Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Nimekupm namba ya mganga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
halafu mganga ni wewe mwenyewe, kidume chenye kanzu na kitambi broo😁😂Nimekupm namba ya mganga
Pamepotea?oya golden fork una papata ??
umeitapika saangapi ?Mtaalamu nilienda pharmacy pale gomzi mkuu..
Akakagua akasema either nyama ijatafuna vizuri au mimi sijatafuna nyama vizr au vyote kwa pamoja
Ahahahhaha...Dogo amua uta para samaki au uta para miwa ??
ila sitaki baadae kwenye jamii nije kulaumiwa, etii ahhh mbona kamuharibu
yani kamla ka tunda la zabibu
AlafNimekupm namba ya mganga
Asubhi mkuuumeitapika saangapi ?
Ibuka hapa, we kenge maji😁😂Pamepotea?
😁😁😁😁😁 JibuIbuka hapa, we kenge maji😁😂
Dogo mbona story una unga unga,Ahahahhaha...
Kwanza kabisa naanza na kukohozi,
Unajifanya mjanja tu kumbe bonge la tozi..
Unaonekana mdgo untel bado mwanfunzi,
Kwahyo ujui chochote hat haujui utunzi.
Ujava shati umeacha tumbo wazi..
Ona sura yako dogo utazania andazi...
Unataka ushindane na mimi kuchana,
Umekaa una type vikopa toka jana
je muda unapotapika uliskia kichefuchefu kabla au uliona tu kitu kina kuja ukatapikaAsubhi mkuu
Skia intell mimi ni mtu mtata,Dogo mbona story una unga unga,
Yaani ka kitenesi hovyo una dunda dunda.
nami Kama mzazi au mwalimu naamua kukufunza funza.
yani acha uvivu na upuuzi, ka sivyo uta kuwa Punga.
halafu dogo hiki kiswahili Cha hovyo kakufunza nani??kukohozi,
mdgo untel mwanfunzi,
hat
Ujava
Mcheki kwanza mganga, mi na wewe tutaongea tu.....Alaf
Toka juzi unasema unani pm alafu uni pm
Nikikutafuta unaniambia utanipiga.
Huku unajitia mpole kumbe mbabe mbabe
Jana yake ndo nilikula nyama..je muda unapotapika uliskia kichefuchefu kabla au uliona tu kitu kina kuja ukatapika
ni asubui ya saa ngapi ? kabla ya hapo ulikula nini ?
Hapana sio mimi, huyo ni mganga wangu konki kabisa..... Akikunyooshea tu fimbo yake kesho tunakula ubwabwa wakohalafu mganga ni wewe mwenyewe, kidume chenye kanzu na kitambi broo😁😂
Ahahhaa sasa mbona unamuita vishu sasa kaka 😁😁😁😁halafu dogo hiki kiswahili Cha hovyo kakufunza nani??
ndo kusema ya kwamba zamani uli kuwa nyani??, so ume mtoroka mchungaji wako Vishu Mtata mbugani??
😁😁😁😁😁😁😁😁Ahahaha daaah we madamu mkorofi ujueHapana sio mimi, huyo ni mganga wangu konki kabisa..... Akikunyooshea tu fimbo yake kesho tunakula ubwabwa wako
Bro mpigie mganga amalize hili jambo😁😁😁😁😁😁😁😁Ahahaha daaah we madamu mkorofi ujue
sifa ya pera ni kutafunwa, na wahuni hatujali daily tuna kuanzia nyuma.Mi ndo pera