Kuna sheria za kazi ndugu yangu...ata huko mwendokasi wanabima ya afyaSerikalini ukiumwa unahakika na mwisho wa mwezi kwa muda usiopungua miezi sita! na pia hakika ya matibabu toka bima ya afya kwa gharama ndogo na huduma nzuri. Per diem nyingi za bosi nawe umo
Hayo maisha ya kumtegemea transport officer ni maisha ya ufala uliozidi kipimo..wewe unafikiri huko anapoenda wapo madereva wangapi..wote wamfuate huyo officer unategemea nn...ndo yale mambo ya nipe changu nikuweke kwenye list
Sasa unaachaje salary hiyo ambayo ukikaa mwaka tu unaweza kufungua duka la jumlaa jijini dar na ukasahau kuwa ulikuwa dereva...halafu mtu aifuate laki 3 yenye makato kibao
Dereva inategemea na mahali! Madereva walioko kwenye miradi ya serikali ama tafiti wanakunja hela ndefu! 😂😂😂
Hilo nalo la kuomba ushauri?
Angalia kiasi cha pesa sio mwajiri.
Yeye amesema laki 3. Wewe ubasema 1.2 m! Angekuwa na yeye anakwenda kupata 1.2 m, asingeleta hii mada hapa.
Hahahaaa kama kuna jamaangu alipata kazi udereva wizara ya kilimo akazogoa nini sijui wakamkabidhi trekta la kulimia mpunga na kubeba magunia chimala huko. Unakaa chaka kwa chaka
Wengi huwa wanatamani wapate V8 watuwashie taa tu za hazard tuwapishe barabaran
Nina uhakika Mwendo kasi hifahamu hata kitu kinaitwa Per diem. Serikalini wapo madereva wanaishi vzr kushinda baadhi ya maofisa wakubwa. Nikushauri tu uendee, mwanzo mgumu lkn utafika. Changamoto mpya ndizo zinakuza akili.
Mkuu nenda karepoti Kati ya watu wanaopiga hela nchi hii ni madereva, mshahara unauona mdogo Ila posho huwa nyingi Sana. Tena huko wakala wa vipimo kuko vzr Sana nenda aiseNimepata kazi Serikalini dereva mshahara 300,000/ kwa mwezi, wakati Mwendo kasi nachukua 800,000/. Nimechanganyikiwa!
Wanabodi mimi ni dereva mzoefu wa daladala kisha nikaajiriwa na Mwendokasi ambapo nakula 800,000/per month .
Wandugu kwa sasa nimevurugwa kwan baada ya interview iliyohusisha watu 760 ambao tuliomba kazi wakala wa vipimo tumepenya na kuajiriwa 57 tuu.
Nimepewa barua Jana napaswa kuripoti kituon kuanzaia 2/7 sasa aisee mbona hii salary Jau!? Yaani nipo kipindi kigumu wandugu hebu wenye uzoefu nisaidieni hill!?
Kiukweli napata wakati mgumu sana barua ninayo ila naipenda ajira za Serikali tatizo hiyo salary!?
Naomba ushauri.
Mwendokasi 100% dar. Idara nyingine za serikali wanaweza kukupost mikoani ambapo matumizi ni madogo, hivyo uka save.Nimepata kazi Serikalini dereva mshahara 300,000/ kwa mwezi, wakati Mwendo kasi nachukua 800,000/. Nimechanganyikiwa!
Wanabodi mimi ni dereva mzoefu wa daladala kisha nikaajiriwa na Mwendokasi ambapo nakula 800,000/per month .
Wandugu kwa sasa nimevurugwa kwan baada ya interview iliyohusisha watu 760 ambao tuliomba kazi wakala wa vipimo tumepenya na kuajiriwa 57 tuu.
Nimepewa barua Jana napaswa kuripoti kituon kuanzaia 2/7 sasa aisee mbona hii salary Jau!? Yaani nipo kipindi kigumu wandugu hebu wenye uzoefu nisaidieni hill!?
Kiukweli napata wakati mgumu sana barua ninayo ila naipenda ajira za Serikali tatizo hiyo salary!?
Naomba ushauri.
Sasa mbona huyo jamaa yako yupo kwenye fursa nzuri ya kufanikiwa na kutengeneza hela,,,,,, anashindwaje kutumia hiyo nafasi na yeye kulima na yeye abebe magunia yake???Hahahaaa kama kuna jamaangu alipata kazi udereva wizara ya kilimo akazogoa nini sijui wakamkabidhi trekta la kulimia mpunga na kubeba magunia chimala huko. Unakaa chaka kwa chaka
Wengi huwa wanatamani wapate V8 watuwashie taa tu za hazard tuwapishe barabaran
Hivi ana mkataba na Mungu kuwa atafika wakati wa kustaafu?NENDA HARAKA SERIKALINI, KUNA KITU KINAITWA JOB SECURITY KWA WATUMISH WA SERIKALI, AMBAPO ITAKULINDA HADI KU STAFF KWAKO.
Madereva wa serikal wana mishahara midogo ila wana malulupu mengi unaweza kufikisha hata posho ya Million Moja kwa mwezi...
Hao mwendokasi sio wakuwaamini kesho na kesho kutwa hawapo...
Sure kabisa per diem inakwenda na level ya mshahara wa mtu hamfanani per diem hata siku .Acheni kumjaza mwenzenu ujinga...uache laki nane ukimbilie laki tatu..ukikatwa hiyo unabaki na laki mbili...ukienda huko utakula msongo wa mawazo to your entire life. Kuhusu ishu ya perdiem wasikudanganye..perdiem inaendana na levo ya mshahara..kwa mshahara huo perdiem yako haitazidi elfu sitini..sasa upate safari ya siku tatu singida utalipwa 240,000. Ukienda huko ulipie guest, msosi, utakutana na watoto wa kiburushi..utakula nao bata..siku ya kurudi mjini utaishia kubeba machungwa na viazi hautabaki na kitu.
Ushauri wangu endelea hapo hapo mwendokasi
Wakala wa vipimo si wale wanapita kwenye maduka na mabucha kukagua mizani na kukamata waliochakachua? Wale wakipiga round hawakosi hela.Nimepata kazi Serikalini dereva mshahara 300,000/ kwa mwezi, wakati Mwendo kasi nachukua 800,000/. Nimechanganyikiwa!
Wanabodi mimi ni dereva mzoefu wa daladala kisha nikaajiriwa na Mwendokasi ambapo nakula 800,000/per month .
Wandugu kwa sasa nimevurugwa kwan baada ya interview iliyohusisha watu 760 ambao tuliomba kazi wakala wa vipimo tumepenya na kuajiriwa 57 tuu.
Nimepewa barua Jana napaswa kuripoti kituon kuanzaia 2/7 sasa aisee mbona hii salary Jau!? Yaani nipo kipindi kigumu wandugu hebu wenye uzoefu nisaidieni hill!?
Kiukweli napata wakati mgumu sana barua ninayo ila naipenda ajira za Serikali tatizo hiyo salary!?
Naomba ushauri.
muongezee na swali hili je likizo ya mapumziko ya kila mwaka ipo hapo mwendokasiKabla ya kushauri naomba kufahamu yafuatayo
1. Elimu yako ukiondoa cheti cha udereva
2. Una mke na watoto au single
3. Mkataba wa mwendo kasi ukoje? Kuna kupanda daraja au ndio hiyo laki 8 hadi unastaafu?
Ushauri wangu utategemea majibu yako.
... KAZI kweli kweli Mkuu. Na hao wa ma-V8 obviously wanaendesha maboss basi hizo suti sasa wengine wanazo kali kuliko hata maboss wao. Wanatamani kweli V8.Hahahaaa kama kuna jamaangu alipata kazi udereva wizara ya kilimo akazogoa nini sijui wakamkabidhi trekta la kulimia mpunga na kubeba magunia chimala huko. Unakaa chaka kwa chaka
Wengi huwa wanatamani wapate V8 watuwashie taa tu za hazard tuwapishe barabaran
Ndio hao hao wazee wa kupima mizania ya vyakula,magunia ya vyakula kama viazi,na pia pampu za vituo vya kuuzia mafuta.....kiufupi wanasimamia vipimo viwe sahihi yaani muuzaji asimpunje mnunuajiWakala wa vipimo si wale wanapita kwenye maduka na mabucha kukagua mizani na kukamata waliochakachua? Wale wakipiga round hawakosi hela.
Per diem kwa dereva inategemea salary scale yake na inaweza fika elfu 50 kwa safari za ndani ya kituo cha kazi na inaweza fika 70 kama sikosei kwa safari za nje ya kituo cha kazi.Acheni kumjaza mwenzenu ujinga...uache laki nane ukimbilie laki tatu..ukikatwa hiyo unabaki na laki mbili...ukienda huko utakula msongo wa mawazo to your entire life. Kuhusu ishu ya perdiem wasikudanganye..perdiem inaendana na levo ya mshahara..kwa mshahara huo perdiem yako haitazidi elfu sitini..sasa upate safari ya siku tatu singida utalipwa 240,000. Ukienda huko ulipie guest, msosi, utakutana na watoto wa kiburushi..utakula nao bata..siku ya kurudi mjini utaishia kubeba machungwa na viazi hautabaki na kitu.
Ushauri wangu endelea hapo hapo mwendokasi
Kama hiyo ajira ya serikali una ajiriwa direct nikimaanisha salary yako inatokea banki kuu na unapewa check number kabisa basi unaweza fikiria kwenda.Nimepata kazi Serikalini dereva mshahara 300,000/ kwa mwezi, wakati Mwendo kasi nachukua 800,000/. Nimechanganyikiwa!
Wanabodi mimi ni dereva mzoefu wa daladala kisha nikaajiriwa na Mwendokasi ambapo nakula 800,000/per month .
Wandugu kwa sasa nimevurugwa kwan baada ya interview iliyohusisha watu 760 ambao tuliomba kazi wakala wa vipimo tumepenya na kuajiriwa 57 tuu.
Nimepewa barua Jana napaswa kuripoti kituon kuanzaia 2/7 sasa aisee mbona hii salary Jau!? Yaani nipo kipindi kigumu wandugu hebu wenye uzoefu nisaidieni hill!?
Kiukweli napata wakati mgumu sana barua ninayo ila naipenda ajira za Serikali tatizo hiyo salary!?
Naomba ushauri.