MSAADA: Nimepata kazi Serikalini dereva ila mshahara mdogo kuliko wa Mwendokasi ninakofanya kazi sasa. Nimechanganyikiwa!

MSAADA: Nimepata kazi Serikalini dereva ila mshahara mdogo kuliko wa Mwendokasi ninakofanya kazi sasa. Nimechanganyikiwa!

800,000 x 12 = 9.6m per annum
300,000 x 12 = 3.6m per annum
9.6 take away 3.6 = 6.0

Yaani unafikiria kuziacha 6.0m kwa mwaka kwa kutegemea kazi ambayo hata haujui utapangiwa kitengo gani!
Yaani hata kama utapata safari za mara kwa mara, jua kwamba the first 6m sio kipato cha ziada, ni kipato cha kukufanya uwe level moja na ulikotoka. Zaidi ya hapo ndio extra income. (kwa hesabu za harakaharaka bila kuweka kodi etc). Sasa je utasafiri?
Kwa mfano ukaenda huko serikalini halafu ukapewa staff bus, kutwa kwenye foleni za dar, si utajuta?
Mambo ya security of employment yamepitwa na wakati. Security yako ni savings unayofanya na how you invest those savings upate extra income.
I agree, mleta mada usikurupike.
 
Kwa salary uliyosema hapo mbona haviendani na mazingira ya mishahara ya wakala wa baadhi ya taasisi,nijuavyo mimi waliopo serikali kuu ndio wanaolipwa kidogo ila Ngo,wakala na mashirika ya serikali wao ndio mishahara yao inakuwaga mikubwa,sasa hao hao wakala wa vipimo inakuwaje salary yao kuwa ivyo
Ngoja aje atoe maelekezo usije kuta ni zile kazi za vibarua yaani kazi za kungoja mapato ya ndani ndio ulipwe..
 
Daaaaah, wee jamaa bhana aisee...!

Haya bwana, umenikumbusha TXL langu aisee jamaa kama anakuja barabarani hivi akija kucheki kibao tu mwenyewe anarudi kichakani aisee.

Hatari sana mzee baba...!
Hahahaaa wanangu sana hao nawajua mambo yao na nishayaendesha sana. Yani mie kwenye udereva nishapitia sehem nyingi sana

Nawajua siku hizi hadi SM,SU zina vimulimuli mbele dah
 
Nimepata kazi Serikalini dereva mshahara 300,000/ kwa mwezi, wakati Mwendo kasi nachukua 800,000/. Nimechanganyikiwa!

Wanabodi mimi ni dereva mzoefu wa daladala kisha nikaajiriwa na Mwendokasi ambapo nakula 800,000/per month .

Wandugu kwa sasa nimevurugwa kwan baada ya interview iliyohusisha watu 760 ambao tuliomba kazi wakala wa vipimo tumepenya na kuajiriwa 57 tuu.

Nimepewa barua Jana napaswa kuripoti kituon kuanzaia 2/7 sasa aisee mbona hii salary Jau!? Yaani nipo kipindi kigumu wandugu hebu wenye uzoefu nisaidieni hill!?

Kiukweli napata wakati mgumu sana barua ninayo ila naipenda ajira za Serikali tatizo hiyo salary!?

Naomba ushauri.
Kwani mwendokasi siyo serikalini, kwa nini umetoka au ulikuwa na ajira ya muda na sasa umepata ya kudumu?
 
Nenda serikalini kama utapata mkataba wa kudumu, asikudanganye mtu serikalini raha
 
Nimepata kazi Serikalini dereva mshahara 300,000/ kwa mwezi, wakati Mwendo kasi nachukua 800,000/. Nimechanganyikiwa!

Wanabodi mimi ni dereva mzoefu wa daladala kisha nikaajiriwa na Mwendokasi ambapo nakula 800,000/per month .

Wandugu kwa sasa nimevurugwa kwan baada ya interview iliyohusisha watu 760 ambao tuliomba kazi wakala wa vipimo tumepenya na kuajiriwa 57 tuu.

Nimepewa barua Jana napaswa kuripoti kituon kuanzaia 2/7 sasa aisee mbona hii salary Jau!? Yaani nipo kipindi kigumu wandugu hebu wenye uzoefu nisaidieni hill!?

Kiukweli napata wakati mgumu sana barua ninayo ila naipenda ajira za Serikali tatizo hiyo salary!?

Naomba ushauri.
Nenda karipoti kazini baada ya miezi 6 rudi tena utatupa habari njema sana, kila la heri.
 
Sasa wee jamaa umefunguka hivi si watakung'amua kirahisi tu.
 
Mkuu nilipitia scenario The same nayo Ila basic salary ilikua tofauti ya Tsh 42,000/=


Ya serikalini ilikua pungufu Kwa Tsh 42,000/= ukilinganisha na ile ya mkataba

Ila kwako ni mtihani pungufu ya 500,000/=
Sio mchezo tena kama unafamilia

Ila Mkuu ushauri umetolewa na wengi changanya na zako
Naamini utafanya uchaguzi sahihi kbsa

All the best
 
Nimepata kazi Serikalini dereva mshahara 300,000/ kwa mwezi, wakati Mwendo kasi nachukua 800,000/. Nimechanganyikiwa!

Wanabodi mimi ni dereva mzoefu wa daladala kisha nikaajiriwa na Mwendokasi ambapo nakula 800,000/per month .

Wandugu kwa sasa nimevurugwa kwan baada ya interview iliyohusisha watu 760 ambao tuliomba kazi wakala wa vipimo tumepenya na kuajiriwa 57 tuu.

Nimepewa barua Jana napaswa kuripoti kituon kuanzaia 2/7 sasa aisee mbona hii salary Jau!? Yaani nipo kipindi kigumu wandugu hebu wenye uzoefu nisaidieni hill!?

Kiukweli napata wakati mgumu sana barua ninayo ila naipenda ajira za Serikali tatizo hiyo salary!?

Naomba ushauri.
Nenda serikalini
 
Nimepata kazi Serikalini dereva mshahara 300,000/ kwa mwezi, wakati Mwendo kasi nachukua 800,000/. Nimechanganyikiwa!

Wanabodi mimi ni dereva mzoefu wa daladala kisha nikaajiriwa na Mwendokasi ambapo nakula 800,000/per month .

Wandugu kwa sasa nimevurugwa kwan baada ya interview iliyohusisha watu 760 ambao tuliomba kazi wakala wa vipimo tumepenya na kuajiriwa 57 tuu.

Nimepewa barua Jana napaswa kuripoti kituon kuanzaia 2/7 sasa aisee mbona hii salary Jau!? Yaani nipo kipindi kigumu wandugu hebu wenye uzoefu nisaidieni hill!?

Kiukweli napata wakati mgumu sana barua ninayo ila naipenda ajira za Serikali tatizo hiyo salary!?

Naomba ushauri.
[emoji3516]
USITHUBUTU KUFANYA UPUMBAVU WA KUACHA MSHAHARA WA 800,000/- UNAKIMBILIA 300,000/- KWA MATARAJIO YA PER DIEM AMBAYO HAUNA UHAKIKA KUWA ITAKUWA NI KWA KIASI GANI!!!

USITHUBUTU KABISA!!!
 
Ajira za serikalini sivyo kama unavyofikiria, hyo range ni kubwa mno. Ni kweli kuna per diem ila huwa sio constant kiasi hicho mda mwingne hazitokei kutegemeana na ofisi, mshahara wako ndo kila kitu usije ukaingia ukitegemea hzo per diem utachanganyikiwa.
 
Hahahahaaa madereva wanapigana misumari balaa. Ukiwa dereva wa tengo lenye safari sana unaula wakuone unajenga au mnapatana na boss wako lazima ule majungu sana mpaka ukabidhiwe trekta la idara
[emoji3][emoji3][emoji3] eti trekta la idara
 
Acheni kumjaza mwenzenu ujinga...uache laki nane ukimbilie laki tatu..ukikatwa hiyo unabaki na laki mbili...ukienda huko utakula msongo wa mawazo to your entire life. Kuhusu ishu ya perdiem wasikudanganye..perdiem inaendana na levo ya mshahara..kwa mshahara huo perdiem yako haitazidi elfu sitini..sasa upate safari ya siku tatu singida utalipwa 240,000. Ukienda huko ulipie guest, msosi, utakutana na watoto wa kiburushi..utakula nao bata..siku ya kurudi mjini utaishia kubeba machungwa na viazi hautabaki na kitu.

Ushauri wangu endelea hapo hapo mwendokasi
Wengine tulikataa serikalini tukakimbilia kwenye mashirika, yamebinafsishwa halafu yakafa majuto tuliyonayo hayasemeki umri na Sura tofauti kabisa labda niishie hapo, Ila asiiachie hiyo nafasi wenzake wanaitafuta, huko kwenye laki nane hakuna kinga yoyote
 
Kabla ya kushauri naomba kufahamu yafuatayo
1. Elimu yako ukiondoa cheti cha udereva
2. Una mke na watoto au single
3. Mkataba wa mwendo kasi ukoje? Kuna kupanda daraja au ndio hiyo laki 8 hadi unastaafu?
Ushauri wangu utategemea majibu yako.
Form iv,watoto wawili babu
 
Mkuu nenda karepoti Kati ya watu wanaopiga hela nchi hii ni madereva, mshahara unauona mdogo Ila posho huwa nyingi Sana. Tena huko wakala wa vipimo kuko vzr Sana nenda aise
Poa aisee
 
Wengine tulikataa serikalini tukakimbilia kwenye mashirika, yamebinafsishwa halafu yakafa majuto tuliyonayo hayasemeki umri na Sura tofauti kabisa labda niishie hapo, Ila asiiachie hiyo nafasi wenzake wanaitafuta, huko kwenye laki nane hakuna kinga yoyote
Haya acha aende..but asije kutuomba tena ushauri..
 
[emoji3][emoji3][emoji3] eti trekta la idara
Hahahaaa we fikiria ukabidhiwe trekta la kupeleka takataka Pugu mshahara lak3 halaf wenzako wanasukuma VXR V8 ya bosi kila wiki safari anakula nyt za hata ef60 tu lazima kazi iwe chungu
 
Back
Top Bottom