SlimFit
JF-Expert Member
- Mar 29, 2016
- 2,041
- 3,119
Mie nadhani nimepitia uhanga wa hio mipango hadi majuto, yaani nyie wanawake hesabu zenu si mchezoWe muache ajione mjanja, mjini mipango eti!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie nadhani nimepitia uhanga wa hio mipango hadi majuto, yaani nyie wanawake hesabu zenu si mchezoWe muache ajione mjanja, mjini mipango eti!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mie nadhani nimepitia uhanga wa hio mipango hadi majuto, yaani nyie wanawake hesabu zenu si mchezo
Ahsante sana Mkuu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sana.
Umenena[emoji122][emoji122][emoji122]Mkuu kwakuwa ushaamua kujustify usaliti wako haina noma wewe endelea...
Ila kumbuka kila mtu ana mapungufu yake ni vile tu uwa nikufanya uamuzi wa kuzingatia yaliyo mema zaidi ya yaliyo mabaya. Walau haja kucheat. Kuna mwanamke namfahamu, akiwa na mumewe mahaba kama yote full kumpost insta na macaption matam matam, lakini huku nyuma anatembea na rafiki yangu flani.
Kupanga ni kuchagua naona umekoleana penzi la bi dada lazima kila utakalofanyiwa na mkeo uliweke kwenye kipimo kumlinganisha na huyo bidada.
Mkuu huku mwisho umeharibu kabisaPolygamy si dhambi..
Kaa nao wote wawili au nenda Kwa DC uwe na polygamy ya Siri..mkeo mkaidi asijue..
Mkeo anaweza kuwa pia hajapendwa enough..
Ana ukosefu wa upendo na maalezi na wewe huna mda WA kuwa mume na baba..
Unaaenda nae kizungu ..mambo ya equal partner..
Wanawake wengine wanataka mume uwe baba pia hata kumzaba vibao akikosea
Yaani imebidi nicheke ulivyomalizia huko mwisho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mkeo anayo mema yake mengi tu ila kwakuwa unatafuta sababu za kujustfy uzinzi wako huwezi kuuelezea.
Sasa ulitegemea mchepuko aweje wakati kuna faida anayoipata? Kupritend kwa mpita njia unaefaidika nae ni rahisi sanaaa kuliko kwa mtu mnaeishi pamoja.
Hangaika tu, utakipata unachokitafuta. Mnazivuruga ndoa zenu wenyewe halafu baadae mtafute mchawi.
Yaani huyu anatega bomu juu ya bomu.At least wewe umemwambia ukweli, wanawake tuna target. Tena anasema Mara anamsaidia akikwama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hio misaada Kuna siku itarudi 10X au zaidi na presha juu...asee kama huyo mchepuko anajua kabisa jamaa ameoa na still yuko nae na anajifanya ndo ana mahaba sana,Kaka jiandae!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sana.
Acha tu ahangaike.Yaani imebidi nicheke ulivyomalizia huko mwisho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona anatafuta sababu za kuhalalisha uzinzi
Naona anatumia nguvu kubwa kuyaandika mabaya ya mkeweAcha tu ahangaike.
Ulishaoa beki 3 akawa mke unajua anakuwa namba 9 hatari maana ndio utajutaMi nikitaka kuowa Nitatafuta beki 3 wa mtu nimuowe mabek 3 ni wavumilivu sana
Anacheza na wanawake wawili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi Kama mwanamke nimepatwa na goosebumps,af ye haogopi Wala nn[emoji23][emoji23][emoji23]Yaani huyu anatega bomu juu ya bomu.
Bado siku tu ya kumlipukia