Msaada: Nimekuta risiti kwenye mkoba wa mke wangu, naomba kuitambua

Msaada: Nimekuta risiti kwenye mkoba wa mke wangu, naomba kuitambua

Ndoa haziendi hivyo , mke anatakiwa kuwa rafiki yako, hivyo vitu kama hivi unamuuliza tuu kama rafiki.
Unamuuliza baada ya kupekua mkoba wake bila ridhaa yake? Hapo moto lazima uwake ulikuwa unatafuta nini kwenye mkoba wake bila ruksa yake?

Kifupi huyo mume Bwege na haba akili za kuishi na mwanamke

Biblia imeagiza wazi kuwa enyi waume ishini na wake zenu kwa akili .Huyo mwanaume akili hana
Na mwanaume ukisikia ooh mimi sioi akili hana ya kuweza kuishi na mwanamke

Vitu private kama mkoba wa kike,simu na pochi ya mwanaume na simu yake vibaki private

Mwanaume alichofanya ni utoto na asirudie tena akome kabisa kama hakufunzwa arudi akafunzwe
 
Pole Mkuuu naona humu unaishia kukashfiwa tu.
Kwakuwa Risiti inajieleza wazi kwamba ni Afroil Mtwara. Nenda kwa Meneja na hiyo risiti uongee naye kirafiki akupitishe kwenye CCTV Camera utaona namba za gari alilopanda shemeji then utajiridhisha maaana Mji wa Mtwara siyo mkubwa kihivyo naamini utatambua hiyo gari ya nani hasa.
Usikubali maneno ya wakosaji kwamba usimchunguze mke. Mke lazima uishi nae ukimjua nje ndani mkuu endelea kupambana. Kikubwa usitangulize jazba
Afuatilie ili iweje kituo cha mafuta sio guest house .Huyo mwanaume mtata samahani kuna yule mwanamke alikuwa akitembea na bango kuwa anatafuta mume wa kumuoa akatokea wa kutokea mikoa hiyo ya kusini akatamka live kuwa hataki wanaume wa mikoa ya kusini hawafai kabisa kwenye ndoa.Labda huyo mwanaume mpekua mikoba atakuwa wa huko kusini
 
Alikuwa kwenye gari ya work mate wake seat ya abiria, work mate akampa hela amlipe pump attendant mkeo alipopewa risiti akadumbukiza kwa hand bag yake.
Highly coincidental but believable🤣🤣🤣🤣🤣
 
Naomba msaada juu ya hii risiti,,,Nimekuita kwenye mkoba wa mke wangu nimeumiza kichwa ila bado sijapata jibu sahihi naona tu TRA na hiyo Sheri naomba mnifumbue machoView attachment 2104693
Inawezekana toka serikali itangaze kamata kamata saa hiz wauzaji wanakusanya zile risit za sheli halafu ukinunua kitu wanakupa.usikute hiyo ni risiti ya kijora
 
Wewe na mkeo hamuaminiani ndio maana mnapekuana, very sad
Kibaka huyo mwanaume atakuwa huwa hadi anamwibia hela zake

Ana gubu mfano alute kuna milioni kwenye mkoba wakati mkewe mama wa nyumbani si atawasha moto wa hatari aweza jiua !!!

Vitu private vibaki private
 
Sawa sasa yeye hana usafiri wowote imefikaje kwake

Ni wapi anafanya kazi?

Je, ofisini kwao huwa hawafanyi kitu kinaitwa 'expenses claim au retirement' ikiwa ni kurejesha risiti za matumizi ili upewe pesa uliyotumia, hutumiwa na wafanyakazi waliosafiri na wengi hutumia risiti hizo za gas station kwa kuwa ni za TRA (tiketi ya basi haikubaliki)
 
Alikuwa kwenye gari ya work mate wake seat ya abiria, work mate akampa hela amlipe pump attendant mkeo alipopewa risiti akadumbukiza kwa hand bag yake.
It can be workmate OR soulmate
 
Mkuu, unauliza hiyo petrol station ilipo wakati inaonyesha ni Newala -Mtwara?
Nishaona..
Nimempa tu mambo ya kufanyia KAZI.
Mojawapo ni location aliyokuwepo wife wake tareha na muda huo vs location ya hiyo filling station
 
Means alikua amekaa kwenye gari la mtu siti ya mbele kushoto yeye ndiyo akapokea hiyo risiti coz pump ya mafuta always ipo kushoto.

Hahah...

Kuna magari yana fuel tanks upande wa dereva, hivyo bado kuna chembe chembe za doubts kwa mbaaaali
 
Mkuu kwa hiyo umekagua mkoba wa mkeo! lazima kuna shida mahali.........
 
Unajitahidi kuishi maisha flani hivi magumu
 
Alikuwa kwenye gari ya work mate wake seat ya abiria, work mate akampa hela amlipe pump attendant mkeo alipopewa risiti akadumbukiza kwa hand bag yake.
Aisee hiyo STORY ulivyoihadithia ndo SCENARIO niliyokuwa nayo kwa kichwa ila tofauti ni hapo kwenye "WORK MATE" ni "SEX MATE" umempunguzia maumivu ya maneno... 😀 😀 😀 ... MKE hachunguzwi UNLESS uwe unatafuta KIJISABABU cha kumwacha...
 
Pole Mkuuu naona humu unaishia kukashfiwa tu.
Kwakuwa Risiti inajieleza wazi kwamba ni Afroil Mtwara. Nenda kwa Meneja na hiyo risiti uongee naye kirafiki akupitishe kwenye CCTV Camera utaona namba za gari alilopanda shemeji then utajiridhisha maaana Mji wa Mtwara siyo mkubwa kihivyo naamini utatambua hiyo gari ya nani hasa.
Usikubali maneno ya wakosaji kwamba usimchunguze mke. Mke lazima uishi nae ukimjua nje ndani mkuu endelea kupambana. Kikubwa usitangulize jazba
Humu ndani wengi wamezidiwa akili na wake zao ndio maana wamejikatia tamaa kwenye Mambo ya kutumia akili
 
Back
Top Bottom