Msaada: Nimelikanyaga, uume unatoa usaha

Kama itakuwa kwl cyo unatafuta kiki humu , bas wahi hospital upate tiba ya hyo kitu inatibika brother
Kaka ctafuti kiki najua ushairi wenu umenisaidia kupata matitabu up to now ila ukimwi nimegoma kupima
 
Mi nlipiga sindano tatu za declofenac,,, moja kila baada ya masaa 24, pajani kwnye msul////
8mls'

AngaliZo!

Uchomwe na mtaalam yan muuguZ au daktar/

Nakatika vitu ambavo huto visahau maishani mwako bs ni maumivu ya hyo sindano mkuu/// sio mchezo[emoji767]

Kila rakheli
 
Nenda hospital wewe...halafu kwanini hamtumii kinga?
Sema kwenye kinga sijui vip,maana kama mwezi hivi umepita Kuna dem alnipa gono wakati nmetumia salama,kuna jamaa yangu akadai labda ule mda navua yale maji yakadondokea dushe
 
Nimekuwa kimya sana week iliyopita nilikuwa nimesafiri kidogo kwenda Mbeya kama kawaida ya Beberu-mpya nikamuona mtoto huyu ambae amenisabashia hii kitu, sasa jana ndo nimeona hali hii, nifanyaje?
Umeamua kutafuta kiki sio.....!!!

Hv kweli mtu anaeumwa badala ya kwenda kwa doctor yanaweza kuwa na muda wa kuja kupigana soga huku JF
 
Kaka sasa mimi nimekwenda kupima nimeambiwa Gonorrehoea so nishaanza tiba ya Sindano aina ya Steptomycine 2g od kwa siku 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…