Msaada: Nimepatwa na changamoto kwa "Wife" na huyu dada

Msaada: Nimepatwa na changamoto kwa "Wife" na huyu dada

Acha kucheat mkeo na anza kuangalia mazuri ya mkeo, kumbuka machale yake na kihisia haupo nae unasex sababu unatakiwa kutimiza wajibu na si kwa mapenzi. Kinachotekea mkeo anahisi kutengwa kihisia na ndiyo maana anakuwa mkali mkali ..
Huyu mwanadada inabidi ujitahidi uachane nae kama kweli unampenda naamini kamabunampenda utajali hata kesho yake , uzuri huwa unaisha na jua kila siku inayopita kuna kitu kinapungua ..
Kwahio ajibidiishe kumpenda mtu asiye na interest nae. Wanawake wetu baadhi yenu mnaboa sana yani. Hasa sie wanaume tulioumbwa na hisia za huruma tunatesekaga mno!

Unampenda mke na kumuonesha mapenzi yote. Anakulipa kiburi na jeuri tu unafikia stage unajihisi kama wajipendekeza hivi. Anatokea mwanamke pembeni ambaye ni opposite na mkeo by 100%!!! Super romantic na anayejali hisia zako by far. Simshangai mtoa mada maana hii situation ilishanikumbaga.
 
Endelea kuchepuka tu huku ukifanya mambo yako ya maendeleo kwa siri. Ukiweza anaza kujijenga kama kuwa na viwanja au hata mali zingine bila mkeo kujua...!!!

Wewe na mimi, same script different cast...!!!
June babies tuna tabu sana mkuu.
 
Unayaona sana mazuri ya mchepuko kwakua umeamua kuzingatia mabaya tu ya wife. Sijaona sehemu umezungumzia hata zuri moja la wife, uliwezaje kuoa mtu wa hivyo bas? Ulilazimishwa au niaje?

We ni mtu mzima kukumbushwa kwamba kila mtu ana mapungufu yake, na kuoana na mtu ni kukubaliana nayo kwamba unayamudu
 
Mbona unamtisha mwenzako ndoa ni Furaha kama hapati Furaha usilazimishe kisa kaoa angalie alternative
Hata mkeo anayo mema yake mengi tu ila kwakuwa unatafuta sababu za kujustfy uzinzi wako huwezi kuuelezea.
Sasa ulitegemea mchepuko aweje wakati kuna faida anayoipata? Kupritend kwa mpita njia unaefaidika nae ni rahisi sanaaa kuliko kwa mtu mnaeishi pamoja.

Hangaika tu, utakipata unachokitafuta. Mnazivuruga ndoa zenu wenyewe halafu baadae mtafute mchawi.
 
Mema ya kunyimwa utamu au kupewa kwa shingo upande huku akilalama jamaa amalize haraka au hata amuachie njiani!? 😳😳
Hapana AISEE!

Hata mkeo anayo mema yake mengi tu ila kwakuwa unatafuta sababu za kujustfy uzinzi wako huwezi kuuelezea.
Sasa ulitegemea mchepuko aweje wakati kuna faida anayoipata? Kupritend kwa mpita njia unaefaidika nae ni rahisi sanaaa kuliko kwa mtu mnaeishi pamoja.

Hangaika tu, utakipata unachokitafuta. Mnazivuruga ndoa zenu wenyewe halafu baadae mtafute mchawi.
 
Kwa mke kama wako naongeza upendo napunguza maneno na pesa naacha sh.1000 kwa siku
 
Mimi ninachoisi jamaa anamuogopa mkewe na aliolea elimu maana kasema mchepuko una certificate tu Ila katika makosa tunayoyafanya wanaume hasa walioowa mwanamke aliyefanya kazi ni kubeba majukumu yote Kwa kigezo cha uanaume na kutoonesha msimamo pale mke anapokosea

Hayo madegree ikija suala la ndoa mi bure labisa nakwambia. Degrees dng keep a marrriage
 
Hata mkeo anayo mema yake mengi tu ila kwakuwa unatafuta sababu za kujustfy uzinzi wako huwezi kuuelezea.
Sasa ulitegemea mchepuko aweje wakati kuna faida anayoipata? Kupritend kwa mpita njia unaefaidika nae ni rahisi sanaaa kuliko kwa mtu mnaeishi pamoja.

Hangaika tu, utakipata unachokitafuta. Mnazivuruga ndoa zenu wenyewe halafu baadae mtafute mchawi.
Bob!, umeiva sana weewe..!
 
Penzi la usaliti ni tamu sana, sikushauri umwache mkeo.

Jitafakari tena, pitia sababu na vipimo vilivyopelekea umwoe mkeo.

Mume, umeumbwa kuyabeba mapungufu ya mkeo, hupaswi kumlinganisha na mwanamke mwingine. Kumbuka kila mtu kaumbiwa uzuri wake, na kina mtu ana utu wake.

Epuka ngono, mfunze mkeo kuww mwema na aache uvivu. Wewe ndiye wa kummudu mkeo na si mth mwingine.

Badilika bro.
 
Ongea na mkeo akuhudumie, na kukujali, mueleze kuwa ni mkaidi, mbishi.

Sent from my LM-Q710(FGN) using JamiiForums mobile app
Tabia ya mtu kubadilika ni Jambo gumu sana ata aongee naye Kwa kiduku apo atafanya leo kesho atasahau ameshazoea wengi uku wanasema akimuacha atateseka Ila jamii nyingi zinazoteseka kwenye ndoa au mahusiano ni za kiafrika na sababu kubwa ni kufata maneno ya watu wa nje mara hutapata kama uyoo utasema hii dunia watu wameisha hakuna kitu kinauma kama uijali familia yako ata kama si mke wawe Tu wadogo zako alafu hawakupi heshima unayostaili inauma sana Ila ukisikia ukisikia ushauri wa wanawake uku unacheka tu kama unataka kuja kufa na ugonjwa wa Moyo au presha chukua jinamke shenzi au jinaume shenzi uishi nalo ndani ndyo utaipata maisha ni mafupi snaa tafuta furaha sehemu yoyote kikubwa ujue kuwa unapata furaha
 
Unayaona sana mazuri ya mchepuko kwakua umeamua kuzingatia mabaya tu ya wife. Sijaona sehemu umezungumzia hata zuri moja la wife, uliwezaje kuoa mtu wa hivyo bas? Ulilazimishwa au niaje?

We ni mtu mzima kukumbushwa kwamba kila mtu ana mapungufu yake, na kuoana na mtu ni kukubaliana nayo kwamba unayamudu
Hajafungua huu uzi kumsifia mkewe apa anasema changamoto zinazomsibu kwenye ndoa yake kwani serikali ya kikoloni haikufanya mazuri lkin ukipewa swali la kuusu changamoto semea swali linavyosema nikwambie Tu kama ndoa yako haikupi furaha broo iyo si ndoa icho ni kifungo changamoto za ndoa zipo Ila ukiona Hadi mtu anavunja ndoa anakimbia ndoa anaachana na mtu wala usimlaumu Kwa kujihisi wewe ni Bora na usiandike kitu ili wanawake wakusifie uku
 
Kwa mke kama wako naongeza upendo napunguza maneno na pesa naacha sh.1000 kwa siku
Na wengi wasio na kazi wala pesa wanaongeaga kama wanywa pombe za kienyeji
 
Jamaa huu ni mtihani ndugu yangu, ila katika maisha yako hakikisha furaha yako na amani ya moyo wako is your first priority.

Fanya kile kitakachokupa amani mkuu.
 
Hajafungua huu uzi kumsifia mkewe apa anasema changamoto zinazomsibu kwenye ndoa yake kwani serikali ya kikoloni haikufanya mazuri lkin ukipewa swali la kuusu changamoto semea swali linavyosema nikwambie Tu kama ndoa yako haikupi furaha broo iyo si ndoa icho ni kifungo changamoto za ndoa zipo Ila ukiona Hadi mtu anavunja ndoa anakimbia ndoa anaachana na mtu wala usimlaumu Kwa kujihisi wewe ni Bora na usiandike kitu ili wanawake wakusifie uku
Shida ya huyo mwenzio ni kwamba amekuja kuandika hapa ikiwa tayari ana maamuzi yake mbadala, anachotaka ni ku justify tu hapa.

Swali moja la msingi ni ,je alimuoa akiwa hivyo? (If yes analalamika nini hapa?), kama wife kabadilika na amekiri kabisa kwamba hajawahi kuona wife anam cheat, hafikirii kwamba yeye ndiye mwenye makosa na pengine ndiye kasababisha wife abadilike (mana amekiri kabisa kuwa yeye anacheat).

N.B kama wewe huwa unaandika ili usifiwe na hao wanawake ujue sio kila mtu ni wewe
 
Kwahio ajibidiishe kumpenda mtu asiye na interest nae. Wanawake wetu baadhi yenu mnaboa sana yani. Hasa sie wanaume tulioumbwa na hisia za huruma tunatesekaga mno!

Unampenda mke na kumuonesha mapenzi yote. Anakulipa kiburi na jeuri tu unafikia stage unajihisi kama wajipendekeza hivi. Anatokea mwanamke pembeni ambaye ni opposite na mkeo by 100%!!! Super romantic na anayejali hisia zako by far. Simshangai mtoa mada maana hii situation ilishanikumbaga.
Sijasema ajilazimishe huko nimemfungua macho endelee kuchuja sababu wanawake wote tupo watamu kabla ya kupewa umiliki halali baada ya umiliki mara nyingi mchezo unabadilika huyo mchepuko asitegee akiwa mke atakuja kumwamini na inawezekana akawa mbaya zaidi sababu anakumbuka jinsi ulivyomfanyia mke wako .. atakuwa very defence na akishakuwa hivyo ni kule Kule karudi

Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom