Msaada: Nimekuta risiti kwenye mkoba wa mke wangu, naomba kuitambua

Msaada: Nimekuta risiti kwenye mkoba wa mke wangu, naomba kuitambua

Kanunua kitu mahali muuzaji kampa risiti ambayo alishapewa hakutaka kumtolea risiti
 
Usiwe na wasiwasi sana na Mkewe Kama unamwamini jitahidi usiondoe imani hiyo ila tumia akili sana kweny Kumuamini!

Kkoo kuna tabia za kununua risiti zilizo maliza matumizi kwa wakat huo. Unaweza nunua Shuka ukapewa risiti ya Vifaa vya Magar. Muhimu ni iwe n bei tuu. Ivyo mkewe kupewa risiti ya Petrol station ni jambo la kawaid kwa Kkoo
Huu ndo ukweli.nimemjibu hivo hivo hata nilikuwa sijaona post yako
 
Ingependeza zaidi kama ungemuuliza mhusika kwanza kabla ya kuja kuomba ushauri hapa.
 
Swali la kwanza mnaish wapi, iyo risiti kapta saa tatu asubuh means muda wa kazi, labda alipewa lift na mtu akapitia sheli kujaza mafuta resit akashika yeye,
 
Risit ni ya terehe ngapi?? Na je kwenye hiyo tarehe wife wako alikuwa wapi??
 
Alikuwa kwenye gari ya work mate wake seat ya abiria, work mate akampa hela amlipe pump attendant mkeo alipopewa risiti akadumbukiza kwa hand bag yake.
Pressure utaisikia kwa majirani.
 
Akiwa kwako hana gari ila akiwa nje na jamaa mwingine anakuwa na gari ya mumuwe so kubwa mpole tafuta pes
 
Sawa sasa yeye hana usafiri wowote imefikaje kwake
Unataka kusema Kwamba kuna jamaa mwenye usafiri wake anajipigia hapo?? Hahahaaa...
Shikamoo mapenzi[emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom