Msaada: Nimepatwa na changamoto kwa "Wife" na huyu dada

Jaribu kuishi na huyo dada hata week tu uone rangi zoteee. Utataman kurudi kwa mkeo
 
pole sana mkuu, hizi nyumba zina siri kubwa sana ukisema umwache unaweza kukuta uko unakoenda utakutana na majanga Zaidi, jaribu kukaa na mkeo uone kama atabadilika kama atazingua unaweza kuchukua hatua nyingine
 
Unajikuta FBI, sasa kashasema alikuwa anaacha 7000, uchumi ukayumba kidogo akaanza kuacha 5000 lakin bado mke ana leta gubu..sasa afunguke vp? ww toa ushaur kwa ulichokisoma mengine ya kufunguka hayakuhusu mkuu...
 
Hapo usichokijua ni kuwa ht huyo mkeo angekuwa mchepuko angefanya yote hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…