 48 kama hajatoa nayeye ni mzembe tu.
lakini pia mitandao ya simu wawe na kawaida ya kusikiliza malalamiko,mtu amekosea kuingiza hela,unapiga kuwaeleza wanakwambia mwenye mamlaka ya kuzuia huduma za kipesa ni mwenye line mwenyewe,unapigwa na mtandao wanabariki.ingekuwa baada ya wewe kutoa malalamiko,basi kiasi tajwa kina fleeze hamna kutoa wala kuhamisha,mpaka mtoa taarifa alete taarifa mpya.