Msaada: Nimetapika hiki kidude

Msaada: Nimetapika hiki kidude

Dogo amua uta para samaki au uta para miwa ??

ila sitaki baadae kwenye jamii nije kulaumiwa, etii ahhh mbona kamuharibu
yani kamla ka tunda la zabibu
Ahahahhaha...
Kwanza kabisa naanza na kukohozi,
Unajifanya mjanja tu kumbe bonge la tozi..

Unaonekana mdgo untel bado mwanfunzi,
Kwahyo ujui chochote hat haujui utunzi.

Ujava shati umeacha tumbo wazi..
Ona sura yako dogo utazania andazi...

Unataka ushindane na mimi kuchana,
Umekaa una type vikopa toka jana
 
Ahahahhaha...
Kwanza kabisa naanza na kukohozi,
Unajifanya mjanja tu kumbe bonge la tozi..

Unaonekana mdgo untel bado mwanfunzi,
Kwahyo ujui chochote hat haujui utunzi.

Ujava shati umeacha tumbo wazi..
Ona sura yako dogo utazania andazi...

Unataka ushindane na mimi kuchana,
Umekaa una type vikopa toka jana
Dogo mbona story una unga unga,
Yaani ka kitenesi hovyo una dunda dunda.

nami Kama mzazi au mwalimu naamua kukufunza funza.

yani acha uvivu na upuuzi, la sivyo uta kuwa Punga.
 
Dogo mbona story una unga unga,
Yaani ka kitenesi hovyo una dunda dunda.

nami Kama mzazi au mwalimu naamua kukufunza funza.

yani acha uvivu na upuuzi, ka sivyo uta kuwa Punga.
Skia intell mimi ni mtu mtata,
Watu kama wewe bila wembe na wakata

Kwanza hapa mi nachana alafu ww unabwela..
Unataka tushindane we parachichi mi ndo pera
 
Alaf
Toka juzi unasema unani pm alafu uni pm

Nikikutafuta unaniambia utanipiga.
Huku unajitia mpole kumbe mbabe mbabe
Mcheki kwanza mganga, mi na wewe tutaongea tu.....

Kutapika hicho kidude manake usharogwa hapo, kwakifupi ni umekula cha mtu, mpigie mganga sahivi
 
je muda unapotapika uliskia kichefuchefu kabla au uliona tu kitu kina kuja ukatapika

ni asubui ya saa ngapi ? kabla ya hapo ulikula nini ?
Jana yake ndo nilikula nyama..
Nilitapika kawaida na kichefu chefu kilikua kidogo sana mkuu
 
Back
Top Bottom