Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa we si umuulize mwenyewe au unaogopa atakudunda..?😂Sawa sasa yeye hana usafiri wowote imefikaje kwake
Alikuwa kwenye gari ya work mate wake seat ya abiria, work mate akampa hela amlipe pump attendant mkeo alipopewa risiti akadumbukiza kwa hand bag yake.Sawa sasa yeye hana usafiri wowote imefikaje kwake
JF wote tuna magari.. sasa wewe huna gari kujua unleaded ni kitu gani??Umesearch mkoba wa mke wako??? UNATAFUTA KUFA KWA PRESSURE WEWE.... atakuwa amelipia Lodge akaliwa mzigo.
Ipo siku utakuta condom zilizobaki huko kwenye mkoba boya wee... endelea kukagua mikoba ya kike...Jf wote tuna magari.. sasa wewe huna gari kujua unleaded ni kitu gani??
Usirudie kuropoka 😊
Means alikua amekaa kwenye gari la mtu siti ya mbele kushoto yeye ndiyo akapokea hiyo risiti coz pump ya mafuta always ipo kushoto.Sawa sasa yeye hana usafiri wowote imefikaje kwake
Hiyo risiti inaonyesha tarehe, muda, na namba ya simu ya hicho kituo cha mafuta..Naomba msaada juu ya hii risiti,,,Nimekuita kwenye mkoba wa mke wangu nimeumiza kichwa ila bado sijapata jibu sahihi naona tu TRA na hiyo Sheri naomba mnifumbue machoView attachment 2104693
Pengine za ofisiSawa sasa yeye hana usafiri wowote imefikaje kwake
Usimdodose sana bata..!Umesearch mkoba wa mke wako??? UNATAFUTA KUFA KWA PRESSURE WEWE.... atakuwa amelipia Lodge akaliwa mzigo.
Hahahaha[emoji23]Alikuwa kwenye gari ya work mate wake seat ya abiria, work mate akampa hela amlipe pump attendant mkeo alipopewa risiti akadumbukiza kwa hand bag yake.
Kasoro mimi tuu ndio sinaJf wote tuna magari.. sasa wewe huna gari kujua unleaded ni kitu gani??
Usirudie kuropoka [emoji4]
Ndoa haziendi hivyo, mke anatakiwa kuwa rafiki yako, hivyo vitu kama hivi unamuuliza tuu kama rafiki.Naomba msaada juu ya hii risiti,,,Nimekuita kwenye mkoba wa mke wangu nimeumiza kichwa ila bado sijapata jibu sahihi naona tu TRA na hiyo Sheri naomba mnifumbue machoView attachment 2104693
👏👏Ndoa haziendi hivyo , mke anatakiwa kuwa rafiki yako, hivyo vitu kama hivi unamuuliza tuu jama rafiki.