mbenda said
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 1,084
- 2,074
Kama imani ya dini yako inaruhusu nakushauli owa mke pili ambao huo mchepuko wako,kama dini yako hairuhusu jalibu kuzungumza na mkeo ,changamito unayopitia uwesababisha ww kwa maana kipindi pesa ipo hukutakiwa kuweka kiwango maalum cha kuacha nyumbani yaani cku ungakuwa unaacha 10000 siku unachaa 5000 cku 2000 hiii ingemfanya kwa sasa asisumbue kabisaaaaa,