Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Mi sipendi aisee hizo mambo🤣 Kwani mnakubaligi sasa 🤣
Kinywa kina bacteria wengi na watu wanakula hovyo hovyo 🤮
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi sipendi aisee hizo mambo🤣 Kwani mnakubaligi sasa 🤣
Moja kati ya dalili za awali za UPUNGUFU WA KINGA MWILINI, POLE SANA NENDA KACHECK AFYA, IKIWEMO, HIV, VDRL/RPR n.k....hapana sijawahi kabsa mkuu na imenianza ndaNi ya week hiz mbili mkuu nkaona niende pharamacy ndo nmepewa dawa mkuu
Tatizo lako na lake ni tofauti lako ni amgular cheilitis, ni upungufu wa vitamin kama sikosei B6 yaan riboflavin.Aisee mimi pia napatwa na tatizo hilo mdomo unachanika na nimeambiwa ni fangasi kuhusu kufanya ngono last time ilikua nwezi wa kwanza nipo mbali na wife so sijawahi hata kumbusu mwanamke so mtu anapotoa ushauli azingatie hili
Emu jaribu kutumia na vitu vyenye vitamin C kama una uhakika hukunyonya papuchi/ ama hukupita njia ya reli [emoji23]
ww n mtu wa pili Unanambia hvo kuna mtu pia kanambia mbna wa kawaidaMbona ulimi wa kawaida tu uo
Au labda camera...Em piga picha kwa simu nzuri ili tuone vzur...ww n mtu wa pili Unanambia hvo kuna mtu pia kanambia mbna wa kawaida
😂😂😂naona umefuraHi sana mkuu kila kitu unatia likes za kutosha😄 Michezo yenu ya kupiga kapeti hio, ushayavagaa kudadadeki
Huyu ni Wewe au kondoo?
😂😂 dah acha hzo basiHuyu ni Wewe au kondoo?
Mmmh Wewe huujui utamu wakeMi sipendi aisee hizo mambo
Kinywa kina bacteria wengi na watu wanakula hovyo hovyo 🤮
😂😂jokes...ila ulimi wa kawaida, Kama vp kagua ndimi za watu hamna tofauti sna😂😂 dah acha hzo basi
😂😂 dah sema nmecheka sana aisee😂😂jokes...ila ulimi wa kawaida, Kama vp kagua ndimi za watu hamna tofauti sna
Watu wqnajifanyia diagnosis wenyew na kujichapa dawqPharmacist wangekuwa wanapigwa faini kubwa kwa kuuza dawa kama njugu
Watu wanakufa kwa dawa wanazotoa bila hata kuhoji kama una matatizo mengine ya kiafya
Acheni kwenda pharmacy kisa unaogopa foleni ya hospitals