Farasi wa vita
Member
- Aug 26, 2021
- 53
- 99
Mkuu acha kupekua mkoba wa mke wako, hiyo ni tabia ya hovyo sana.Naomba msaada juu ya hii risiti,,,Nimekuita kwenye mkoba wa mke wangu nimeumiza kichwa ila bado sijapata jibu sahihi naona tu TRA na hiyo Sheri naomba mnifumbue machoView attachment 2104693