Msaada: Nimepata fangasi kwenye ulimi

Msaada: Nimepata fangasi kwenye ulimi

Ulimi utakatika vipande vipande...
Mkiambiwa msinyonye nyonye pasipo nyonyeka hamsikii mnaleta UFUNDI..
mkuu sijanyonya uchi ila ni hali ambay imenitokea week mbili hzi mi nachohis nmeambukizwa kwa kula denda kama huu ugonjwa unaenea kwa njia hyo iLa kunyonya uchi sijawahi aisee
 
mkuu sijanyonya uchi ila ni hali ambay imenitokea week mbili hzi mi nachohis nmeambukizwa kwa kula denda kama huu ugonjwa unaenea kwa njia hyo iLa kunyonya uchi sijawahi aisee
Huyo uliyemla denda ilikuwaje? Sometimes unaweza chomeka mashine ukeni.. ukaitoa.. yeye akainyonya alafu akaja kukupa denda..

Hapo ni GG au BTTS.
 
Huyo uliyemla denda ilikuwaje? Sometimes unaweza chomeka mashine ukeni.. ukaitoa.. yeye akainyonya alafu akaja kukupa denda..

Hapo ni GG au BTTS.
hapana huyu mwanamke hajawahi ninyonya mashine wala mm sijawahi kumnyonya uchi kabsa nna mwanamk mmoja tu mkuu huwa tunakulana denda tu hatujawah kunyonyana kabsa
 
sawa mkuu kwa makadirio yu nijipange na kiasi gani ili hata nkienda nisirud tena kujipanga mkuu kama utakua unafahamu au hata kwa kukisia

Mkuu siwezi kujua gharama za matibabu isipokuwa pale Mwanayamala gharama za kufungua file/kupata namba na kumuona daktari ni kama sh 15,000 kwa watu wasio na bima
 
Kamueleze Daktari ukweli wote tafadhali maana wakikomaa utakuwa unateseka
MPAKA USIKU
MPAKA USIKU
MPAKA USIKU WA MANANE
MPAKA USIKU.
Nmekumbuka hii video....ila watz jamani 😆😆😆😆😆😆😆😆😆 mwenzio anaumwa ujue
 
Nilishawahi kuwa nazo mkuu, nilitumia nistastine oral suspension, inaisha, mimi tatizo lilitokana na kutumia antibaotics kwa muda mrefu.Nystatin is used to treat fungal infections of the inside of the mouth and lining of the stomach and intestines.
 
Nilishawahi kuwa nazo mkuu, nilitumia nistastine oral suspension, inaisha, mimi tatizo lilitokana na kutumia antibaotics kwa muda mrefu.Nystatin is used to treat fungal infections of the inside of the mouth and lining of the stomach and intestines.
aaaah ulifanyiwaga vipimo mkuu au ndo pharmacy tu
 
Back
Top Bottom