Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Ulimi utakatika vipande vipande...
Mkiambiwa msinyonye nyonye pasipo nyonyeka hamsikii mnaleta UFUNDI..
Mkiambiwa msinyonye nyonye pasipo nyonyeka hamsikii mnaleta UFUNDI..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa mkuu asante sana kwa ushauri wako😂😂😂
Kunywa juisi ya ndimu na malimau inaweza saidia, lakini kwanza muhimu kumuona daktari kwa maelezo zaidi.
sawa mkuu maana huku kwetu nje ya mji kidogo ila kuna zahanati ambayo n kubwa lkn ila kama n hvo inabd nijitafte niende mwananyamala
mkuu sijanyonya uchi ila ni hali ambay imenitokea week mbili hzi mi nachohis nmeambukizwa kwa kula denda kama huu ugonjwa unaenea kwa njia hyo iLa kunyonya uchi sijawahi aiseeUlimi utakatika vipande vipande...
Mkiambiwa msinyonye nyonye pasipo nyonyeka hamsikii mnaleta UFUNDI..
sawa mkuu kwa makadirio yu nijipange na kiasi gani ili hata nkienda nisirud tena kujipanga mkuu kama utakua unafahamu au hata kwa kukisiaYes, Mwananyamala kuna daktari wa koo na kinywa yupo karibu na jengo la dharura pale..
Huyo uliyemla denda ilikuwaje? Sometimes unaweza chomeka mashine ukeni.. ukaitoa.. yeye akainyonya alafu akaja kukupa denda..mkuu sijanyonya uchi ila ni hali ambay imenitokea week mbili hzi mi nachohis nmeambukizwa kwa kula denda kama huu ugonjwa unaenea kwa njia hyo iLa kunyonya uchi sijawahi aisee
hapana huyu mwanamke hajawahi ninyonya mashine wala mm sijawahi kumnyonya uchi kabsa nna mwanamk mmoja tu mkuu huwa tunakulana denda tu hatujawah kunyonyana kabsaHuyo uliyemla denda ilikuwaje? Sometimes unaweza chomeka mashine ukeni.. ukaitoa.. yeye akainyonya alafu akaja kukupa denda..
Hapo ni GG au BTTS.
Basi maybe ishu zingine or kabla hajaja kwako alipitia somewhere akanyonya hukooi akaja kwako sometimes yes..hapana huyu mwanamke hajawahi ninyonya mashine wala mm sijawahi kumnyonya uchi kabsa nna mwanamk mmoja tu mkuu huwa tunakulana denda tu hatujawah kunyonyana kabsa
nahisi hiko kitu mkuu lakn ngja nifanye utaratibu wa kwenda hosptali tu asante pia mkuuBasi maybe ishu zingine or kabla hajaja kwako alipitia somewhere akanyonya hukooi akaja kwako sometimes yes..
sawa mkuu kwa makadirio yu nijipange na kiasi gani ili hata nkienda nisirud tena kujipanga mkuu kama utakua unafahamu au hata kwa kukisia
Nenda hospitalini wewe kilaza,famasi ndio hospitali?dah aisee sio powa mkuu nasubiri nimalize dozi hii nione lakn s naweza kwenda pharamcy ili nibadilishiwe dawa mkuu kujarbu njia nyngne
Haifiki hela iyo, ni elfu sita tuMkuu siwezi kujua gharama za matibabu isipokuwa pala Mwanayamala gharama za kufungua file/kupata namba na kumuona daktari ni kama sh 15,000 kwa watu wasio na bima
Nmekumbuka hii video....ila watz jamani 😆😆😆😆😆😆😆😆😆 mwenzio anaumwa ujueKamueleze Daktari ukweli wote tafadhali maana wakikomaa utakuwa unateseka
MPAKA USIKU
MPAKA USIKU
MPAKA USIKU WA MANANE
MPAKA USIKU.
sawa mkuu nmekuelewa ngja nifanye mpango niende aiseeMkuu siwezi kujua gharama za matibabu isipokuwa pala Mwanayamala gharama za kufungua file/kupata namba na kumuona daktari ni kama sh 15,000 kwa watu wasio na bima
aaaah ulifanyiwaga vipimo mkuu au ndo pharmacy tuNilishawahi kuwa nazo mkuu, nilitumia nistastine oral suspension, inaisha, mimi tatizo lilitokana na kutumia antibaotics kwa muda mrefu.Nystatin is used to treat fungal infections of the inside of the mouth and lining of the stomach and intestines.
😂😂😂 thank youYour immune system is compromised!
Sorry